Nawashauri vijana UVCCM warudi kusoma siasa badala ya kukimbilia kutoa MATAMKO kwenye mitandao ya kijamii. Vijana UVCCM wamekosa Elimu ya siasa ambayo ilikuwa inawaanda kuwa viongozi wa baadae.
Wamekimbilia kutoa matamko mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ambayo yanaonekana kama wanajipendekeza ama kuwafurahisha viongozi wao.
Hii imeonekanaa sana kwenye kipindi cha uongozi wa awamu ya 5. Leo hii wanashangaa kwanini wameachwa! VIJANA UVCCM amkeni
Wamekimbilia kutoa matamko mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ambayo yanaonekana kama wanajipendekeza ama kuwafurahisha viongozi wao.
Hii imeonekanaa sana kwenye kipindi cha uongozi wa awamu ya 5. Leo hii wanashangaa kwanini wameachwa! VIJANA UVCCM amkeni