Nawaona Wakinga wakiwa hawana mpinzani katika biashara Tanzania

Nawaona Wakinga wakiwa hawana mpinzani katika biashara Tanzania

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni ndani ya kipindi kifupi sana kabila hili ambalo lilikuwa halijulikani na kuchukuliwa poa kwa sasa linafanya maajabu, Mafanikio waliyopata si ya kubeza hasa kwa kuimiliki kariakoo kwa asilimia kubwa ambayo zamani ilijaa wachaga na wapemba.

Mafanikio yao yamefanya hata makabila mengine ambayo yalikuwa yakiwadharau ama kuwachukilia poa kwa sasa yanalazimisha waonekane ni watani wakati kiukweli zamani kabla ya kufanikiwa makabila yanayowazunguka ilikuwa ni kama dharau wao kuwaita watani wa wakinga.

Wengi wameanza kuwajua hawa watu siku hizi ila ukianza kufatilia harakati zao tangu zamani hawa wakinga wamepitia magumu sana, walikuwa wanauza mitungi ya gesi kwa shida sana, njiani wiki nzima walikuwa wanakula mikate ya kuoka (mabumunda), wanatembeza mitungi ya gesi Matema mpaka Tukuyu sio mchezo.

Wapo juu kwa sasa lakini muda unavyokwenda hawatakua na mpinzani.

Siri yao kubwa hawa jamaa ni nodhamu ya pesa kubwa ambayo wengi twaiona ni ubahili, nyuma ya hii nidhamu ya pesa ni kutosahau walikotoka kwa mpaka walipo kwasababu ya nidhamu ya pesa na kuwa na malengo makubwa kuona walipofika hapatoshi wanahitaji kuendelea kujibana.

Kipato kikiongezeka ni kweli matumizi yataongezeka lakini kwa kiasi gani lakini ni muhimu kuangalia kiwango chake, hawa jamaa wanaongeza matumizi kwa kiwango kidogo sana huku wakiwa hawajaridhika walipofika, unaweza kuona mkinga kateka wilaya flani lakini yeye bado ataendelea kujibana ili ateke wilaya nyingine, ataendelea kujibana ateke mkoa, ataendelea kujibana ateke ukanda n.k. hawaridhiki na hawasahau walikotoka kwa kuiheshimu pesa.

Kwenye faida nako huwa hawana hata tamaa, lengo ni kupata wateja wengi, ni heri kuuza kwa faida ya elf 1 ili kupata wateja 100 kuliko kuuza kwa faida ya elf 5 kwa watu 10,

Kwenye starehe hawa jamaa wapo lakini bado nidhamu ya pesa inawalinda, heri anywe zake bia zake nyumbani kuliko bar
 
Ni ndani ya kipindi kifupi sana kabila hili ambalo lilikuwa halijulikani na kuchukuliwa poa kwa sasa linafanya maajabu, Mafanikio waliyopata si ya kubeza hasa kwa kuimiliki kariakoo kwa asilimia kubwa ambayo zamani ilijaa wachaga na wapemba.

Mafanikio yao yamefanya hata makabila mengine ambayo yalikuwa yakiwadharau ama kuwachukilia poa kwa sasa yanalazimisha waonekane ni watani wakati kiukweli zamani kabla ya kufanikiwa makabila yanayowazunguka ilikuwa ni kama dharau wao kuwaita watani wa wakinga.

Wengi wameanza kuwajua hawa watu siku hizi ila ukianza kufatilia harakati zao tangu zamani hawa wakinga wamepitia magumu sana, walikuwa wanauza mitungi ya gesi kwa shida sana, njiani wiki nzima walikuwa wanakula mikate ya kuoka (mabumunda), wanatembeza mitungi ya gesi Matema mpaka Tukuyu sio mchezo.

Wapo juu kwa sasa lakini muda unavyokwenda hawatakua na mpinzani.

Siri yao kubwa hawa jamaa ni nodhamu ya pesa kubwa ambayo wengi twaiona ni ubahili, nyuma ya hii nidhamu ya pesa ni kutosahau walikotoka kwa mpaka walipo kwasababu ya nidhamu ya pesa na kuwa na malengo makubwa kuona walipofika hapatoshi wanahitaji kuendelea kujibana.

Kipato kikiongezeka ni kweli matumizi yataongezeka lakini kwa kiasi gani lakini ni muhimu kuangalia kiwango chake, hawa jamaa wanaongeza matumizi kwa kiwango kidogo sana huku wakiwa hawajaridhika walipofika, unaweza kuona mkinga kateka wilaya flani lakini yeye bado ataendelea kujibana ili ateke wilaya nyingine, ataendelea kujibana ateke mkoa, ataendelea kujibana ateke ukanda n.k. hawaridhiki na hawasahau walikotoka kwa kuiheshimu pesa.

Kwenye faida nako huwa hawana hata tamaa, lengo ni kupata wateja wengi, ni heri kuuza kwa faida ya elf 1 ili kupata wateja 100 kuliko kuuza kwa faida ya elf 5 kwa watu 10,

Kwenye starehe hawa jamaa wapo lakini bado nidhamu ya pesa inawalinda, heri anywe zake bia zake nyumbani kuliko bar
Vyote nimekuelewa ila hapo mitungi ya gesi ndo sijakupata. Gesi gani, hizi za majumbani. Na kwann wauze kwa shida, ni kwamba walikuwa hawapati faida
 
Ni ndani ya kipindi kifupi sana kabila hili ambalo lilikuwa halijulikani na kuchukuliwa poa kwa sasa linafanya maajabu, Mafanikio waliyopata si ya kubeza hasa kwa kuimiliki kariakoo kwa asilimia kubwa ambayo zamani ilijaa wachaga na wapemba.

