Nawashauri Wasanii maarufu Bongo mjiondoe katika Mtandao wa YouTube, Tengenezeni Platform zenu wenyewe

Nawashauri Wasanii maarufu Bongo mjiondoe katika Mtandao wa YouTube, Tengenezeni Platform zenu wenyewe

Nyie ndo wale ambao mmeshindwa youtube na mond kawaacha mbali sana

Kujufunza kwa aliyefanikiwa ni jambo jema

Dunia ni kijiji usiwatenge wasanii wa tz a dunia
 
Wazo ni zuri ila sasa utekelezaji wake ni ghali sana kulingana na tabia ya watumiaji wa bidhaa na huduma za wasanii wetu, uuzaji holela wa kazi za wasanii bado ni mwiba mkali yani mambo ni mengi mkuu.
 
Mifano unayotoa bado haipo relevant na situation ya sasa.

Unasemea kina drake, hao platforms zinawalipa, hivi unaposikia drake kafanya mauzo makubwa ya album yake unajua hayo mauzo yamefanyikia wp?

Haya njoo bongo, wasanii wangapi wanatoa albums lkn wanaishia kujisifia kwa kupata streams tu na wala sio mauzo!..

Drake na wasanii wengine wa mambele hawawezi anza kutengeneza platforms from scratch kwa sasa sababu zilizopo zinawalipa vizr.

Huku kwetu wasanii inabidi wajiongeze. Unajua mie nmefanya kazi na startup kama mbili hivi, wanatengeneza ideas ambazo haziko relevant na use cases za kiafrika. Same here.. wasanii wakubwa kama diamond wakiamua kuwekeza wakatafuta wataalam watengeneze platform ambayo ni relevant kwa waafrica mbona kutoboa kunaonekana kabisa... Ushajiuliza mfano huduma kama M-Pesa, hizi hazipo USA, hata wazungu wanatu-appreciate kwa hilo, lkn huku zinatumika kwa sababu ziko relevant na mazingira.

Wabongo tulivyo na akili fupi mtu akisema kutengeneza platform, atatafuta kampuni limtengenezee clone ya youtube au spotify, bila kuangalia nature ya watu anaotaka kuwafikia...

Point yangu ni hawa wasanii wakubwa kukaa chini kushauriana na wataalam then watoke na platform moja ambayo ni relevant kwa wasanii na wasikilizaji wa africa. Hizo insta na youtube watumie kuwavuta mashabiki na ndani ya 2 yrs utashangaa.
I second your thoughts.
Nimewahi kitu kama hiki na nika draft concept paper. Sikupata uungwaji mkono. Nikapotezea. Ilikua back then 2012.
 
Wewe ndo unaongea vitu imaginary.

Muulize mange anapata sh ngp kwenye app yake kwa kuweka scandal za haohao wasanii. Yaan unakuta mtu analipia buku kwenda kuona mchepuko mpya wa mbosso ni nani.

Ni kwamba tu wasanii wetu hawajielewi, watu baki wanapiga hela sana kwa kutumia umaarufu wa haohao wasanii.

Nikupe mfano wa JAY Z, jamaa alipokua unsigned alikua anasambaza muziki wake yy mwenyewe, baadae akapata label ila alipoingia huko akaona hakuna wanachomfanyia ambacho hawezi yeye kujifanyia, na ndipo akatoka akaanzisha Roc-A-Fella and the res is history.

Wanamuziki kama kina harmonize, marioo, diamond etc... wakichukua hio approach kwa upande wa platforms watatoboa sana. Tena mtu kama mondi ndio atapiga hela hata kufikia level za kina didy na jigga
Unamtolea mfano Jay Z ambae yupo kwenye nchi ambayo hakuna site za kuweka KAZI za wasanii bure na watu wakadownload bure.

Tanzania ukiachilia mbali hiyo YouTube kuna website lukuki zinafanya piracy ya kuweka nyimbo na KAZI za wasanii.


