Nawashauri Kagera Sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka

Nawashauri Kagera Sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka

Sheria zinasemaje?
Nakuhakikishia, sheria unazozisema zimekiukwa na Mhilu atacheza Simba kwa uhamisho wa 35M. Viongozi sio wajinga, na mimi najua principles za uongozi. Wakati mwingine inamlazimu kiongozi kuvunja sheria ili kuendana na deadline, wale watakaobaki wanalalamikia sheria wanaachiwa manyoya
 
Hii klabu ya Simba inaendeshwa kihuni Sana.
na kupitia uhuni huo imekomba makombe yote muhimu, na kuingia robo fainali ya CAF CL mara mbili ndani ya misimu mitatu iliyopita. Wakati mwingine inabidi ufanye uhuni ili kufikia lengo lako, asiye muhuni anabaki na sheria zake bila kombe
 
Nakuhakikishia, sheria unazozisema zimekiukwa na Mhilu atacheza Simba kwa uhamisho wa 35M. Viongozi sio wajinga, na mimi najua principles za uongozi. Wakati mwingine inamlazimu kiongozi kuvunja sheria ili kuendana na deadline, wale watakaobaki wanalalamikia sheria wanaachiwa manyoya
Janja janja fc,soon wakati wenu wa kutembeza bakuli utafika,watu wanamlia timing mo tu tena wa huko mkiani kwenu
 
Janja janja fc, soon wakati wenu wa kutembeza bakuli utafika,watu wanamlia timing mo tu tena wa huko mkiani kwenu
Ahaa, yaani povu lote hilo kumbe ni kuhusu Mo !! Sasa mbona umezunguka saana, ukaweka title ya Mhilu na Kagera Sugar yake, kumbe tatizo ni uwepo wa Mo! Ungebadili tu title ya uzi, lakini nakuhakikishia, ishu ya Mhilu ni ndogo saana, na kwa kukudokezea, Mhilu ananunua mkataba wake kwa less than 15M (ambazo ni mshahara wa kila mwezi kwa miezi 12 iliyobaki), halafu anasaini Simba akiwa mchezaji huru kama alivyokuwa Morrison, na jana Kagera na Mhilu walikuwa ofisi za TFF kwa ajili ya kuvunja mkataba. Endelea lingine tukupe za ndani
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Ahaa, yaani povu lote hilo kumbe ni kuhusu Mo !! Sasa mbona umezunguka saana, ukaweka title ya Mhilu na Kagera Sugar yake, kumbe tatizo ni uwepo wa Mo! Ungebadili tu title ya uzi, lakini nakuhakikishia, ishu ya Mhilu ni ndogo saana, na kwa kukudokezea, Mhilu ananunua mkataba wake kwa less than 15M (ambazo ni mshahara wa kila mwezi kwa miezi 12 iliyobaki), halafu anasaini Simba akiwa mchezaji huru kama alivyokuwa Morrison, na jana Kagera na Mhilu walikuwa ofisi za TFF kwa ajili ya kuvunja mkataba. Endelea lingine tukupe za ndani
Kama Mhilu amekubali kufanya hivyo basi atakuwa anakosea kwani kuna kesho. Anaweza kwenda Simba bahati mbaya akakosa nafasi ya kudumu baada ya mwaka mmoja wakamwacha. Kama ana mahusiano mazuri na Kagera anaweza rudi kwa mkopo. Sehemu yoyote unapoondoka ondoka kwa amani hujui ya kesho ndio maana kuna msemo unasema "usinyee kambi".

Ningepata nafasi ya kumshauri Mhilu ningemshauri akae chini na Simba awaambie wamruhusu aende akwambembeleze Kagera wamwachie kwa dau ambalo ni "reasonable" kwa sababu hayo ni maisha yake na nafsi kama hizi huja mara chache maishani. Naamini viongozi wa Kagera wangemwachia tu bila matatizo yoyote. Hii sintofahamu yote nadhani inakuja kutokana na aidha ubabe wa Simba au washauri wabovu wa Mhilu si vinginevyo. Naamini Simba, Mhilu na Kagera wakikaa pamoja hili suala linaisha baada ya muda mfupi badala ya kutafuta njia ya mkato amabayo itamuharibia Mhilu miaka ijayo na ukizingatia bado kijana na ana miaka mingi ya kucheza mipira.
 
