Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Yaani hapa unazidi kuniacha hoi! mpaka mapigo ya moyo yanaongezeka kasi!
Aaaa kama mwanakondoo vile kichwa chini.
Asante dada!

Acha kutuletea lyrics za Fresh Jumbe wewe, kama vp we tangaza nia halafu usubirie shori tasema nini....au unaogopa cha mbavu?!
 
valentine 1.gif

Nilisahau kukupa zawadi yako jana,
kwa kuwa umenikumbuka pokea zawadi japo kwa kuchelewa.
 
Mamndenyi na Afrodenzi.............mungu kwajaalia kuwajali wengine........I hope this your real life character!
AshaDii , RussianRoullete.........sijui nimepatia spelling.............kauli zenu zisizotafutafuna maneno na utayari wenu kutoa msaada na kuasa!
Husninyo, Ndeonasiae, Mwanajamii.............Daima marafiki.........
Liz, Cantalisia...........Critical thinkers...lazima nirudie kusoma post zenu

But wapi Theodora, Nyamayao na Firstlady?

MJ asante sana kwa kuniona,
lol najua unamapenzi makubwa sana na mimi mama yako,
I Love u my son. mwaaaaaaaa!!!!!!!!!!
 

Acha kutuletea lyrics za Fresh Jumbe wewe, kama vp we tangaza nia halafu usubirie shori tasema nini....au unaogopa cha mbavu?!
Wewe tu mbona mwenyewe kashaelewa!


Mkuu, hiki kiswahili hapo kwenye red sio kizuri hata kidogo, hususani kule pande za kwetu!!! Au ndo unamaanisha?!
Yaani kiko sahihi kabisa. kama ambavyo utakitafsiri.
 
Why not? nitakuja na nitavaa gawn ya satin na kofia kubwa yenye nyavu kwa mbele... akitoka jaso nafuta tu...
Harusi lini tujiandae for the ultimate chit chat party?

Aiseee,hata wewe?
Naomba upeleke maombi yangu kwa kina max kwamba
waweke description ya gender upande wa kulia pale kwenye Join date,location,...etc kuwe na gender???

Coz all the time najua wewe ni "HE"
 
Thanks a lot Taz, kumbe mie na my swahiba husninyo tunabamba eeh?.. Tulikuwa na mpango wa kuweka avatar kabla mwaka haujaisha ila hatuweki tena, wacha tuendelee kubamba kimya kimya!...
Ngoja nimtafute swahiba husninyo tuje tukupige ofa ya lunch...subiri hapo hapo tutakupitia mda sio mrefu!
Imekua diner sasa...

I like you too Taz, sisi ni wafuasi wa King'asti bana, tunaibia ibia kwake ila nafurahi kama vile tunavyo viiba huwa unavikubali....
hehehehe! Nakufata kila utakapoenda swahiba. Kumbe bila avatar pia tunaoshaaaa eeh?
Nawakubali mno. Mmewazidi wenye maavatar wote!
halafu wewe unabahati umenizalia chema. Ningekutwanga mangumi hadi bamkwe paw akusahau.
@taz njo huku nikupe idea.
Nipo... :gossip:
 
list haiwezi kamilika bila kuwemo.
Nazjaz
Bebii
Zinduna
Hawa nao hufurahisha jukwaa.

Huu ni mtizamo wako! lakini pia kumbuka yeye amesema anawapenda hawa wadada na sio vinginevyo! so unaweza kuanzisha thread yako ya kuonesha kuwa MMU bila hao ulowataja haijakamilika.....
 
Ni mtazamo tu! kama haikuhusu ipotezee au "PITA" Haina kubeza, Waacheni wajione michael anawaangalia kwa mtazamo gani.

AshaDii: Aunt heshima yako! Naomba urudishe shungi vidume vishaanza kutokwa udenda!
Afrodenz: Designer! nakukubali mrembo Jicho kama umekula kungu manga lainiiiiiiii.
Amyner: Mrembo uko poa kama ulivyo. September baby!!!

Black Womani: Black beautifuly
Cantalisia: Binti Mtambuzi uko poaa! Dogo katangaza nia kaishia mitini, Baba mkwe mkali
Da Pretty: Uko poa dada, Ila mtu kama yuko kwa nyuma yako basi anafaidi.
Firstlady: Jicho na mdomo aaaaah Mashaalah.

Kabakabana: Uko bombaa! mpaka unatishia usalama wa Mwali
King'asti:
Uko poa mtu wangu sema leo umerusha stimu! jibu hapa
Kipipi: Nambie mtoto wa kisukuma tupe kwa mbele sura tuione vizuri.

Kisukari Kama jina lako lilivyo, na huo mkono kama warusha kiss kwa mtu
Lizzy: Jimama la Unga LTD vipi kwemaa!?
Mwali: Hivyohivyo mama naona mtakatifu kaamua kukufunua shungi. Uko bomba! akugusi mtu.

Mamndenyi: Huyo bibi hapo anatuziba hatukuoni vizuri.
Mrembo by Nature: Hi
MwanajamiiOne: Jicho lako dada wee!

Preta: Aaa una macho laini mazuuriiiiii
Russian Roulette: Mmh Usinipige Ban mkuu, Hicho kifua kinamtoa udenda babu Asprini, Uko bomba mbaya.
Smile: Oooh! Pole mrembo endelea kumuuguza mama yetu.

Twande: Na wewe mtata mdadisi mpaka basi kwa baba mkwe Mtambuzi.

Jamani kama nimemkwaza mtu anisamehe, kwangu ni amani nawapenda wote members wenzangu!

Asante mdau kwa kutumia angalau muda wako kuandika jina langu..hii ni appreciation tosha! japo sijaelewa kilichoandikwa kama utambulisho kwangu ...kama hutojali naomba unieleweshe kidogo hiyo "HI" imemaanisha nini...

Thanx once more
 
ndio hivyo dini hairuhusu kaka.

Ah,dini ni za kibinadamu bana tena siku hizi ni biashara.
Nlidhani utasema "Mungu haruhusu" kumbe ni dini hairuhusu?
Basi hamia dini inayo ruhusu bana.

Nisaidie huu mtihani kwanza,...eti
kiboko na mamba nani kiboko?
 
Asante mdau kwa kutumia angalau muda wako kuandika jina langu..hii ni appreciation tosha! japo sijaelewa kilichoandikwa kama utambulisho kwangu ...kama hutojali naomba unieleweshe kidogo hiyo "HI" imemaanisha nini...

Thanx once more
Mrembo hautaki salamu?
 
Ah,dini ni za kibinadamu bana tena siku hizi ni biashara.
Nlidhani utasema "Mungu haruhusu" kumbe ni dini hairuhusu?
Basi hamia dini inayo ruhusu bana.

Nisaidie huu mtihani kwanza,...eti
kiboko na mamba nani kiboko?
Labda ahamie Airtel?
 
Ila umeingia cha kike wengine hapo ni vidume.................nikutajie?
 
Back
Top Bottom