Nawapa tahadhari, msitapeliwe

Nawapa tahadhari, msitapeliwe

Hao jamaa toka mwaka Jana mpaka sasa nishapita na hela zao nyingi za trial, wakinipa 10,000 la commission ya siku hiyo na kwenye group Lao natoka, wako sana Instagram na WhatsApp, ukipatana nao huko wanakupeleka telegram, ukiwa na tamaa unalizwa.
 
 
Nikishaona code no tofauti na TZ anaanza Hi cjibu maana najua sina rafiki wala ndugu Ulaya Afrika kati wala.magharibi sa nijibu ya nn mwishowe nishawishike kujua anahitaji nn Badae nijikute nimehakiwa vi Acc vyanguu..woi kwa hapo nishawini nablock faster staki ushenzi
 
Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.

Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.

Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.

Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Wao wamepata faida 300,000-15000-50000 =245,000 pole sana ,hakuna hela ya bure ,wao wanazalisha nini? kwanini wasichukue ndugu zao wazalishe hizo hela wakupende wewe?


Pole sana mkuu, wengine kuwa makini na watu wa forex signal,sijui account management ,sijui robot
 
Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.

Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.

Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.

Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Tunakulaga 5k zao tunasepa, hatuweki pesa. Ww chambo, imekumala.
 
Jumla ya 15,000 unatumiwa kwenye mobile number yako uliyoijaza siku hiyo hiyo, maana kwa siku wanakuwa na task kama 24, Kila task 1000, kwahiyo ukifikisha 10 unatumiwa 10k na mwanzo ukijisajili Wana kutumia 5000, sasa hapo ndo mwenye tamaa anavaba anaweka hela yake
Ulishafanikiwa kutoa hata tsh 5000?
 
Ukiona mtu anaweza kutapeliwa kipumbavu basi tambua hata kuf*rw* ni rahisi sana
 
Jamani wabongo wakoje.mbona mnapenda vya bure.sasa nawaambia hizo Bure zitawauwa...kila siku mnaambiwa Epuka matapeli hamsikii.
 
Watu mna bahati ya kutapeliwa 😂, mimi huwa sipati hiyo bahati sijui kwa sababu sina pesa?
 
hao nimewapiga helawakaniblocjk wenyewe ya kwanza nilikua 65k ya pili nilikula 32... kule kwenye kuview nilikula kama 10 kibao kuweka mzigo nkawa siweki mpaka wakaniambia kama hauweki hela haupo sirius wakanblock
 
Kuna namba ya South Africa ilinicheck WhatsApp wakasema nikiwa natazama bidhaa Amazon nitakuwa napata commissions na kwa kuanzia nikatizama palepale nikapata 5000. wakanitumia link Telegram. Sasa kule wakaniambia kila post ya bidhaa sh 1000. Tumeenda jioni nalipwa 10,000.
wakaseema niki invest nitapata faida, nika invest 80,000 nikapata 130,000.
wakaniambia invest 300,000 nitapatq 540,000.

Kuweka hiyo 300,000/= wakaniambia system imegenerate niweke 980,000 nitapata 980,000+540,000. nilivoshindwa ndio na hela imepotea.

Natoa angalizo ukiona hao amazontzs. kuwa makini.

Ndugu yangu ndio kaliwa hivo
Poleni sana Kwa utapeli huo wa kidigiti
 
Jumla ya 15,000 unatumiwa kwenye mobile number yako uliyoijaza siku hiyo hiyo, maana kwa siku wanakuwa na task kama 24, Kila task 1000, kwahiyo ukifikisha 10 unatumiwa 10k na mwanzo ukijisajili Wana kutumia 5000, sasa hapo ndo mwenye tamaa anavaba anaweka hela yake
Haina tofauti na kumtega kuku na punje za mahindi.
 
Back
Top Bottom