bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Mabus usafiri usiku kwa sababu technology imewalaza njaa majambazi hata ukiteka bus utaambulia buku tu.
Watu hawatembei na cash nyingi kama zamani na ukijiroga ukabeba simu za abiria ushakamatwa.
Thus safari ni salama siku hizi hakuna utekaji.
Hata mkiteka bus laki saba hampati mpo majambazi nane.
Watu hawabebi cash siku hizi
Watu hawatembei na cash nyingi kama zamani na ukijiroga ukabeba simu za abiria ushakamatwa.
Thus safari ni salama siku hizi hakuna utekaji.
Hata mkiteka bus laki saba hampati mpo majambazi nane.
Watu hawabebi cash siku hizi