Nawapenda sana wanaume lakini kuna vitu mnatakiwa kuviacha ili niwapende zaidi

Okrap

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
1,112
Reaction score
2,311
Hivi ni kweli mnakosa 3000 ya kununua mkanda mpaka mfunge na kamba za viatu wengine mnatumia utambi wa jiko la mafuta kufunga suruhali zenu kweli vijana wangu mnakosa kabisa 3000 kununua mkanda?

Nunu mkanda wako vizuri funga kwenye nguo yako vizuri kama unachomekea shusha kidogo tu pendeza toka njeee ata ukisimamisha mdada anasimama mimi nawapenda wakaka ma HR wa taasisi binafsi wanajua kuvaa smart sana achana na hawa MA HR wa halmashauri nawaongelea hawa wa taasisi binafsi kama vile BRELA
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hawa ni wanaume wa Geita huko
 
Taasisi binafsi ya BRELA au siyo?
 
Daaaah,,, nmecheka bila kituo!!
 
Wewe figo76 ni blood sucking vampire, mwanaume unamkamua hadi nauli acha tufunge tu tambi za taa ili wanawake wanaoishi kwa jasho la watu wengine wavae vizuri
 
Mimi naona hata usipotupenda wewe inatosha tu wanawake wapo wengi watatupenda tu. So yaache tu kama yalivyo
 
Wewe figo76 ni blood sucking vampire, mwanaume unamkamua hadi nauli acha tufunge tu tambi za taa ili wanawake wanaoishi kwa jasho la watu wengine wavae vizuri
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ niny ndio mnafanya watu wanikimbie
 
Brela Ni taasisi binafsi ,mbna mjinga hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…