Siku zote ukiona timu inaingia ktk migogoro ya kiusajili basi ujue Mtendaji mkuu hatimizi wajibu wake ipasavyo

Majuzi tu tulishuhudia kashikashi ya mkataba kwa akina Tshabalala, Kapombe na Manula. Leo tena la Yusuph Mhilu

Inaonesha wazi Barbara hafit vyema ktk nafasi ya u-CEO

Hii nafasi ilimfit sana Senzo, na hata matunda ya kuuza wachezaji Miquissone na Chama imetokana na mikataba waliyoingia toka enzi za Senzo akiwa Simba
Senzo amemkuta Chama Simba labda uzungumzie mikataba ya Sarpong aliyoingia utopolo
 
Sio kukazia,kanuni zinajulikana klabu iliyomsainisha mchezaji mwenye mkataba na klabu adhabu stahiki inayotakiwa kutolewa,lkn sababu ya tff simba uwa wanafanya watakavyo wakijua tff haiwezi kufuata sheria inavyotaka
Kafungue kesi cas kagera wameibiwa mchezaji na simba
 
Mhilu hana tofauti na rashid juma aliyekimbia changamoto ya namba
kikosini.
wanafanana kwa kila kitu.
mwachen naye akachume ridhiki.

Ila sasa namtabiria kuwa mtumishi hewa kama ndemla au gadiel aliyetoka nae yanga kipndi cha kocha luandamina.

Nilishasema wenye uhakika wa namba simba kwa local players,
kwenye fest eleven ni manura, zimbwe na kapombe tu.

Kwaiyo 11-3=8
foreign wataanza 8 kati ya 11.

Sioni kabisa nafasi ya mhilu.labda kwa kocha nje ya aliyepo.

Kocha wa simba yupo too obssesed na wachezaji walio kwny ile regular starting 11.

Mfano ile mechi ya marudiano ya al ahly hakuwa na sabab ya kutumia nyota walewale kwasab alikuwa alishafuzu..
hata pitso alipumzisha key players wake.

Haya amerud tanzania,
hata kwny local games, kaenda kaitaba, akaenda shy karudi taifa wachezaji ni walewale.
 
Tutawapa hizo TZS. 200mil. sababu akaunti yetu ina TZS. 16.949bil katika zile TZS. 20bil. zilizotolewa na Boss Mo, ukitoa hiyo TZS. 200mil tunabakiwa na TZS. 16.749bil.
Pesa kwetu siyo tatizo na bado muda mfupi zitaingia TZS. 5.5bil. bila kodi kutoka kwenye mauzo ya Chama na Luis.

Sisi ndiyo Klabu tunayotoa kodi kubwa kwa Serikali, kwenye TZS. 20bil tumeilipia kodi ya TZS. 3.05bil. na zikilipwa hizo TZS. 5.5bil. tutailipia kodi ya TZS. 0.838bil uku sisi tukichukua TZS. 4.661bil.
 
na kupitia uhuni huo imekomba makombe yote muhimu, na kuingia robo fainali ya CAF CL mara mbili ndani ya misimu mitatu iliyopita. Wakati mwingine inabidi ufanye uhuni ili kufikia lengo lako, asiye muhuni anabaki na sheria zake bila kombe
Simba wangekuwa wahuni wangekwisha shushwa daraja. Tatizo kuna watu mpira ushawashinda, wamebakiwa na makerere Kama wajane waliozulumiwa Mali za marehemu bila msaada (japo mfano sio rafiki Sana Ila ndio ukweli)
 
Ahaa, yaani povu lote hilo kumbe ni kuhusu Mo !! Sasa mbona umezunguka saana, ukaweka title ya Mhilu na Kagera Sugar yake, kumbe tatizo ni uwepo wa Mo! Ungebadili tu title ya uzi, lakini nakuhakikishia, ishu ya Mhilu ni ndogo saana, na kwa kukudokezea, Mhilu ananunua mkataba wake kwa less than 15M (ambazo ni mshahara wa kila mwezi kwa miezi 12 iliyobaki), halafu anasaini Simba akiwa mchezaji huru kama alivyokuwa Morrison, na jana Kagera na Mhilu walikuwa ofisi za TFF kwa ajili ya kuvunja mkataba. Endelea lingine tukupe za ndani
Halafu anasaini simba!! Sasa anasaini mara ngapi?
 
Sheria zinasemaje?

Nakuhakikishia, sheria unazozisema zimekiukwa na Mhilu atacheza Simba kwa uhamisho wa 35M. Viongozi sio wajinga, na mimi najua principles za uongozi. Wakati mwingine inamlazimu kiongozi kuvunja sheria ili kuendana na deadline, wale watakaobaki wanalalamikia sheria wanaachiwa manyoya

1630429677917.png
 
Yaani kweli mlishindwana 15 millions tu kuongezea iwe 50 millions waliyotaka kagera sugar? mbona kuna wakati magarasa ya nje ya nchi yanalipiwa hadi milioni 80?

huyo kijana sasa kakosa kibali hachezi champions league na mvutano unaenda kuwa mkubwa bila sababu za msingi

Upumbavu tu, nawashauri kagera sugara wakazie hiyohiyo milioni 200 wanayoitaka kwa sasa na aliyehusika na ujinga huo probably ni CEO aache mambo ya kitoto
Kapumbu Aendelee kukazia hapo hapo au alegeze??
 
Back
Top Bottom