Marekani huwezi kukuta vibanda mitaani vinauza KAZI za wasanii kwenye flash. Tanzania nzima kuna vibanda watu wanauza na kuwawekea watu nyimbo kwenye flash Kwa bei nafuu.


Mazingira ya ulinzi WA Kazi za wasanii Kwa hizi nchi mbili ambazo unatolea mfano ni tofauti kabisa. Kwa Marekani ni rahisi Sana msanii kusimamia KAZI yake Kwasababu nchi ya Marekani inalinda KAZI za wasanii Kwa nguvu zote. Marekani huwez kukutana na site kama za wakina DJ MWANGA.


Hivyo basi Kwa hicho ulichosema na unataka kushauri hapa hakuna msanii atakaefanikiwa hata robo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wasafi.com ilifeli hata kabla ya kuanza, ww unauza mziki ambao upo available pia youtube au boomplay nani atanunua. Ukiwa na business lazima utengeneze demand, limit & control supply thn cheza na wateja wako. Ukiweka mifano ya home appliances ni kufananisha mambo yasofananishika, hivi ushajiuliza kwa nn kwenye macasino wanatumia zile coins badala ya hela halisi? Sababu zile ni rahisi mtu kupuuzia hata akilose, mziki wa mondi akiuza miambili akipiga zake 1M views hata kwa mwezi ni 200M

Kwa sasa kuna technologies kama NFT na blockchains, na hizo zikitumiwa vzr unaweza tengeneza platform moja very efficient kulimit piracy ya kazi za wasanii
Acheni kudanganya hapa Kwa tanzania bado Sana kwenye issue ya kulinda KAZI za wasanii.

Kuna wasanii wengi hapa hapa tanzania wamejaribu hizi njia Ila wamefeli.


Wasanii WA tanzania wajibrand wapate endorsement kubwa. Huwezi Kutegemea utajiri wa msanii utokane na nyimbo Tu anazofanya. Nenda hata US wasanii wote mabilionea hawajawa mabilionea Kwa Kutegemea kuuza nyimbo Tu.

Kwa nchi ya tanzania yenye high level of music piracy ni vigumu Sana msanii kuuza na kusimamia KAZI zake mwenyewe.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hizo silaha nimepumzika kuzisema kwa sasa naongeza content. Soulja Boy ana miaka 32 huwezi sema dunia yake sio ya sasa kaanza imba ana kitu kama 17 au 19 years.

Kinachofanya YouTube isilipe vizuri kwa wabongo ni umaskini wetu, hata blog views za ads hulipa vizuri kwa North American views Ila kidogo kwa African views. Kinachowafanya wasanii wetu wasiwe na hela ni njaa kali ya mashabiki wao ambao ni sisi.

Spotify inalalamikiwa mara zote kuwalipa kidogo wasanii na Drake juzi juzi hapo aliwashauri waongeze. Sio wabongo tu wanaonuonywa.
Kwanza algorithm ya kulipa msanii hizi streaming platforms ni ngumu kueleweka na siri kimakusudi.

YouTube ni platform ya kutafuta kujulikana zaidi wala sio kutengeneza hela uko, kujulikana kwenyewe kunaleta hela baadae. Nadhani ushajua kwanini Rihanna hakulipwa kwenye Super Bowl, wala hakuna msanii anayelipwa uko tena wengine kama Ed Sheeran na J Cole walitoa hela zao mfukoni kuongezea kuandaa show.

Androids zinakuja na YouTube na Google search engine kwa sababu. Ili utoe upinzani ujipange na budget kubwa mno. Uber tangu ianze hadi leo imetengeneza faida mwaka 2018 tu baada ya kuuza segment yake mojawapo ya biashara. Miaka mingine ni hasara ya $ billions, sasa ukija hapa ukadai eti wabongo watapiga hela kirahisi kwenye ride services ntakushangaa.
Google iliinunua YouTube kwa $ 1.6 billion mwaka 2006 ila mwaka jana tu YT iliingiza faida ya $ 29 billion. Sasa ukiwauliza wamewekeza kiasi gani humo pamoja na supporting model yao utajua sio kazi ndogo.

