nawaombeni wale wa mount meru wanipe msaada

nawaombeni wale wa mount meru wanipe msaada

Princeshizo

New Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
2
Reaction score
0
jamani ndugu zangu mimi ni mmoja kati ya wliochaguliwa kujiunga na mount meru university lakini kinachonipa mawazo nikwamba hadi leo sijaiyona tarehe ya usajili wala tarehe yakuanza masomo , hivi nikwamba hawajaweka au mimi mwenyewe nimeshindwa kuzigundua ziko wapi? hebu nisaidieni kwa hili.
 
Back
Top Bottom