Nawashauri Kagera Sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka

Nawashauri Kagera Sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Yaani kweli mlishindwana 15 millions tu kuongezea iwe 50 millions waliyotaka kagera sugar? mbona kuna wakati magarasa ya nje ya nchi yanalipiwa hadi milioni 80?

huyo kijana sasa kakosa kibali hachezi champions league na mvutano unaenda kuwa mkubwa bila sababu za msingi

Upumbavu tu, nawashauri kagera sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka kwa sasa na aliyehusika na ujinga huo probably ni CEO aache mambo ya kitoto
 
Hivi hawa simba kwanini wajinga kiasi hiki kila siku wao tu ukubwa wa maneno tu sasa unamsajili vipi mchezaji wa timu nyingine bila makubaliano alaf unamtangaza la morison halijaisha wanaanzisha lingine timu inakua kama kikundi cha wahuni tu alafu kibaya hao wachezaji wanaotaka kuwaingiza katika malumbano ata hawana umuhimu nao kiivyo
 
Siku zote ukiona timu inaingia ktk migogoro ya kiusajili basi ujue Mtendaji mkuu hatimizi wajibu wake ipasavyo

Majuzi tu tulishuhudia kashikashi ya mkataba kwa akina Tshabalala, Kapombe na Manula. Leo tena la Yusuph Mhilu

Inaonesha wazi Barbara hafit vyema ktk nafasi ya u-CEO

Hii nafasi ilimfit sana Senzo, na hata matunda ya kuuza wachezaji Miquissone na Chama imetokana na mikataba waliyoingia toka enzi za Senzo akiwa Simba
 
Halafu huyu asipo angalia anaweza kuua kipaji chake coz kuna mtu nyuma yake ndo anamfanyia pushing kubwa, Mhilu ameenda TFF kutaka mkataba wake na Kagera usitishwe yaani nashangaa sana na hapo hata hajalipwa signing fee kutoka simba, baadae utasikia anaanza kulalamika kuhusu kutolipwa pesa zake.
 
Yanga wali mlalala mikia Morrison Tff ikawasaidia Simba Waka msajili, Piramid ya Misri imemlala mikia Kichuya kwenda Simba Tff ilihusika, Kagera wame lalamika Simba kumtangaza mchezaji wao Yusuf Mhilu kusajiliwa na Simba bila kufuata utaratibu Sijui Tff watakuja na Sarakasi gani.
 
... nawashauri kagera sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka kwa sasa
Unapoteza muda bure, Mhilu ameongea, amesaini na ametambulishwa Simba kabla hajamalizana na Kagera Sugar, lakini mwisho wa yote ataenda Simba na viongozi wa Kagera Sugar hawatalalamika tena ila wewe na wenzako wa aina yako ndio mtabaki na malalamiko yenu ya kanuni. Ruksa povu, ruksa kununua kesi ya Kagera Sugar
 
Uongozi wa Kagera sugar kupitia katibu wake washatoa tamko watakaa chini kuyamaliza,sasa wewe endelea kudemka wakati utaki kufatilia ili jambo linapoelekea.
siwezi kila siku kukaa kusifia na kutetea uongozi wa simba hata ukifanya madudu kama haya
 
Yaani kweli mlishindwana 15 millions tu kuongezea iwe 50 millions waliyotaka kagera sugar? mbona kuna wakati magarasa ya nje ya nchi yanalipiwa hadi milioni 80?

huyo kijana sasa kakosa kibali hachezi champions league na mvutano unaenda kuwa mkubwa bila sababu za msingi

Upumbavu tu, nawashauri kagera sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka kwa sasa na aliyehusika na ujinga huo probably ni CEO aache mambo ya kitoto
Sio kukazia,kanuni zinajulikana klabu iliyomsainisha mchezaji mwenye mkataba na klabu adhabu stahiki inayotakiwa kutolewa,lkn sababu ya tff simba uwa wanafanya watakavyo wakijua tff haiwezi kufuata sheria inavyotaka
 
Simba habari yao ilishakwisha Kwasasa nimwendo wamtifuano wa wenyewekea wenyewe.
 
Back
Top Bottom