Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

DSE has nothing to do with share price, its all about supply and demand
Kama unafikiri wao wanashindwa kufix price supply inapokuwa ndogo kuliko ile waliyoitegemea basi endelea kufikiri hivyo mkuu..

BTW kama unauzoefu na hizi tradings ni lini uliona price inakuwa doubled within 1 or 2 months?? Biashara ya namna gani hiyo?
 
unaongelea doubled? I've seen in major financial markets price inakuwa tripled in one day
 

Ndio maana yake. U absolutely get my point.

Hlo somo la Investment Analysis & Portfolio Management ndio balaa....sasa humo ndio unaface the real financial engineering the solid mathematical computation part on stock prices, financial risks, asset value and pricing models in numbers.

Ni numbers numbers numbers sana tu. Daaah shule kuna wakat unapewa assignment za mtu 2 au 3 given a case study inabidi m calculate returns, risks, volatility then mchore table, graphs, charts na maelezo yaliyojaa nyama (facts) unaweka kwa powerpoint presentation then present kwa lecturers in a conference room na unatakiwa utoe ushauri as a financial consultant kwenye case study husika....na kuna maswali unaulizwa pale.....aaah ***** utalia wewe (nili loose weight sana msimu ule, hlo dude ni nyoko sanaa)

Ukisema uletee mambo ya kutegea ur group mate(s) iwe asians, nigerians or these white people wanakuchoma live kwa lecturer cz kila mtu anataka apige A(banda).....asa usitegemee utakula good time then utoke ki ndezi ndezi tu.
 
Lakini nime google hapa, ukitafuta hizo kampuni za online kuna nyingine zinaweza kuwa trusted na wala haina shida.. ila kweli kama ulivosema kuna matapeli kibao. Na wewe unafanya hii business ya financial markets mkuu?
 
Wewe utakuwa ni mzaramo au mkwere...

Cha kushangaza kwenye huu uzi naona wamejaa wachagga tu wanapeana fursa, alafu wakifanikiwa mnawaita wachawi, waweka mandondocha na majambazi...
Ye mwache aseme ni wizi akati mi najua kuna mtu ana make almost 4 million per month kwa kuwekeza huku kwenye hisa na haya makorokocho ya financial markets.
 
Umaskini mbaya sana ndugu...hata mimi siamini nnachoona daaah najuuuta!!!! Ila nnacho amini nafasi itatokea tena na ikitokea watajuta kunijua!
Sio tu mpaka itokee tena hata sasa hivi unaweza kwenda DSE ukachagua hisa za kununua and possibly after a month kama utakuwa umefanya upembuzi vizuri you can have your stakes. Ukiwa mjanja kwenye soko la hisa unaweza pata almost return ya 10% ya equity yako per month.
 
Ye mwache aseme ni wizi akati mi najua kuna mtu ana make almost 4 million per month kwa kuwekeza huku kwenye hisa na haya makorokocho ya financial markets.

Huyo jamaa yako ana trade market ya hapa bongo pekee au na za nnje ??
 
Nimeicheki tayari.. but it seems like forex ni kama gambling? how would you know if the market is going up or down?
 
Huyo jamaa yako ana trade marjet ya hapa bongo pekee au na za nnje ??
Unajua hata haya ya hapa bongo ukicheza vizuri yanaweza kupa return kubwa mno, sema inaonekana atakuwa ana trade na stocks za nje ya nchi. Sana sana za america.. unajua kule price ina fluctuate ndani ya masaa na ukiwa mjanja you will have your stakes
 
Kabla hujaanza kutufundisha show us your forex trading P & L statement na usitulee demo,tuwekee live account from a credible broker

Wewe unamtumia broker yupi?
 

Tuambie possible scenario ambayo DSE wanaweza kuitumia kufix price.
 
Unajua hata haya ya hapa bongo ukicheza vizuri yanaweza kupa return kubwa mno, sema inaonekana atakuwa ana trade na stocks za nje ya nchi. Sana sana za america.. unajua kule price ina fluctuate ndani ya masaa na ukiwa mjanja you will have your stakes
Ndio maana yake ukicheck America kuna one of the biggest financial center pale i.e. NYSE....makampuni ni mengi mno.....

Kujua stock prices za companies waweza check yahoo finance u can manipulate the data in whatever way u want graph, charts etc. Pia kujiunga na groups za stock traders linkedin, Instagram, facebook, yahoo itakusaidia sanaa kujiongeza mwanga.

Fluctuations za stock prices hapa bongo mara nyingi ni mihemko tu cz company zenyewe zinahesabika ni kawaida watu kushoboka na kitu kipya in the market waki expert returns kubwa in a short while.
 
Invest in analysis and forecasting.

Ukiweka akili yako kua hii ni gambling hutapata kitu.
Ngoja nijarubu kui master hiyo skill kwanza. Na wewe upo kwenye hiyo mambo mkuu?
 
yaah ulichosema ni kweli kabisa mkuu. stocks za nje ndo mpango mzima. Halafu mkuu wewe una potential kubwa ya kuwa ndani ya hii business. Why are you not in? Naona kama ungeweza kucheza sana na soko. Kwa knowledge yako naona kabisa you would be making millions by now.
 
Hahahaha pole sana mkuu sasa kama angefanya hivo hiyo faida ya milioni 15 angakupa wewe si ungekuwa sasahiv una mtaji wako mrefu tu?
 

Kabla hujachagua broker wa kutrade naye angalia reviews zake kwenye mitandao.
Hakikisha broker wako sio Market Maker. Either awe ECN au STP. Kuna wanaosababisha slippage na wengine ni instant execution.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…