Nawashauri Wasanii maarufu Bongo mjiondoe katika Mtandao wa YouTube, Tengenezeni Platform zenu wenyewe

Nawashauri Wasanii maarufu Bongo mjiondoe katika Mtandao wa YouTube, Tengenezeni Platform zenu wenyewe

kutokana na umaskini wetu utube sio rafiki kwetu.

platform za bongo malipo huwekwa siri kwa sababu ni kidogo.
spotfy, i tunes na apple wanalipa vizuri na malipo yao yapo wazi.

wasanii washakuwa maarufu hawahitaji youtube kujulikana na kwenye soko la kimataifa utube sio njia bora zaidi. Ni lazima auze kazi zake apate pesa nyingi zimsaidie kujitangaza kwa namna bora zaidi.

hatuhitaji kuleta upinzani kwa utube bali platform ya kuuza kazi,uwekezaji wameshaufanya kwenye majina yao.
Mkuu hizo platforms za bongo zinazolipa kidogo ni zipi. Na platforms zote za kimataifa hazina calculation inayojulikana fika ya malipo hata wasanii wenyewe huwa hawajui watalipwaje labda makadirio.

Msanii kuwa maarufu anahitaji kuzidi kubaki juu au kuendelea. Tena achana na wa mbele uko, hapa kila siku si unaona wanashindana trending in YouTube? Inawasaidia wao kuliko inavyowasaidia uko mambele. Mtu kama Kendrick Lamar akatoa Mr. Morale album akauza copies zake laki kadhaa akakusanya pesa, anasubiri shows, World tour, collaborations, deals kisha asubiri hizo streaming na hela ya mboga ya YT.

Bongo hapa kuna msanii atauza copies mtaani humu? Nani huyo labda Maalim Nash anayefanya delivery mtaani kwake. Vincent Kigosi "Ray" kaanza kuigiza sijaanza shule, last week namuona anakopeshwa milioni 40 alipe ndani ya 2yrs. Hivi msanii mkongwe na star wa Bongo Movie kama yule ni wa kukopeshwa 40M zimsaidie kikazi? Watu walitoa kazi zikaishia kutolewa nakala vibanda umiza.
Sasa uanzishe platform ulipishe watu wa jamii hiyo kweli utegemee ishindane na YouTube.
 
Sasa unataka kusema kitu ameshindwa Soulja Boy ndio waweze wabongo hawa wanaoishi nyumba za kupanga na magari ya kukodi kwa car dealers? Ukijumlisha utajiri wa wasanii 10 wa bongo unafika hata nusu ya Soulja Boy?

Watu mnaojua makompyuta mnachukulia vitu kirahisi mkishaona kitu kinatengenezeka mnadhani kitafanya kazi vilevile na kupenda kuigaiga. Kama ni hivyo Vevo si ingejitegemea tu kwanini iwe na contract na YouTube?

Na hilo yowe lote unalopiga umelitoa kwenye paragraph moja niliyoandika:
"YouTube ni platform ya kutafuta kujulikana zaidi wala sio kutengeneza hela uko, kujulikana kwenyewe kunaleta hela baadae. Nadhani ushajua kwanini Rihanna hakulipwa kwenye Super Bowl, wala hakuna msanii anayelipwa uko tena wengine kama Ed Sheeran na J Cole walitoa hela zao mfukoni kuongezea kuandaa show."

Nilimaanisha YouTube ni kama platform ya kukupa mashabiki na ukalipwa kidogo, nikatoa mfano wa Super Bowl kama platform ya kukupa mashabiki ndio maana hawalipi msanii. Na maelezo yangu yametosheleza kabisa ila kwa ujuaji wako na kudhani wewe ndio mwenye akili pekee ukarudia kilekile niichosema.
Na suala la Fiesta unalosema ndio hiyohiyo hoja yangu.

Dunia hii sijawahi ona msanii anapata utajiri kupitia YouTube au streaming platforms kama Deezer, Spotify na Apple Music.

Hawa wasanii wasio na uwezo wa kuendesha record labels ndio unataka waunde platforms zao? Marekani rappers kibao wana labels zao na contracts na giants kama Sony, Warner na Universal. Mmemtaja Jay Z na Roc A Fella.
Rick Ross ana Maybach Music Group ilikuwa na kina August Alsina, Meek Mill, French Montana, etc.
Lil Wayne ana Young Money imewatoa kina Drake, Nicki Minaj na wengine. Na rappers zaidi ya 20 wana labels hata Young Thug wa juzi tu hapa ana Young Stoner Life na wahuni wake. Sasa hawa wote wenye hela ndefu washindwe waje waimba you go blast mai medula ndio waweze?

Mnataka mfirisi watu nyie, msifanye hiki ni kitu rahisi. Inawezekana ila sio kwa hela walizonazo wasanii mpaka investors na akili kubwa wakae kuteseka miaka na miaka
Unaenda unarudi huelewiki yaan. Kuhus halftime show mwanzon umeongea vingine now unakuja na gia nyingine

Mambo umesema mwenyewe sshv unayakataa.

