Hahaha hahaha hahahaHahaha kuna watu wana ugali wao humu ...ohhh ...unashangaa una reply reply content then baadae unaulizwa " Yule hearly mnajua vipi " ........ !!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamaniHaha na hilo kufuli uliloweka " naanzaje kukwambia sasa ...acha tu ni baki na siri yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahaha hahahaSakayo sitaki kukwambia tena !!! Hapana sio kweli aise -----hili ni jibu la comment yako ya mwisho madame
Sent using Jamii Forums mobile app
cha muhimu uhai...ulijuaje mkuu,,Yani naenda kama narudi
Hahaa madame acha visa ..Hahaha hahaha hahaha hahaha
Mecheka saaaana jamanii, mbona mbiooo
ndio mkuucha muhimu uhai...
Hebu ukuje bana
Nije wapi sasa wakati pm umeipiga lock mkuu _ .. !Hebu ukuje bana
Si tunaongea hapaaaa...... Hahaha hahaha hahaha nimecheka mnooo! Eti mkuu, hebu hukooo
Haha basi nitaacha sinto kuita mkuu _ kumbe hautaki kuzeeshwa .... lakini madame nilichotaka kukwambia kinahusu nyara za serikali so ziwezi kukianika hapa ..... ila kama umeamua kuni chinjia baharini poa ..... kuanzia leo hauli kwetuSi tunaongea hapaaaa...... Hahaha hahaha hahaha nimecheka mnooo! Eti mkuu, hebu hukooo
Ukuu huo vipi?!Haha basi nitaacha sinto kuita mkuu _ kumbe hautaki kuzeeshwa .... lakini madame nilichotaka kukwambia kinahusu nyara za serikali so ziwezi kukianika hapa ..... ila kama umeamua kuni chinjia baharini poa ..... kuanzia leo hauli kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukuu huo vipi?!
Hizo nyara si umesema huko juu unataka kuona picha yangu kama yaliyomo yamo?!
Usinifanyie hivyo aki, nitaishije kijijini mie, vocha za shida na msosi uninyime?!
Hahaha yuko busy kweli anafuatulia mjadala kimya kimya daah !!!mtuchake hebu acha uchochezi, Hizo LIKE zote unataka kuninyima nini
Hahaha hahaha hahahaHaha sasa nikikuomba picha yako utanitumia hapa ....au ndio umeamua kunionea tu mtoto wa mwanamke mwenzio ....
Msosi lazima nikunyime... refer methali ya mwana mkaidi .............
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahaha hahahaHahaha yuko busy kweli anafuatulia mjadala kimya kimya daah !!!
Jf kuna manyatu nyatu humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh pm " mimi nilikuwa nakuhitaji kwa mambo mengine kabisa nasio ya picture masuala ya picture najua nikiihitaji hata sasa naipata ... maana nina zungukwa na team.kubwa ya mashilawadu ...so nikiwapa kazi baada ya dakika kadhaa napata majibu ..hahaHahaha hahaha hahaha
Mimi nakutumia tuu apa naweka emoj kwa uso!
Halafu pm sijui kutuma picha kabisaaa!!
Usininyime chakula bana
Hahaha hahaha hahahaDahh pm " mimi nilikuwa nakuhitaji kwa mambo mengine kabisa nasio ya picture masuala ya picture najua nikiihitaji hata sasa naipata ... maana nina zungukwa na team.kubwa ya mashilawadu ...so nikiwapa kazi baada ya dakika kadhaa napata majibu ..haha
Sent using Jamii Forums mobile app