Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ni mdau wa JF?noo ipo hiv mdau
sio mim unaona? ni jamaa yang mmoja respectively sana.asingekuja humu
Utaliwa bila ugaliNipe namba yao wanitumie hiyo 5k ya mwanzo.
Wao wamepata faida 300,000-15000-50000 =245,000 pole sana ,hakuna hela ya bure ,wao wanazalisha nini? kwanini wasichukue ndugu zao wazalishe hizo hela wakupende wewe?Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.
Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.
Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.
Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Tunakulaga 5k zao tunasepa, hatuweki pesa. Ww chambo, imekumala.Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.
Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.
Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.
Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Wakishanitumia hiyo 5k hawaoniUtaliwa bila ugali
Wale ni wenyewe wanafanya vile ,hawawez kukuruhusu ucomment popote ,ogopa mtu anaefunga commentwana grup lao telegram jamaa wanatuma miamala waliyopokea ni milion milion mara laki tisa .
Sasa kwa apande wako unaweza kushangaa wakaishia kwenye laki 1 au elfu kumi 🤣🤣Wakishanitumia hiyo 5k hawaoni
Ulishafanikiwa kutoa hata tsh 5000?
Poleni sana Kwa utapeli huo wa kidigitiKuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.
Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.
Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.
Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Haina tofauti na kumtega kuku na punje za mahindi.Jumla ya 15,000 unatumiwa kwenye mobile number yako uliyoijaza siku hiyo hiyo, maana kwa siku wanakuwa na task kama 24, Kila task 1000, kwahiyo ukifikisha 10 unatumiwa 10k na mwanzo ukijisajili Wana kutumia 5000, sasa hapo ndo mwenye tamaa anavaba anaweka hela yake