Anyway, uko na fixed mindset. Sasa kisa kitu kashindwa soulja boy ndio kila mtu ashindwe? Nikupe mfano mdg, umeisikia chatGPT, chatBot inayosumbua dunia kwa sasa? Google wamekaa miaka na miaka wanafanyia uchunguzi wa technology ya Artificial intelligence lkn wamekuja kuzidiwa na kampuni yenye waajiriwa nane tu, na inajiendesha kwa misaada. Google haohao wakatengeneza product kuipiku chatGPT lkn product ikafail kwenye uzinduzi wake. Sasa usije kudhan kitu kama kashindwa fln basi kila mtu atashindwa.

Toa hio fixed mindset ndo uendelee ku-argue na mimi.
 
Wewe ndo unaongea vitu imaginary.

Muulize mange anapata sh ngp kwenye app yake kwa kuweka scandal za haohao wasanii. Yaan unakuta mtu analipia buku kwenda kuona mchepuko mpya wa mbosso ni nani.

Ni kwamba tu wasanii wetu hawajielewi, watu baki wanapiga hela sana kwa kutumia umaarufu wa haohao wasanii.

Nikupe mfano wa JAY Z, jamaa alipokua unsigned alikua anasambaza muziki wake yy mwenyewe, baadae akapata label ila alipoingia huko akaona hakuna wanachomfanyia ambacho hawezi yeye kujifanyia, na ndipo akatoka akaanzisha Roc-A-Fella and the res is history.

Wanamuziki kama kina harmonize, marioo, diamond etc... wakichukua hio approach kwa upande wa platforms watatoboa sana. Tena mtu kama mondi ndio atapiga hela hata kufikia level za kina didy na jigga
Labda wakina Didy na Jiga wa mchafukoge.
 
Na
Hao Watu Watu Wapo Ndo Maana Nimesema Kwa Wachache, Mfano Out Of 8m Alikiba Fans Ndani Ya Instagram Akawa Na Loyal Fans 1m, Hawa Wakanunua Wimbo Wake Kwa 200/=, Huyu Msanii Anatengeneza 200m Ambayo Anaweza Asiipate Kwa Nyimbo Zake Zote Pale Youtube.
Hao followers milion kadhaa kumbuka Kuna ma roboti na roboti hatutoi hela tupo kuongeza namba
 
Hesabu zako Mtoa mada nimekumbuka motivational speakers wa biashara ya matikiti.
 
Kwabongo Hii sijui labda mbele huko sijui kama wataweza kuzuia wale watao kwenda kudownld na nakueka YouTube,mtu akiona ipo YouTube huko kwenye kulipishwa haji,mf Beyoncé album yake ya Lemonade ilikua tidal tu ndio unapata walizuia platforms zote baadae wakaeka kwenye Apple Music na baadae akaeka baadhi ya video YouTube.
 
Unamtolea mfano Jaa piracy ya kuweka nyimbo na KAZI za wasanii.


Marekani huwezi kukuta vibanda mitaani vinauza KAZI za wasanii kwenye flash. Tanzania nzima kuna vibanda watu wanauza na kuwawekea watu nyimbo kwenye flash Kwa bei nafuu.


Mazingira ya ulinzi WA Kazi za wasanii Kwa hizi nchi mbili ambazo unatolea mfano ni tofauti kabisa. Kwa Marekani ni rahisi Sana msanii kusimamia KAZI yake Kwasababu nchi ya Marekani inalinda KAZI za wwakina DJ MWANGA.


Hivyo basi Kwa hicho ulichosema na unataka kushauri hapa hakuna msanii atakaefanikiwa hata robo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

provided that wasanii wamezitupa kazi zao wenyewe dj mwanga hana kosa.
lakini kama wakiwa na platform zao, akina dj mwanga watapotea either kwa sheria au wao wenyewe.
na platform zikiwa na security nzuri hata hao wanaouza mitaani watapata changamoto kuzi access.
 
Unaenda unarudi huelewiki yaan. Kuhus halftime show mwanzon umeongea vingine now unakuja na gia nyingine

Mambo umesema mwenyewe sshv unayakataa.

Anyway, uko na fixed mindset. Sasa kisa kitu kashindwa soulja boy ndio kila mtu ashindwe? Nikupe mfano mdg, umeisikia chatGPT, chatBot inayosumbua dunia kwa sasa? Google wamekaa miaka na miaka wanafanyia uchunguzi wa technology ya Artificial intelligence lkn wamekuja kuzidiwa na kampuni yenye waajiriwa nane tu, na inajiendesha kwa misaada. Google haohao wakatengeneza product kuipiku chatGPT lkn product ikafail kwenye uzinduzi wake. Sasa usije kudhan kitu kama kashindwa fln basi kila mtu atashindwa.

