Nawapongeza Senegal kwa Kufuzu Hatua ya 16 bora Kombe la Dunia 2022

Hakuna kitu hapo watakula kichapo Cha mbwakoko
 
Senegal ataambulia point za wa-Qatar tu, kwa jinsi navyowaona Ecuador si wa mchezo mchezo wana kupokea kwa namna utakavyokuja
 
Unawadharau ecuador ndugu... Ngja ushangazwe hapa.. ecuador wako vizur sana. Senegali itawabid wakaze sana kupta ushindi.
 
Unawadharau ecuador ndugu... Ngja ushangazwe hapa.. ecuador wako vizur sana. Senegali itawabid wakaze sana kupta ushindi.
Hakika mtoa mada nadhan anachukulia poa Ecuador hao Senegal waje kwa heshima, kwa sbb Ecuador anaona kbs Akitak kufuzu na yy lzm aende mguu kwa mguu na Senegal zaid kuliko Netherlands kwhy kusema ukwl na injury ya Mane napata wkt mgum sana kuamin Senegal hata makundi itapita lkn tusbr tuone mpr kila ki2 kinawezekana.
 
Kwa mpira aliokuwa anacheza Qatar na level yake Ecuador alitakiwa ashinde si chini ya goli5 naungana na mtoa mada kwa kasi ya senegal ilivyo Ecuador akatafute kazi nyingine ya kufanya, mipira ya aerial ball uwafunge senegal pale nyuma wote ni ma giant kuanzia coulibally na wenzake app kati ndio kabisa usitie mguu wakina Baba diang wanakusubiri leo tunatafuta draw tu point zetu tunazichukua kwa qatar na ecuador..
 
Ni kweli senegal haina unyumbulifu napenda watu wanaongea mpira na sio siasa
Mane hawez kucheza kabisa, pia usiwa underestimate Ecuador, kumbuka Senegal Haina kiungo mnyumbulifu hata mmoja ,wote wakabaji ,

Kesho Senegal asipopata matokeo ,usishangae akakukatana na mechi ngumu dhidi ya Ecuador ambaye atahitaji sare tu
 
Mane hawez kucheza kabisa, pia usiwa underestimate Ecuador, kumbuka Senegal Haina kiungo mnyumbulifu hata mmoja ,wote wakabaji ,

Kesho Senegal asipopata matokeo ,usishangae akakukatana na mechi ngumu dhidi ya Ecuador ambaye atahitaji sare tu
Senegal ajitahid ashinde mechi ya leo, ecuador wapo vzr sn yn atarajie upinzani haswa
 
Ninaamini kocha Cisse anatambua umuhimu wa kushinda mechi ya Ecuador hivyo lazima itakuwa na ushindani mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…