Nawapa tahadhari, msitapeliwe

Nawapa tahadhari, msitapeliwe

Your job is very simple just subscribe Youtube pages after that send me screenshots and you will get paid.
Click on the link below and subscribe to our youtube channel and send me a screenshot

Hivi kuna ndezi wanakula za uso na hawa wajinga
Huyo alinicheki nikafuata maelekezo yote. Sasa badala ya kunilipa mara akanitumia Link ya telegram nikamblack😅
 
Swali Kwa mtoa mada kwanini haukuendelea kufanya Hilo Dili la 10,000 Kwa siku? Kwa nini ulikubali kuinvest ela kubwa zaidi? Nipe Mimi hiyo link nipate buku teni.
Wajinga hamtaisha, unadhani una akili kushinda hao wanaowatapeli? Hiyo akili yako wanayo zaidi ya hiyo ndo maana ulivyo mjinga unekubali eti upate elf 10 ya bure kila siku. Hilo wanalijua sana na hiyo hela hutapata.
 
Ahsante kwa kutufahamisha maana, njia ulipita wewe kama ina shimo😀........ni vyema kumtarifu wa nyuma yako kwamba mahali katika njia fulani kuna shimo. Hili mwingine asije kudumbukia kama ulivyodumbikia wewe😀

Unastahili Tuzo ya Tanzania Comedian Award na mgeni rasmi awe Mama wa JMT (samia).
 
Ahsante kwa kutufahamisha maana, njia ulipita wewe kama ina shimo😀........ni vyema kumtarifu wa nyuma yako kwamba mahali katika njia fulani kuna shimo. Hili mwingine asije kudumbukia kama ulivyodumbikia wewe😀

Unastahili Tuzo ya Tanzania Comedian Award na mgeni rasmi awe Mama wa JMT (samia).
NDIO MANA NIMEKINBILIA KUTOA TAHADHARI. weng wanaongea ongea tu na kuona wana akili sana. ila kila mtu akisema alivotapeliwa mjini hapa
 
Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.

Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.

Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.

Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Acha akutane na wajanja zaidi yake 😂😂
 
Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.

Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.

Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.

Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Ni wewe uliyeshindwa kama unavyosema, unaona wivu wenzako watafaidika, laiti ungefanikiwa kuweka mambo yangekuwa muswano.
 
Back
Top Bottom