Nawapongeza Diamond na Harmonize wameonesha weledi na ukomavu

Nawapongeza Diamond na Harmonize wameonesha weledi na ukomavu

Nadhani kuna siri kati ya wawili hawa... Diamond na Harmonize... Lakini hata kama ni siri lakini wameonesha ukomavu mkubwa kwenye mahojiano yao na media za bongo
Media za kimbeambea na chonganishi sasa inabidi zijipange kweli linapokuja suala la kiwahoji hawa vijana wawili.... Ona majibu ya Diamond

Diamond pia alizungumzia kuhusu Harmonize ambaye ametangaza kujiondoa kampuni ya WCB, “Nimempush Harmonize kufika hapo alipo, nafikiri sasa ni wakati sahihi wengine kuwasapoti, tamanio letu ni kuona tunafanikiwa, naomba watu wamsapoti lengo letu ni kusapoti vijana.”

Jana katika mahojiano hayo Diamond amesema, “nilibahatika kuona post kama watu wengine, na sikujua alilenga kitu gani, lakini Alikiba ni kaka yangu amenizidi umri alianza muziki kabla yangu.”

“Kwenye muziki kuna mambo ya ukitoa wimbo ni kama Simba na Yanga (timu za soka zenye upinzani nchini Tanzania) lakini haiwezi kutia chuki kati yangu na yeye,” amesema Diamond.

Hivi karibuni Harmonize pia alijohiwa na clouds.. Na ni wazi alichomekewa maswali mengi ya wazi na ya mtego ili amkandie Diamond.... Lakini kamwe hakufanya hivyo... Mwishowe aibu ikarudi kwa waandishi...

Hawa waandishi wetu ni lazima watambue kuwa zama zimebadilika. Hizi si zama za akina Hadija Kopa na Nasma Khamisi au Zay B na Sister P. Bifu mpaka mitaani na matusi ya nguoni juu.

Bado kuna shida kidogo kwa Alikiba lakini yeye kwasasa sio habaro tena. Media za bongo sana ni Mondi na Konde boy. Nao wamejua na kujitambua nini kilichopo mbele yao. Wote wanaojaribu kuwachonganisha ni kapuku wasio na mbele wala nyuma.

Ni funzo zuri toka kwa watoto
KUNA KUNDI LA WATU HUWA MAISHA HAYAWAFUNZI HATA KAMA WAMEPITIA MAGUMU NA MAZURI KIASI GANI China na KondeBay wame tumia principle ya kutanza SIRI ya rafiki no matter what
 
.
FB_IMG_15727598305523919.jpeg
 
Bifu ndo hukuza biashara ya muziki popote duniani,na ili bifu itokee lazma kuwepo na uchonganishi ambao ndo sababu ya kuzaliwa au kuendeleza bifu..lkn ktk bifu kila pande inatakiwa kujipanga vilivyo ili mmoja wao asiweze kupotezwa kimbinu na mpnzan wake..akitokea mmoja kashinda bas huyo lazma atafute bifu na mtu wa level yake kwa wakati huo..hii ipo ktk soko la muziki mahali pengi dunian

Bifu hukuza muziki,bifu hukuza biashara pia,bila bifu huwezi jua diamond angekuwa wap leo,alikubali bifu na kuhamishia ktk biashara,amefanikiwa kwa kias kikubwa sasa anarudi na mbinu nyingne..so acha bifu zitafutwe na ziendelee kuwepo
Hiyo ni kweli kabisa, lakini ni kama alivyoimba Dulla Makabila kwamba "kuwa na bifu sio mbaya lakini sio na washamba!"

Bifu tamu Bongo ni kama lile la Wanaume na East Coast Team...

Kiumeni wanatoa Ndege Tunduni,



ECT wanatoa Piga Manati!


Sema dah, wana hapo juu wanajua kabisa wana ujauzito wa miezi 7, wanaenda kumpiga masinge mkunga!!