Mafanikio yao yamefanya hata makabila mengine ambayo yalikuwa yakiwadharau ama kuwachukilia poa kwa sasa yanalazimisha waonekane ni watani wakati kiukweli zamani kabla ya kufanikiwa makabila yanayowazunguka ilikuwa ni kama dharau wao kuwaita watani wa wakinga.

Wengi wameanza kuwajua hawa watu siku hizi ila ukianza kufatilia harakati zao tangu zamani hawa wakinga wamepitia magumu sana, walikuwa wanauza mitungi ya gesi kwa shida sana, njiani wiki nzima walikuwa wanakula mikate ya kuoka (mabumunda), wanatembeza mitungi ya gesi Matema mpaka Tukuyu sio mchezo.

Wapo juu kwa sasa lakini muda unavyokwenda hawatakua na mpinzani.

Siri yao kubwa hawa jamaa ni nodhamu ya pesa kubwa ambayo wengi twaiona ni ubahili, nyuma ya hii nidhamu ya pesa ni kutosahau walikotoka kwa mpaka walipo kwasababu ya nidhamu ya pesa na kuwa na malengo makubwa kuona walipofika hapatoshi wanahitaji kuendelea kujibana.

Kipato kikiongezeka ni kweli matumizi yataongezeka lakini kwa kiasi gani lakini ni muhimu kuangalia kiwango chake, hawa jamaa wanaongeza matumizi kwa kiwango kidogo sana huku wakiwa hawajaridhika walipofika, unaweza kuona mkinga kateka wilaya flani lakini yeye bado ataendelea kujibana ili ateke wilaya nyingine, ataendelea kujibana ateke mkoa, ataendelea kujibana ateke ukanda n.k. hawaridhiki na hawasahau walikotoka kwa kuiheshimu pesa.

Kwenye faida nako huwa hawana hata tamaa, lengo ni kupata wateja wengi, ni heri kuuza kwa faida ya elf 1 ili kupata wateja 100 kuliko kuuza kwa faida ya elf 5 kwa watu 10,

Kwenye starehe hawa jamaa wapo lakini bado nidhamu ya pesa inawalinda, heri anywe zake bia zake nyumbani kuliko bar
Ndagu na makafara ya kutosha acha kabisa hiyo kujinyima nyuma ya pazia Kuna makubwa usiyoyajua
 
Ni ndani ya kipindi kifupi sana kabila hili ambalo lilikuwa halijulikani na kuchukuliwa poa kwa sasa linafanya maajabu, Mafanikio waliyopata si ya kubeza hasa kwa kuimiliki kariakoo kwa asilimia kubwa ambayo zamani ilijaa wachaga na wapemba.

Mafanikio yao yamefanya hata makabila mengine ambayo yalikuwa yakiwadharau ama kuwachukilia poa kwa sasa yanalazimisha waonekane ni watani wakati kiukweli zamani kabla ya kufanikiwa makabila yanayowazunguka ilikuwa ni kama dharau wao kuwaita watani wa wakinga.

Wengi wameanza kuwajua hawa watu siku hizi ila ukianza kufatilia harakati zao tangu zamani hawa wakinga wamepitia magumu sana, walikuwa wanauza mitungi ya gesi kwa shida sana, njiani wiki nzima walikuwa wanakula mikate ya kuoka (mabumunda), wanatembeza mitungi ya gesi Matema mpaka Tukuyu sio mchezo.

Wapo juu kwa sasa lakini muda unavyokwenda hawatakua na mpinzani.

Siri yao kubwa hawa jamaa ni nodhamu ya pesa kubwa ambayo wengi twaiona ni ubahili, nyuma ya hii nidhamu ya pesa ni kutosahau walikotoka kwa mpaka walipo kwasababu ya nidhamu ya pesa na kuwa na malengo makubwa kuona walipofika hapatoshi wanahitaji kuendelea kujibana.

Kipato kikiongezeka ni kweli matumizi yataongezeka lakini kwa kiasi gani lakini ni muhimu kuangalia kiwango chake, hawa jamaa wanaongeza matumizi kwa kiwango kidogo sana huku wakiwa hawajaridhika walipofika, unaweza kuona mkinga kateka wilaya flani lakini yeye bado ataendelea kujibana ili ateke wilaya nyingine, ataendelea kujibana ateke mkoa, ataendelea kujibana ateke ukanda n.k. hawaridhiki na hawasahau walikotoka kwa kuiheshimu pesa.

Kwenye faida nako huwa hawana hata tamaa, lengo ni kupata wateja wengi, ni heri kuuza kwa faida ya elf 1 ili kupata wateja 100 kuliko kuuza kwa faida ya elf 5 kwa watu 10,

Kwenye starehe hawa jamaa wapo lakini bado nidhamu ya pesa inawalinda, heri anywe zake bia zake nyumbani kuliko bar
Siyo kweli.

Uchumi wa watu wa Nyanda za juu ni Uchumi unaotokana na Kilimo na sasa Ufugaji.

Hili ni Eneo la Kimkakati.

Watu hao wakija Mijini hawatumii pesa za Bank...

Wanakuja na savings za kutoka Shambani.

Pia wana MISITU...

Na kwa Sababu wao wanetoka Mashambani,hawana matumizi ya Hovyo...

Siyo Extravagance...

Hiyo ndiyo philosophy ya Wakinga.
 
Back
Top Bottom