Hakuna msanii bongo utamwambia wekeza hapa upate faida 10 yrs later akuelewe. Washindwe clothing lines nyepesi kama Vunjabei (ni biashara nyepesi sana kama mtu asiyejua misimu yote lini timu inatakiwa ivae jezi anaiweza hata kilaza ukimpa hela anaifanya) waje waweze biashara ngumu hivyo.
We jamaa unaandika vitu kwa story za uswahilini, ningekua na time ningeku-quote one by one na nikakupa links ukaangalie facts.


Ila kiufupi ni hivi,
Kila app unayoona inafanya biashara lazima ina business model yake kwa nyuma pamoja na tech inayoisupport. business model au tech ikifeli basi biashara haiwezi kuzalisha revenue,

Soulja boy platform yake pamoja na nyingi za zamani zilikufa kwa sababu zilikua zinatumia old tech ya adobe flash kuplay hizo media, hio tech ikaanza kufa na ikakosa support kwa maker wake, sasa users watatumiaje kama platform yako ni ngumu kutumika? Hapo hata kama business model ni nzr basi unakuwa irrelevant kwenye market, na market siku zote ni 'MERCILESS' ikija issue ya 'IRRELEVANT PRODUCTS'.

Kuhusu halftime shows naona hujui chochote khs maandalizi ya hio show sababu hio show huwa iko kwa ajili ya kumpromote msanii, na nenda google ukaulize msanii gani ashawahi kulipwa kwa kuperform pale uje hapa unambie.

Huwa muandalizi wa mashindano anaweka bajeti fln lkn kama msanii anaeperform akiona haitoshi ndipo anaongezea pesa yake mfukoni sababu hio show ni maalum kumtangaza msanii anaeperform pale.

Bongo watu wengi wanapenda kucomment kwenye mambo bila kufanya research, ndo maana hata Mar Ruge aliwah kusema Fiesta haikupaswa kuwa inamlipa msanii, labda msanii ndo amlipe Fiesta. Sababu hizo shows marekani wasanii wanalipia ili kuperform.

Mfano wako wa UBER siwezi ongelea kwa sababu ni tofauti kabisa na kinachoongelewa hapa, ni business mbili tofauti kabisa, model zao kufanana ni ngumu sana
 
Nakuona Mzee Wa Masilaha. Anyways Turudi Kwenye Mada. Hauwezi Kulinganisha Dunia Ya 2010 Na Sasa.
Hawa Akina Drake Hawana Haja Ya Kushindana Na Youtube Kwa Sababu Inawalipa Vizuri Wana Fans Worldwide.
Diamond Anaweza Kutumia Hii Strategy Kwa Local Loyal Fans.
Ni Kweli Wabongo Hawapendi Subcription Lakini Sio Wote Bado Wengi Ni Waelewa Ndio Maana Nimetoa Mfano Hapo Kwa Small Portion Ya Diamond Fans Out Of 17m Fans Wa Instagram,wakalipa 1m Kwa 200/=.
Haihitaji Content Nyingine Zaidi Ya Kazi Zao Labda Zaidi Habari Zao.
Youtube Sio Mtandao Rafiki Kwa Wasanii Wetu Wa Bongo,wanatumia Gharama Kubwa Kuandaa Kazi Ila Haulipi Zaidi Ya Umaarufu Tu.
Jinga kweli wewe !


Watu mafuta ya petrol yakpanda bei Kwa 500 nchi nzima kelele unasema wanaweza kulipia subscription za YouTube...


Mchele na maharage yako Kwenye highest price watu wanalia ndio waweze kulipalia YouTube monthly, unachekesha Sana wewe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
We jamaa unaandika vitu kwa story za uswahilini, ningekua na time ningeku-quote one by one na nikakupa links ukaangalie facts.


