Malyakishu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,968
- 2,347
Director of Swahili TV and King of all social media networks.
Ni kweli bikra au jina tuuu1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr
Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!
Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii
1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu
2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]
Ongezea mwingine .................
1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr
Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!
Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii
1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu
2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]
Ongezea mwingine .................
[emoji23] [emoji23]Huyo Nyani ngabu anaishi pale tandale kwa tumbo,,,,,baba yake ni mjumbe wa nyumba kumi wa ccm,,
Ngoja ajeHuyo Nyani ngabu anaishi pale tandale kwa tumbo,,,,,baba yake ni mjumbe wa nyumba kumi wa ccm,,
Thnx my jf boyNa mimi nakupenda pia.
Thnx my jf boy
Watu wa namna hiyo jicho la tatu linahitajika kutumika, ili kuwaelewa kuwa ni watu namna gani, majina yote yakiume yaliyojaa, alafu mwanamme uchague jina la kike, kuna walakini hapo. Mfano wewe jina lako halisi ni Joseph jina la jamii forums, ukajiita Mkwenda, Tembo dume, au nyoka jangwa, kuna shida gani.Wanaume wenye I'D za kike mmekuwa kero siku hizi sijui mnajisikiaje ku act kikekike
tulikuwa tunabisha bure tu eti Nyani Ngabu na Kiranga hawafanyi kazi NASA. Kumbe ni kweli hawa jamaa wanafanyakazi hapo ya usafi machooni na kuwapikia chai wanasayans wa NASA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyani ngabu
NDIO ukweli wenyewe huoNgoja aje
Ungekuwepo kwenye list ungeongea maneno hayo?Watu wa namna hiyo jicho la tatu linahitajika kutumika, ili kuwaelewa kuwa ni watu namna gani, majina yote yakiume yaliyojaa, alafu mwanamme uchague jina la kike, kuna walakini hapo. Mfano wewe jina lako halisi ni Joseph jina la jamii forums, ukajiita Mkwenda, Tembo dume, au nyoka jangwa, kuna shida gani.
Wako ni nani?Bora kwenye list ya unaowapenda sijamuona wangu lol, mana nisingevumilia.