Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Baaada ya kimya cha miaka kadhaa .
nimerudi wakuu. JF ni nyumbani, ingawa sikushiriki mijadala lakini nimekuwa mfuatiliaji wa hapa na pale kipindi chote hicho.
Nawakumbuka hawa ndugu zangu .Mkuu Aspirin, Mkuu Nyani Ngabu , Mkuu Teamo, Mkuu Kaizer, Mkuu Husninyo, Mkuu LD na bila kumsahau Mkulu ole Invincible.
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu ikiwa bado mpo Duniani.
nimerudi wakuu. JF ni nyumbani, ingawa sikushiriki mijadala lakini nimekuwa mfuatiliaji wa hapa na pale kipindi chote hicho.
Nawakumbuka hawa ndugu zangu .Mkuu Aspirin, Mkuu Nyani Ngabu , Mkuu Teamo, Mkuu Kaizer, Mkuu Husninyo, Mkuu LD na bila kumsahau Mkulu ole Invincible.
Mwenyezi Mungu awape maisha marefu ikiwa bado mpo Duniani.