Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Una hasara kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u can't believe cjawah hata jaribu dawa yoyte ya kuongeza nguvu za kiume, just me who i am, may be somethin is inside me!
Nina miaka 25 toka nina miaka 16 nimekuwa napenda xana kulala na malaya, kama pesa ipo huwa nawatafuta mpaka niwapate mpaka xaxa nimelala na malaya c chini ya 150, nakumbuka mwaka jana xehemu flani hapa mbeya nililala na malaya watano kwa ucku mmoja, ucxeme kuhuxu ukimwi coz natumia condom na napima kila baada ya miezi mitatu, still negative, kinachonichanganya umri unaenda inanibd kuoa na cjui nitaachaje coz nawapenda xana na naenjoy, mbalizi, mbozi, tunduma, njombe, makambako, mafinga, iringa, songea, singida, dsm ndo ucxeme nimepita vwanja vyote! huwa chok kufanya mapenzi!
Ustake ncheke babu una vumba...
Zaidi ya 150?? Duh! Kama ni kweli wanavyosema kwamba ukifa unabandikwa hizo vitu kwa idadi ya ulizopitia, then we jamaa Itabidi wakufungashie kabisa nyingine uende nazo, coz hazitatosha zote mwilini.
Mi nazani ungejiita wewe ndio malaya na sio hao unaowafata.
Na utawapata Malaya wenzio unakufa
Na utawapata Malaya wenzio unakufa
Wewe unaona ufahari kutembea na malaya 150?
dogo kama umepita tunduma baaaasi ..ukimwi wa tunduma hausikii condom uliza uambiwee