Ila kiufupi ni hivi,
Kila app unayoona inafanya biashara lazima ina business model yake kwa nyuma pamoja na tech inayoisupport. business model au tech ikifeli basi biashara haiwezi kuzalisha revenue,

Soulja boy platform yake pamoja na nyingi za zamani zilikufa kwa sababu zilikua zinatumia old tech ya adobe flash kuplay hizo media, hio tech ikaanza kufa na ikakosa support kwa maker wake, sasa users watatumiaje kama platform yako ni ngumu kutumika? Hapo hata kama business model ni nzr basi unakuwa irrelevant kwenye market, na market siku zote ni 'MERCILESS' ikija issue ya 'IRRELEVANT PRODUCTS'.

Kuhusu halftime shows naona hujui chochote khs maandalizi ya hio show sababu hio show huwa iko kwa ajili ya kumpromote msanii, na nenda google ukaulize msanii gani ashawahi kulipwa kwa kuperform pale uje hapa unambie.

Huwa muandalizi wa mashindano anaweka bajeti fln lkn kama msanii anaeperform akiona haitoshi ndipo anaongezea pesa yake mfukoni sababu hio show ni maalum kumtangaza msanii anaeperform pale.

Bongo watu wengi wanapenda kucomment kwenye mambo bila kufanya research, ndo maana hata Mar Ruge aliwah kusema Fiesta haikupaswa kuwa inamlipa msanii, labda msanii ndo amlipe Fiesta. Sababu hizo shows marekani wasanii wanalipia ili kuperform.

Mfano wako wa UBER siwezi ongelea kwa sababu ni tofauti kabisa na kinachoongelewa hapa, ni business mbili tofauti kabisa, model zao kufanana ni ngumu sana
Huna akili

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unamtolea mfano Jay Z ambae yupo kwenye nchi ambayo hakuna site za kuweka KAZI za wasanii bure na watu wakadownload bure.

Tanzania ukiachilia mbali hiyo YouTube kuna website lukuki zinafanya piracy ya kuweka nyimbo na KAZI za wasanii.


Marekani huwezi kukuta vibanda mitaani vinauza KAZI za wasanii kwenye flash. Tanzania nzima kuna vibanda watu wanauza na kuwawekea watu nyimbo kwenye flash Kwa bei nafuu.


Mazingira ya ulinzi WA Kazi za wasanii Kwa hizi nchi mbili ambazo unatolea mfano ni tofauti kabisa. Kwa Marekani ni rahisi Sana msanii kusimamia KAZI yake Kwasababu nchi ya Marekani inalinda KAZI za wasanii Kwa nguvu zote. Marekani huwez kukutana na site kama za wakina DJ MWANGA.


Hivyo basi Kwa hicho ulichosema na unataka kushauri hapa hakuna msanii atakaefanikiwa hata robo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unaongelea piracy lkn hujasoma comment zangu vzr chief.

Kuhusu piracy nimesema wakiamua kutengeneza platform itakayolinda kazi zao haishindikani, kuna technology kama NFT zinazotumia blockchains, na hilo nmesema kwenye moja ya comments zangu hapo juu. Anyway hio inakua too technical tunaweza tusielewane,

Lkn trust me, piracy ya US na ya BONGO ya bongo chamtoto, naongea hilo kutokana na experience. Ushajiuliza torrent wametengeneza wabongo au US? na ndio tech inayoliza hadi media production companies kubwa.

Piracy ya kibongo kuithibiti ni rahisi saaaaaaana kama kumsukuma mlevi. Kuna kitu kinaitwa DMCA, wasanii wa bongo hawaitumii na ndo maana wanalia lia, hio ni solution kwa piracy ya mtandaoni. Piracy ya vituo vya flash wasanii wanakua wajinga kutumika kisiasa, kwa nn wasikomalie serikali ipige stop hizo mambo? Kama waliweza stop matumizi ya mifuko ya plastik watashindwaje hilo.

Nmejibu hoja zako chief, nijibu kwa hoja au tuishie hapo
 
Mchele na maharage yako Kwenye highest price watu wanalia ndio waweze kulipalia YouTube monthly, unachekesha Sana wewe
Kama wewe huwezi kulipia kuna watu wanalipia.

