Nawapiga chini marafiki wote wasiokuwa na tija kwangu

Nawapiga chini marafiki wote wasiokuwa na tija kwangu

Nakumbuka kuna kipindi pesa yangu ilikuwa nje nje tu full bata na ndugu na jamii baadae kushtuka nikawa nainvest sehemu ndugu na jamii yote ikanitenga nikabakia na familia yangu tu kila mtu akawa ananiona nuksi ila kwangu lilikuwa Somo zuri nikawapiga chini mmoja mmoja mpka ndugu bila kujali nikadeal na wale tu ambao tulikuwa pamoja kwenye majanga sasa nashukuru Mungu mambo yameanza kukaa sawa sijui wanapeana taarifa kila mtu anajaribu kutengeneza tena urafiki na mie ila nikimjua tu anakula tofali maana hana faida na Mimi ila yeye ndio mnufaka na Mimi
Ulifanya maamuzi sahihi mkuu
 
Kijana usipende sana furaha ya kuletewa, furaha yako itengeneze wewe mwenyewe. Si mbaya ukashare nayo hata kwa wengine pia.

Ila ukisema unataka marafiki, ndgu na wachumba wa kukupa furaha wewe unakosea maana hawakuja duniani kwa ajili yako bali kwa ajili yao na nafsi zao kama ilivyo kwako.

Jifurahishe mwenyewe.
 
Kijana usipende sana furaha ya kuletewa, furaha yako itengeneze wewe mwenyewe. Si mbaya ukashare nayo hata kwa wengine pia.

Ila ukisema unataka marafiki, ndgu na wachumba wa kukupa furaha wewe unakosea maana hawakuja duniani kwa ajili yako bali kwa ajili yao na nafsi zao kama ilivyo kwako.

Jifurahishe mwenyewe.
Kweli mkuu, furaha ni kujipa mwenyewe
 
Yeyote anayekunyima furaha, piga chini.

Maisha haya ni mafupi, haijalishi utaishi miaka 100 au 200; bado tutasema maisha ni mafupi tu, ikiwa na maana hapa duniani tunapita.

Hakuna haja ya kuwa na ndugu, marafiki, wachumba n.k wasiojielewa, ambao wanakupa msongo wa mawazo muda wote, na kukunyima furaha katika maisha yako.

Anayekupa muda mwingi kuumiza kichwa huku ukimuwaza yeye tu, na kupoteza furaha uliyonayo; wakati mwingine anakuletea magonjwa ya moyo, kisukari n.k katika kumfikiria.

Huu ni muda muafaka wa kumpiga chini; na kuambatana na ndugu, jamaa, wachumba, marafiki wapya n.k watakao kupa furaha na kuona dunia ni sehemu sahihi ya kuishi.

Wakuu, naanza kupiga chini vibwengo wote....
Hivi bado mnaishi Enzi za ujimaa au, mm tangu nipo form one mpaka Leo Sina rafiki na simu yangu phone book namba nimesave mbili tu ya baba na mama
 
Back
Top Bottom