Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

Huna lolote. Nyg tu zinakusumbua...
 
Katika wote hao ulio wataja physicaly, mpole, mkarimu na charming sana ni Val....... Hao wengine sina data.
 
Wote wana sifa moja....WANAPENDA PESA BALAAAA!!!
 
Miss chagga, lazima akutafute inbox... Wallahiy nakuambia.. Haipiti dk 15, utatujuza hapa
 
Mkuu,hivi unazo hela za kutosha??Maana mmoja Kati ya uliowataja hapo nilimpa ka-BMW na kabanda kamoja huko mbweni ka-million 200 siku yake ya kuzaliwa!
[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
mm nayemjua mpole, mcheshi ana hekima na busara ni moniccca!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…