Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Thanks a lot Taz, kumbe mie na my swahiba husninyo tunabamba eeh?.. Tulikuwa na mpango wa kuweka avatar kabla mwaka haujaisha ila hatuweki tena, wacha tuendelee kubamba kimya kimya!...

Ngoja nimtafute swahiba husninyo tuje tukupige ofa ya lunch...subiri hapo hapo tutakupitia mda sio mrefu!
 
Reactions: Taz
1 hiyo intelligence ya kuvizia nikichochea na msuba ndo kichwa inakuwa mwake (don't try that at home)
2 husn na sl hawana lolote, idea wanaiba kwangu kwanza!
3 kumbe laki si mahela ni mdada? Kazi mnayo ya kusaka millioni kufanya ugomvi!
Afu mke mwenza umeanza lini kuweka siri za chumbani hadharani? Subiri nim dipu mkweo aje tuje tukuchangie, peke angu sikuwezi manake unapenda sana kung'ata!,.

V'day imemalizika wifi kasema anaomba urudishe vile viatu, mie pia mkanda wangu nautaka leo jioni!
 
I like you too Taz, sisi ni wafuasi wa King'asti bana, tunaibia ibia kwake ila nafurahi kama vile tunavyo viiba huwa unavikubali....
 
Reactions: Taz
nalitoka kidogo. what are you laughing at go back to topic
 
Hahaha! Mke mwenza uko juu, wakubali wakatae!...huezi amini mie pia nakuzimiaga haswa, na kilichonifanya nijipendekeze kwako mpaka tukawa karibu ni hii staili yako ya kukomenti kama utani afu ndio wamaanisha lol... Walie wasokuwa na mke mwenza kama wewe!.. Jioni tutakuwa wageni wako....
 
pls wote wamekataa kunitaja naomba basi wewe personaly unitaje kuwa ni namba wani wako.
Ooh..hawajui wewe ndio kila kitu kwenye hili jukwaa? Personally naku admire sana, especilly kwenye zile sred zako!! Sijui this time utakuja na nini tena!! Waiting...
 
Mkuu huwa huendi taarabu nini, siamini kongosho hayupo hapo. Upendeleo wa wazi wazi huu
 

hehehehe! Nakufata kila utakapoenda swahiba. Kumbe bila avatar pia tunaoshaaaa eeh?
 

mimi luv yuuu baba maua.
 
1 hiyo intelligence ya kuvizia nikichochea na msuba ndo kichwa inakuwa mwake (don't try that at home)
2 husn na sl hawana lolote, idea wanaiba kwangu kwanza!
3 kumbe laki si mahela ni mdada? Kazi mnayo ya kusaka millioni kufanya ugomvi!

halafu wewe unabahati umenizalia chema. Ningekutwanga mangumi hadi bamkwe paw akusahau.
@taz njo huku nikupe idea.
 
Reactions: Taz
Hahahaaa Michael s. Ahsante. . Kweli wewe ni great thinker! Udadisi unakuja unapopiga picha na kupata flash tu lol. . Kwanza sikukuachia swali kule wewe? Ngoja nikaangalie hatima ya yule bekitatu. .
 
halafu wewe unabahati umenizalia chema. Ningekutwanga mangumi hadi bamkwe paw akusahau.
@taz njo huku nikupe idea.
Bora umekuja, nilikuwa nakusubiri twende tukamchangie, haijalishi kama kakuzalia chema! Zunguka nipo huku uani navaa bukta!
 
Bila CCM ungekuwa hapo ulipo? Kwa taarifa yako hata hii JF ni ya...
Ndio maana yule babu wa karatu kajidai kukimbia huku kwenda kuanzisha forum yake! Shame on him!




Mtaji wenu wa kisiasa ni watu wenye njaa kama hawa

Ngoja nipite tu kumbe MMU imekuwa ya siasa siku hizi............
 

Umetambuaje jinsia zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…