Shida huna facts.... unaiga maneno ya watu tu badala ya kutafuta facts
 
Ila nawaza,yani Diamond huyu huyu nnajemjua Mimi awe hajawaza wazo la mtoa mada,lazima kuna kitu tusichokijua.
 
Hizo silaha nimepumzika kuzisemaamashabiki wao ambao ni sisi.

Spotify inalalamikiwa mawaumu kueleweka na siri kimakusudi.

YouTube ni platform ya kutafuta kujulikana zaidi wala sio kutengeneza hela uko, kujulikana kwenyewe kunaleta hela baadae. Nadhani ushajua kwanini Rihanna hakulipwa kwenye Supe

kutokana na umaskini wetu utube sio rafiki kwetu.

platform za bongo malipo huwekwa siri kwa sababu ni kidogo.
spotfy, i tunes na apple wanalipa vizuri na malipo yao yapo wazi.

wasanii washakuwa maarufu hawahitaji youtube kujulikana na kwenye soko la kimataifa utube sio njia bora zaidi. Ni lazima auze kazi zake apate pesa nyingi zimsaidie kujitangaza kwa namna bora zaidi.

hatuhitaji kuleta upinzani kwa utube bali platform ya kuuza kazi,uwekezaji wameshaufanya kwenye majina yao.
 
We jamaa unaandika vitu kwa story za uswahilini, ningekua na time ningeku-quote one by one na nikakupa links ukaangalie facts.


Ila kiufupi ni hivi,
Kila app unayoona inafanya biashara lazima ina business model yake kwa nyuma pamoja na tech inayoisupport. business model au tech ikifeli basi biashara haiwezi kuzalisha revenue,

Soulja boy platform yake pamoja na nyingi za zamani zilikufa kwa sababu zilikua zinatumia old tech ya adobe flash kuplay hizo media, hio tech ikaanza kufa na ikakosa support kwa maker wake, sasa users watatumiaje kama platform yako ni ngumu kutumika? Hapo hata kama business model ni nzr basi unakuwa irrelevant kwenye market, na market siku zote ni 'MERCILESS' ikija issue ya 'IRRELEVANT PRODUCTS'.

Kuhusu halftime shows naona hujui chochote khs maandalizi ya hio show sababu hio show huwa iko kwa ajili ya kumpromote msanii, na nenda google ukaulize msanii gani ashawahi kulipwa kwa kuperform pale uje hapa unambie.

Huwa muandalizi wa mashindano anaweka bajeti fln lkn kama msanii anaeperform akiona haitoshi ndipo anaongezea pesa yake mfukoni sababu hio show ni maalum kumtangaza msanii anaeperform pale.

Bongo watu wengi wanapenda kucomment kwenye mambo bila kufanya research, ndo maana hata Mar Ruge aliwah kusema Fiesta haikupaswa kuwa inamlipa msanii, labda msanii ndo amlipe Fiesta. Sababu hizo shows marekani wasanii wanalipia ili kuperform.

Mfano wako wa UBER siwezi ongelea kwa sababu ni tofauti kabisa na kinachoongelewa hapa, ni business mbili tofauti kabisa, model zao kufanana ni ngumu sana
Sasa unataka kusema kitu ameshindwa Soulja Boy ndio waweze wabongo hawa wanaoishi nyumba za kupanga na magari ya kukodi kwa car dealers? Ukijumlisha utajiri wa wasanii 10 wa bongo unafika hata nusu ya Soulja Boy?

Watu mnaojua makompyuta mnachukulia vitu kirahisi mkishaona kitu kinatengenezeka mnadhani kitafanya kazi vilevile na kupenda kuigaiga. Kama ni hivyo Vevo si ingejitegemea tu kwanini iwe na contract na YouTube?

