Nawapenda sana malaya

Nawapenda sana malaya

Kamata Malaya mmoja anayekurusha roho tia ndani na kumpandisha cheo toka Malaya na kuwa mke AKA mwenza wa maisha.
 
Zaidi ya 150?? Duh! Kama ni kweli wanavyosema kwamba ukifa unabandikwa hizo vitu kwa idadi ya ulizopitia, then we jamaa Itabidi wakufungashie kabisa nyingine uende nazo, coz hazitatosha zote mwilini.
 
Nina miaka 25 toka nina miaka 16 nimekuwa napenda xana kulala na malaya, kama pesa ipo huwa nawatafuta mpaka niwapate mpaka xaxa nimelala na malaya c chini ya 150, nakumbuka mwaka jana xehemu flani hapa mbeya nililala na malaya watano kwa ucku mmoja, ucxeme kuhuxu ukimwi coz natumia condom na napima kila baada ya miezi mitatu, still negative, kinachonichanganya umri unaenda inanibd kuoa na cjui nitaachaje coz nawapenda xana na naenjoy, mbalizi, mbozi, tunduma, njombe, makambako, mafinga, iringa, songea, singida, dsm ndo ucxeme nimepita vwanja vyote! huwa chok kufanya mapenzi!

Kweli nimeamini, chombo cha kuzama hakina usukani
 
Mi nazani ungejiita wewe ndio malaya na sio hao unaowafata.

auncle we hujui 2, hawa watu wako kazini zaid ya hta miaka mi2 na zaidi tufanye ktk cku 365 za mwaka anapata wateja cku 290, ina maana wanaume 250 uktoa wale wanaojrudia, mara miaka aliyofanya umalaya?, we unadhan nani malaya hapo?
 
Wewe unaona ufahari kutembea na malaya 150?
 
dogo kama umepita tunduma baaaasi ..ukimwi wa tunduma hausikii condom uliza uambiwee
 
kwl mzoea vyaku nyonga vyaku chinja haviwezi....aya tunakungojea ward ya mwisho..(internal medicine)
 
Back
Top Bottom