Nawapenda sana wanawake wa uswahilini kwa ubunifu wao.

Nawapenda sana wanawake wa uswahilini kwa ubunifu wao.

Tulio kuwepo 1998-2000 kicheko chao kilikuwa ni cha kiudhalilishaji. Heheeheeeeee waduduuuu wananyevua vuaaaa. Hapo umenyimwa mdinyano na umezira umejitenga
 
Nawapenda sana wanawake wa uswahilini kwa ubunifu wao.Hivi ni baadhi ya vicheko walivyocheka kwenye miaka tofauti.
2002 to 2004-walikuwa wanacheka "hehehe haloooo"
2005 to 2007-wakaja na "heheheee utajijuuu"
2008 to 2010-wakaleta hii ya "heheheee unalooo"
2010 to 2012-wakaleta "hehehe utajibebaaa"
2012 to 2014-wakaja na "heheheee kaoge"
2014 to 2015-safari hii hapa wakacheka "hehehe chezea mie wewe"
2016 -Hpa ss ndo wamekuja na "...heheheee KANTANGAZEEE.."
2017-Wamekuja na hii hapa hehehee wareree,wapi nyonyo
Je unahisi 2018 watabuni style gani ya kucheka?!
umesahau kidogo
.
siku izi wanacheka hivi
.
Hahahahahaaaa arafu wana malizia koromijeee.
.
jamani uswahilini ubunifu umetawala sana.
 
Hata kwenye upande wa kuwatafuna wako vyema kuliko kuku hawa wakisasa, wanaua kuzitumia ipasavyo maungo yao
 
Back
Top Bottom