Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]

Ongezea mwingine .................
Ni kweli bikra au jina tuuu
 
1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]

Ongezea mwingine .................

Huyo Nyani ngabu anaishi pale tandale kwa tumbo,,,,,baba yake ni mjumbe wa nyumba kumi wa ccm,,
 
Wanaume wenye I'D za kike mmekuwa kero siku hizi sijui mnajisikiaje ku act kikekike
Watu wa namna hiyo jicho la tatu linahitajika kutumika, ili kuwaelewa kuwa ni watu namna gani, majina yote yakiume yaliyojaa, alafu mwanamme uchague jina la kike, kuna walakini hapo. Mfano wewe jina lako halisi ni Joseph jina la jamii forums, ukajiita Mkwenda, Tembo dume, au nyoka jangwa, kuna shida gani.
 
Watu wa namna hiyo jicho la tatu linahitajika kutumika, ili kuwaelewa kuwa ni watu namna gani, majina yote yakiume yaliyojaa, alafu mwanamme uchague jina la kike, kuna walakini hapo. Mfano wewe jina lako halisi ni Joseph jina la jamii forums, ukajiita Mkwenda, Tembo dume, au nyoka jangwa, kuna shida gani.
Ungekuwepo kwenye list ungeongea maneno hayo?
 
Back
Top Bottom