bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Eka kabisa Mghoshi. Miaka ija Mbwewe nee hazachangamka sana.Tizaja sana nguku na kio haja mbwewe.
Miaka hiyo ilikua ni chaotic pale Ubungo, honi kama zote wakati wa kutoka asubuhi.You're right! Fikiria pale stendi Mbezi au Ubungo zamani yanaachiwa magari 120 at per! Lazima uwendawazimu uwepo kwa baadhi ya madereva hence ajali! But nowadays, kila gari huondoka kwa ratiba yake lenyewe.
Nadhani SUMATRA ilivunjwa ikazaliwa LATRA na TASACSUMATRA ni mamlaka ya usafiri wa majini na nchi kavu
Na huyo anajiita great thinkerNa LATRA?
Sana Mosie au Mombo ne nihamoto sana.Eka kabisa Mghoshi. Miaka ija Mbwewe nee hazachangamka sana.
Ningeondoka hiyo kesho asubuhi, kwanza ningefika Dar karibu saa 4 usikuImagine ungetakiwa uondoke kesho yake alfajiri pasingekuwepo na usafiri wa 24 hrs.
Tukiachana na risks mbalimbali kwenye usafiri, ila huu wa muda wote ni muhimu sana.
You're right! LATRA - usafiri wa barabara na reli; TASAC - marine; anga - hawa wana regulatory bodies za kutosha.Nadhani SUMATRA ilivunjwa ikazaliwa LATRA na TASAC
Latra= Nchi kavu
TASAC= Majini
Sema mmoja akiwa mwalimu mwingine mwanafunzi!Sifa ziende kwa AFANDE KANGI LUGOLA na Mwamba wa CHATO JPM vichwa vilivyokutana SENGEREMA SEC.