Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kakudanganya nani? Una pesa nikupeleke viwanja vyao ukatest mbunye za Kichina?Kwa ninayoyaona mtandaoni na maisha ya uswahilini nimeogopa kuwa na watoto wa kike nahisi watakuja kunidissapoint .
This generation sucks inaleta disappointment sana kuona blunders zinazofanywa na this gender.
Humo Telegram na WhatsApp pamejaa magroup ya watoto wa kike wadogo kiumri wanajiuza, wanafanya mapenzi kinyume, yani vitu vya ajabu.
Nowadays pamezuka clips ambazo zinaoenesha wanafunzi wakiwa kwenye sare wanafanya twerking kama wanafunzi wa South Africa.
Nilitamani sana kuwa na generation kama ya China. China ina watu sawa na bara nzima la Afrika lakini imewadhibiti wote wamenyooka.
Umeshawahi kufika Hong kong, Ghuazoung na Macau?
Kule wanauza uchi na risiti ya EFD unapewa serikali inakusanya kodi.