We jamaa unaandika vitu kwa story za uswahilini, ningekua na time ningeku-quote one by one na nikakupa links ukaangalie facts.
Ila kiufupi ni hivi,
Kila app unayoona inafanya biashara lazima ina business model yake kwa nyuma pamoja na tech inayoisupport. business model au tech ikifeli basi biashara haiwezi kuzalisha revenue,
Soulja boy platform yake pamoja na nyingi za zamani zilikufa kwa sababu zilikua zinatumia old tech ya adobe flash kuplay hizo media, hio tech ikaanza kufa na ikakosa support kwa maker wake, sasa users watatumiaje kama platform yako ni ngumu kutumika? Hapo hata kama business model ni nzr basi unakuwa irrelevant kwenye market, na market siku zote ni 'MERCILESS' ikija issue ya 'IRRELEVANT PRODUCTS'.
Kuhusu halftime shows naona hujui chochote khs maandalizi ya hio show sababu hio show huwa iko kwa ajili ya kumpromote msanii, na nenda google ukaulize msanii gani ashawahi kulipwa kwa kuperform pale uje hapa unambie.
Huwa muandalizi wa mashindano anaweka bajeti fln lkn kama msanii anaeperform akiona haitoshi ndipo anaongezea pesa yake mfukoni sababu hio show ni maalum kumtangaza msanii anaeperform pale.
Bongo watu wengi wanapenda kucomment kwenye mambo bila kufanya research, ndo maana hata Mar Ruge aliwah kusema Fiesta haikupaswa kuwa inamlipa msanii, labda msanii ndo amlipe Fiesta. Sababu hizo shows marekani wasanii wanalipia ili kuperform.
Mfano wako wa UBER siwezi ongelea kwa sababu ni tofauti kabisa na kinachoongelewa hapa, ni business mbili tofauti kabisa, model zao kufanana ni ngumu sana
Sasa unataka kusema kitu ameshindwa Soulja Boy ndio waweze wabongo hawa wanaoishi nyumba za kupanga na magari ya kukodi kwa car dealers? Ukijumlisha utajiri wa wasanii 10 wa bongo unafika hata nusu ya Soulja Boy?
Watu mnaojua makompyuta mnachukulia vitu kirahisi mkishaona kitu kinatengenezeka mnadhani kitafanya kazi vilevile na kupenda kuigaiga. Kama ni hivyo Vevo si ingejitegemea tu kwanini iwe na contract na YouTube?
Na hilo yowe lote unalopiga umelitoa kwenye paragraph moja niliyoandika:
"YouTube ni platform ya kutafuta kujulikana zaidi wala sio kutengeneza hela uko, kujulikana kwenyewe kunaleta hela baadae. Nadhani ushajua kwanini Rihanna hakulipwa kwenye Super Bowl, wala hakuna msanii anayelipwa uko tena wengine kama Ed Sheeran na J Cole walitoa hela zao mfukoni kuongezea kuandaa show."
Nilimaanisha YouTube ni kama platform ya kukupa mashabiki na ukalipwa kidogo, nikatoa mfano wa Super Bowl kama platform ya kukupa mashabiki ndio maana hawalipi msanii. Na maelezo yangu yametosheleza kabisa ila kwa ujuaji wako na kudhani wewe ndio mwenye akili pekee ukarudia kilekile niichosema.
Na suala la Fiesta unalosema ndio hiyohiyo hoja yangu.
Dunia hii sijawahi ona msanii anapata utajiri kupitia YouTube au streaming platforms kama Deezer, Spotify na Apple Music.
Hawa wasanii wasio na uwezo wa kuendesha record labels ndio unataka waunde platforms zao? Marekani rappers kibao wana labels zao na contracts na giants kama Sony, Warner na Universal. Mmemtaja Jay Z na Roc A Fella.
Rick Ross ana Maybach Music Group ilikuwa na kina August Alsina, Meek Mill, French Montana, etc.
Lil Wayne ana Young Money imewatoa kina Drake, Nicki Minaj na wengine. Na rappers zaidi ya 20 wana labels hata Young Thug wa juzi tu hapa ana Young Stoner Life na wahuni wake. Sasa hawa wote wenye hela ndefu washindwe waje waimba you go blast mai medula ndio waweze?
Mnataka mfirisi watu nyie, msifanye hiki ni kitu rahisi. Inawezekana ila sio kwa hela walizonazo wasanii mpaka investors na akili kubwa wakae kuteseka miaka na miaka