Kwa Kiba sasa... anapigwa dis kwenye ngoma,yeye anakimbilia Twitter kwamba anajua mtoa dis (Diamond) anamchukia!!

Youtube Views wakiadimika kwenye ngoma zake, lazima alie alie kwamba anafanyiwa kuna watu wamesimamisha views wake!

Wakati ule kaachia Seduce Me akasaidiwa na Mange na akavuna Views wa kutosha tena kwa kasi kasi!! Sasa sijui hao wanaomuhujumu Views kwenye video zake zingine wanamuogopa Mange na kwahiyo hawakumuhujumu kwenye Seduce Me!

Yeye akipata Views wa kutosha, sawa tu lakini wenzake wananunua views!!

Nilivyomuona kavu zaidi ni kwenye show yake ya Mombasa! Mic error inaweza kusababishwa na sababu kadhaa lakini ile siku mic yake imegoma kusikika gtu, hapo hapo akautangazia umma kwamba Sallam alichomoa waya!!!

Sasa bifu la ina hii ndo lile Makabila kaliita Bifu na Washamba!
 
Chibu na Konde wanasiri kubwa sana tena ya kibiashara haya mambo ya M500 propaganda tu!

Kwanini hujaiandika!!!!

Nilisoma mtandaoni kwamba Konde kwenye shares za Wasafi Radio na TV yumo, ana shares kubwa na mkewe ndani ya ile % kwenye jina la Chibu. Chibu 18% tu
 
He never stopped... He never hot enough... Weird phenomenon....!!!
nimesoma hii comment mpaka nikamkumbuka michael jackson na wimbo wake wa don't stop till you get enough r.i.p mother f**k mj
 
Kwanini hujaiandika!!!!

Nilisoma mtandaoni kwamba Konde kwenye shares za Wasafi Radio na TV yumo, ana shares kubwa na mkewe ndani ya ile % kwenye jina la Chibu. Chibu 18% tu
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Chibu na Konde wanasiri kubwa sana tena ya kibiashara haya mambo ya M500 propaganda tu!
 
Kwanini hujaiandika!!!!

Nilisoma mtandaoni kwamba Konde kwenye shares za Wasafi Radio na TV yumo, ana shares kubwa na mkewe ndani ya ile % kwenye jina la Chibu. Chibu 18% tu
Msitulishe masalu ya nyanya za ilula.
Diamond Huyu huyu akubali kondeboy na mkewe wamzidi share kwenye umiliki wa kampuni?
Labda zile 2% ambazo hazijulikani ni za nani,
Maana ni 53% then chibu 45% na unknown 2%.
 
Bifu ndo hukuza biashara ya muziki popote duniani,na ili bifu itokee lazma kuwepo na uchonganishi ambao ndo sababu ya kuzaliwa au kuendeleza bifu..lkn ktk bifu kila pande inatakiwa kujipanga vilivyo ili mmoja wao asiweze kupotezwa kimbinu na mpnzan wake..akitokea mmoja kashinda bas huyo lazma atafute bifu na mtu wa level yake kwa wakati huo..hii ipo ktk soko la muziki mahali pengi dunian

Bifu hukuza muziki,bifu hukuza biashara pia,bila bifu huwezi jua diamond angekuwa wap leo,alikubali bifu na kuhamishia ktk biashara,amefanikiwa kwa kias kikubwa sasa anarudi na mbinu nyingne..so acha bifu zitafutwe na ziendelee kuwepo
Ed Sheeran ana bifu na nani?!
 
Msitulishe masalu ya nyanya za ilula.
Diamond Huyu huyu akubali kondeboy na mkewe wamzidi share kwenye umiliki wa kampuni?
Labda zile 2% ambazo hazijulikani ni za nani,
Maana ni 53% then chibu 45% na unknown 2%.

Na kuna wengine pia ndani ya hiyo uliyoandika.
 
Back
Top Bottom