Nawapongeza LATRA na SUMATRA kwa kuruhusu mabasi kusafiri saa 24

Nawapongeza LATRA na SUMATRA kwa kuruhusu mabasi kusafiri saa 24

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Wiki iliyopita nilitoka nyumbani Ngara hadi Mwanza nikiwa nataka Kulala nikakuta bus la saa 9 mchana kwenda Dar, nikafika Dar saa 2 asubuhi, aisee nilifurahi mno.

Zamani tulikuwa tunafika dar usiku wa manane na kuanza kusumbuka na usafiri na sehemu za Kulala , kisumbuliwa na wezi na kuibiwa kabisa.

Siku hizi hakuna gharama za ziada za safari maana usafiri upo muda wote
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Wiki iliyopita nilitoka nyumbani Ngara hadi Mwanza nikiwa nataka Kulala nikakuta bus la saa 9 mchana kwenda Dar, nikafika Dar saa 2 asbh, aisee nilifurahi mno.
Zamani tulikuwa tunafika dar usiku wa manane na kuanza kusumbuka na usafiri na sehemu za Kulala , kisumbuliwa na wezi na kuibiwa kabisa.
Siku hizi hakuna gharama za ziada za safari maana usafiri upo muda wote
Sifa ziende kwa AFANDE KANGI LUGOLA na Mwamba wa CHATO JPM vichwa vilivyokutana SENGEREMA SEC.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Wiki iliyopita nilitoka nyumbani Ngara hadi Mwanza nikiwa nataka Kulala nikakuta bus la saa 9 mchana kwenda Dar, nikafika Dar saa 2 asbh, aisee nilifurahi mno.
Zamani tulikuwa tunafika dar usiku wa manane na kuanza kusumbuka na usafiri na sehemu za Kulala , kisumbuliwa na wezi na kuibiwa kabisa.
Siku hizi hakuna gharama za ziada za safari maana usafiri upo muda wote
Edit tittle yako. SUMATRA wanahusika vipi na mabasi?
 
Miaka ya 1980's na mwanzoni mwa 90's mabasi mengi yalikuwa yanasafiri usiku. Ila wimbi la ujambazi na ajali lilipoivamia nchi kwenye miaka hiyo ya 90's, ndipo serikali ilipiga marufuku usafiri wa usiku.

Binafsi nimeitumia sana stendi ya Kisutu, na ile ya Morogoro mjini miaka hiyo.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Wiki iliyopita nilitoka nyumbani Ngara hadi Mwanza nikiwa nataka Kulala nikakuta bus la saa 9 mchana kwenda Dar, nikafika Dar saa 2 asbh, aisee nilifurahi mno.
Zamani tulikuwa tunafika dar usiku wa manane na kuanza kusumbuka na usafiri na sehemu za Kulala , kisumbuliwa na wezi na kuibiwa kabisa.
Siku hizi hakuna gharama za ziada za safari maana usafiri upo muda wote
Kusafiri usiku ni kurisk maisha yako kwa miundo mbinu yetu hii mibovu na madereva wasio pata hata muda wa kupumzika kujikuta kwenye korongo n dk 0 bwana mdogo
 
Kusafiri usiku ni kurisk maisha yako kwa miundo mbinu yetu hii mibovu na madereva wasio pata hata muda wa kupumzika kujikuta kwenye korongo n dk 0 bwana mdogo
Ajali inatokea muda wowote, iwe usiku au mchana ajali inatokea likubwa ni kuchukua tahadhari zote tu
 
Pia hii ya 24 imepunguza ajali za barabarani.

Magari yalikua yanashindana ili kuwahi kufika, sasa hiyo haipo tena.

Kikubwa ni kudhibiti mwendo na kuhakikisha barabara zinapitika muda wote pamoja na kuziba mashimo ya barabarani kwa wakati.tu basi.
 
Back
Top Bottom