Na hilo yowe lote unalopiga umelitoa kwenye paragraph moja niliyoandika:
"YouTube ni platform ya kutafuta kujulikana zaidi wala sio kutengeneza hela uko, kujulikana kwenyewe kunaleta hela baadae. Nadhani ushajua kwanini Rihanna hakulipwa kwenye Super Bowl, wala hakuna msanii anayelipwa uko tena wengine kama Ed Sheeran na J Cole walitoa hela zao mfukoni kuongezea kuandaa show."

Nilimaanisha YouTube ni kama platform ya kukupa mashabiki na ukalipwa kidogo, nikatoa mfano wa Super Bowl kama platform ya kukupa mashabiki ndio maana hawalipi msanii. Na maelezo yangu yametosheleza kabisa ila kwa ujuaji wako na kudhani wewe ndio mwenye akili pekee ukarudia kilekile niichosema.
Na suala la Fiesta unalosema ndio hiyohiyo hoja yangu.

Dunia hii sijawahi ona msanii anapata utajiri kupitia YouTube au streaming platforms kama Deezer, Spotify na Apple Music.

Hawa wasanii wasio na uwezo wa kuendesha record labels ndio unataka waunde platforms zao? Marekani rappers kibao wana labels zao na contracts na giants kama Sony, Warner na Universal. Mmemtaja Jay Z na Roc A Fella.
Rick Ross ana Maybach Music Group ilikuwa na kina August Alsina, Meek Mill, French Montana, etc.
Lil Wayne ana Young Money imewatoa kina Drake, Nicki Minaj na wengine. Na rappers zaidi ya 20 wana labels hata Young Thug wa juzi tu hapa ana Young Stoner Life na wahuni wake. Sasa hawa wote wenye hela ndefu washindwe waje waimba you go blast mai medula ndio waweze?

Mnataka mfirisi watu nyie, msifanye hiki ni kitu rahisi. Inawezekana ila sio kwa hela walizonazo wasanii mpaka investors na akili kubwa wakae kuteseka miaka na miaka
 
Hao wasanii wenu huwa wanarudisha nini kwa jamii,au ndy mnawakamua kwa matamasha yenu kwa viingilio
Mnataka nyie tu ndiyo mpate

Ova

wasanii wetu hawawezi kurudisha kwa sababu wanachopata ni kidogo.
huyu diamond huwa anajaribu kwa kidogo hichohicho nadhani kama unafuatilia utakuwa unaelewa.
alikiba naye alijenga msikiti.
maana yake nini, kama wakitengeneza mazingira ya kupata zaidi nao watarudisha zaidi.
 
Sidhani kama YT inawahitaji kuliko inavyowahitaji.
Halafu wabongo wagumu nunua kazi ndio maana ile platform ya diamond ya kuuza nyimbo haikuchukua hata miezi sita ilikiwa ishapotea

youtube ina faida ndogo sana kwa msanii wa bongo.
shida ya ile platform ya mond ni kuuza kazi wakati bado inapatikana bure kwenye platform nyingine ambayo ni youtube.
 
Wazo ni zuri ila sasa utekelezaji wake ni ghali sana kulingana na tabia ya watumiaji wa bidhaa na huduma za wasanii wetu, uuzaji holela wa kazi za wasanii bado ni mwiba mkali yani mambo ni mengi mkuu.

ndio maana nikachukua kwa just a part of fans.
mfano out of 8m alikiba instagram fans alionao, akawa na loyal fans 2m wakanunua kazi yake kwa 200 anapata 400m hapo chap.
 
youtube ina faida ndogo sana kwa msanii wa bongo.
shida ya ile platform ya mond ni kuuza kazi wakati bado inapatikana bure kwenye platform nyingine ambayo ni youtube.
Mkuu, unajua kwa sasa watu wanasikiliza nyimbo baada ya kuzisikia ndipo wanaenda kuzifuatilia. Ukisoma comment nyingi za YT utakuta watu wanasema walianzA kuzisikia Tiktok ndo wakaja zitafuta YT.
Biashara imebadilika, ndio maana wameamua kuwa wanaachia nyimbo bure ziwe viral wapige show au wapate views.
Kwa sasa hii ndio business model inayolipa
 
Back
Top Bottom