FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Kama unafikiri wao wanashindwa kufix price supply inapokuwa ndogo kuliko ile waliyoitegemea basi endelea kufikiri hivyo mkuu..DSE has nothing to do with share price, its all about supply and demand
BTW kama unauzoefu na hizi tradings ni lini uliona price inakuwa doubled within 1 or 2 months?? Biashara ya namna gani hiyo?