Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

Wana Jamii naombeni Msaada....nimepoteza Hati ya Umiliki wa Hisa za TBL leo mwaka wa 16 nifanye nin kukomboa Hisa zangu......?? Msaada naomba...

Nenda TBL utakutana na mtu anayehusika na kitengo cha hisa. Anzia hapo.
 
Wana Jamii naombeni Msaada....nimepoteza Hati ya Umiliki wa Hisa za TBL leo mwaka wa 16 nifanye nin kukomboa Hisa zangu......?? Msaada naomba...

Kwanza ulizi nunulia wapi?unaenda ulipozinunulia kuna maelezo wanakupa unaenda pata loss report Kituo cha polisi, then kuna form utapewa pale uliponunulia itakuwa certifed na mwanasheria,wataprint tena cheti chako,ukachukue gawio lako.
 
Zipo biashara zenye return on investment mpaka mara 1000 sema wengi wetu hatujui
 
Crypto currency so far has the highest return on investment ever recorded in the financial sector
 
Crypto currency so far has the highest return on investment ever recorded in the financial sector
Nimefatilia bitcoin kutoka last year kwenye mwezi wa 10 mpaka leo imepanda kama kwa 200% ni hiyo unazungumzia? ama kuna crypto currency ingine? wewe unajishughulisha na kuwekeza huko?
 
Nimefatilia bitcoin kutoka last year kwenye mwezi wa 10 mpaka leo imepanda kama kwa 200% ni hiyo unazungumzia? ama kuna crypto currency ingine? wewe unajishughulisha na kuwekeza huko?
Huwezi kuinvest leo kwenye bitCoin leo naenda is coin is already so expensive and mining is even most difficult I work with another company ambayo nimeinvest and it's performing much better than bitCoin with market capitalization of over 5billion euro already, if interested nicheki inbox or 0717190409 will show you how! This is a massive opportunity
 
Jana imefunga 1040 leo ingawa ilifika 1060 leo inaonekana mpaka sasa imesimama kwenye 1060 ila bidder wako wengi wakati offeror ziko chini kama tunavyoongea kuwa uhitaji (demand) ikiwa kubwa kuliko upatikanaji( Supply) bei huwa inabanda sasa kuna tofauti kubwa ukiangalia kwenye repoti bidder 1.1m wakati seller elf 23 kama nilivyosema mwazoni 1300 ni big resistance ikitoboa hapo huko juu inaitwaga thin air ila naona kuna opportunity za kunua kwa nyingine ila labda tusubiri wiki hii ipite tuone soko linavyofanya. Ila market hii wangekuwa wanaruhusu Short selling kama za huko nje soko lina short sell opportunity za kutosha sana kuna watu wangefika shilling 10 hapo

Yaani ukiangalia kama nilivyofanya calculation kitu ilipotoboa 1300 ilikimbia mpaka 1720 sasa imerudi kwenye 1060 na inaonekana buyer wako wengi bado 1300 inaweza kurudi real market is funny. Disclamer angalizo huo sio ushauri wa kununua au kuuza stock ukitaka ushauri huuo watafute stock broker walioruhusiwa na sheria ya nchi yetu na wala past performance doesnot determine future outcomes
 
Somo zuri kwa tusio na elimu Kununua Hisa,cha msingi tunapouliza maswali wenye ujuzi mtusaidie majibu.
 
Daaahhh, elimu muhimu kwa watu asa vijana wawekeze, lakn mtu asilete njaa zake eti utaweka milion 1 upate milion 5 kwa kipindi kifupi hii ni biashara ya mda mrefu, kwa wenzetu kuna watu warithi hisa za babu zao walizo nunua wakiwa vijana. So hii ni biashara ya mda mrefu
 
Daaahhh, elimu muhimu kwa watu asa vijana wawekeze, lakn mtu asilete njaa zake eti utaweka milion 1 upate milion 5 kwa kipindi kifupi hii ni biashara ya mda mrefu, kwa wenzetu kuna watu warithi hisa za babu zao walizo nunua wakiwa vijana. So hii ni biashara ya mda mrefu

Unaweza ukapata quick short term returns vizuri sana by simply taking advantages of market movements and trends from excellent investment analysis, portfolio and financial risk management.

Kuna vitu kama IPO, Primary Market and Secondary market. Just know what ur in for.

Usiwe mropokaji if u have no idea of what ur saying. We mwenyewe seems hujui kitu vile vile.

Wewe muhimu ni ujue " A bird in hand is worth two in the bush ".

Sio kila kitu long term makampuni mengine yanakua outgrinded due to technology advancements e.g. Konica na smartphones. Sasa ww kama sio mfatiliaji wa mambo utakuja kula hasara na uzee huo. Watu wanawekeza in fixed assets mostly huko kwingine ni kama ndoano za ku rake in more money/dividends.
 
Back
Top Bottom