Nawapongeza sana Polisi wetu kwa utaratibu mpya wa kumuita mtu kwa barua au kupiga simu

Nawapongeza sana Polisi wetu kwa utaratibu mpya wa kumuita mtu kwa barua au kupiga simu

moma2k

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2010
Posts
1,093
Reaction score
1,408
Utaratibu huu wa polisi wa kumuita mtu kwa kumpigia simu au barua afike kituo cha polisi ni utaratibu mzuri sana kwani unalinda staha na heshima ya mtuhumiwa. Na ni utaratibu wa kistaarabu sana. It is a civilized form of summoning the accused person.

Katika hili nawapongeza sana polisi. Mambo ya kukamatana watu kwa nguvu yatumike ktk mazingira unique au scenario fulani tu.

Watu wengi wamestarabika wako tayari kutii sheria bila shuruti. Polisi big up!!!
 
Utaratibu huu wa polisi wa kumuita mtu kwa kumpigia simu au barua afike kituo cha polisi ni utaratibu mzuri sana kwani unalinda staha na heshima ya mtuhumiwa. Na ni utaratibu wa kistaarabu sana. It is a civilized form of summoning the accused person. Katika hili nawapongeza sana polisi. Mambo ya kukamatana watu kwa nguvu yatumike ktk mazingira unique au scenario fulani tu. Watu wengi wamestarabika wako tayari kutii sheria bila shuruti. Polisi big up!!!
Hayo mapolisi ukiyapongeza ndipo yanakengeuka na kuwa manyani ya wakubwa
 
Ni kweli kabisa ni utaratibu mzuri
 
😄😄 huo utaratibu nimeupenda utapunguza safari zisizo za lazima watu watulie ofisini. Lakini shida wataopigiwa simu au barua ni watu wenye hadhi flani tu wengine wembe ni ule ule.
 
Back
Top Bottom