Toa hio fixed mindset ndo uendelee ku-argue na mimi.
Wewe ndio hutaki kuelewa makusudi. Nilichoandika kwenye Super Bowl na ulichopinga ukaja andika ni vilevile.

Na hiyo ChatGPT unayosema si ndio haohao Microsoft inaenda invest $10 billion kwa OpenAI baba wa ChatGPT. Yani wameachia tool haina hata miezi sita Microsoft ashajiweka pale. Na lazima wakubali deal, kwanini wasiache wabaki wenyewe.
Sasa tofauti ya Google kushindwa hiyo AI na ikaja kutumika na Microsoft si ni yaleyale. Na bado Google inakuja na solution yake sema kwa kuchelewa.

Walioanzisha Instagram, YouTube na WhatsApp wangekaa nazo ila waliziuza. Sasa wasanii wetu hawa bongo wasianzishe kitu ili wakishindwa wauze kwani wao sio watu wa makompyuta. Ni rahisi wao kuanzisha ila tunazungumza kuendelea na kuleta matunda.

Jux alianzisha brand ya nguo ile African Boy akauza, kuuza nguo tu kwa wasanii wetu ni mtiti tena huyo ana elimu nzuri sembuse hawa wasiojua kuandika barua.
 
Wewe ndio hutaki kuelewa makusudi. Nilichoandika kwenye Super Bowl na ulichopinga ukaja andika ni vilevile.

Na hiyo ChatGPT unayosema si ndio haohao Microsoft inaenda invest $10 billion kwa OpenAI baba wa ChatGPT. Yani wameachia tool haina hata miezi sita Microsoft ashajiweka pale. Na lazima wakubali deal, kwanini wasiache wabaki wenyewe.
Sasa tofauti ya Google kushindwa hiyo AI na ikaja kutumika na Microsoft si ni yaleyale. Na bado Google inakuja na solution yake sema kwa kuchelewa.

Walioanzisha Instagram, YouTube na WhatsApp wangekaa nazo ila waliziuza. Sasa wasanii wetu hawa bongo wasianzishe kitu ili wakishindwa wauze kwani wao sio watu wa makompyuta. Ni rahisi wao kuanzisha ila tunazungumza kuendelea na kuleta matunda.

Jux alianzisha brand ya nguo ile African Boy akauza, kuuza nguo tu kwa wasanii wetu ni mtiti tena huyo ana elimu nzuri sembuse hawa wasiojua kuandika barua.
Usikimbie point!

Wewe umesema kama soulja boy kashindwa hawa wengine ni kina nani waweze?

Na ndipo nakwambia sasa usichukulie sababu Icon fln kashindwa basi kila mtu atashindwa. Na ndo maana nikakupa mfano wa OpenAI walivoipiku Google kwenye AI.

Af google mbona washaleta hio AI yao toka wiki zimepita wanaiita "Bard AI" na ikatoa majibu ya uongo walipokua wanatest kwenye lauch event yake? Na zaidi ikapelekea shares za Google kushuka bei hadi asilimia 10 hata kabla ya trading session kuanza.

Never underestimate the hustle man, ikitokea jamaa mmoja akajipinda sawa sawa, hii idea anayoongelea jamaa hapa kwenye uzi inafanyika vizuri tu
 
Jinga kweli wewe !


Watu mafuta ya petrol yakpanda bei Kwa 500 nchi nzima kelele unasema wanaweza kulipia subscription za YouTube...


Mchele na maharage yako Kwenye highest price watu wanalia ndio waweze kulipalia YouTube monthly, unachekesha Sana wewe

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

jinga baba yako,
huwezi kuchangia bila kutoa matusi?
vitu vikipanda bei watu wanapiga kelele ndio lakini wanaonunua si wapo? Kwani kila mtu anamiliki hiyo gari ya kununulia mafuta?
pumbavu wewe. Halafu unaweza kuta umenizidi umri ila unaanzisha upumbavu humu.
kama huna cha kuchangia pita kimya kama wenzako.
 
Mkuu, unajua kwa sasa watu wanasikiliza nyimbo baada ya kuzisikia ndipo wanaenda kuzifuatilia. Ukisoma comment nyingi za YT utakuta watu wanasema walianzA kuzisikia Tiktok ndo wakaja zitafuta YT.
Biashara imebadilika, ndio maana wameamua kuwa wanaachia nyimbo bure ziwe viral wapige show au wapate views.
Kwa sasa hii ndio business model inayolipa

ndio maana nikasema kwa wasanii maarufu waliojitengenezea majina tayari, hivi Wewe alikiba akisema kesho natoa ngoma mashabiki wake watasubiri waisikilize tiktok?
kwa show wanazopiga bongo wanapata pesa ya kawaida ndo maana na suggest namna ya kupata fedha nyingi ili waweze kuwa na nguvu ya kupambana kimataifa zaidi.
 
Wewe ndo unaongea vitu imaginary.

Muulize mange anapata sh ngp kwenye app yake kwa kuweka scandal za haohao wasanii. Yaan unakuta mtu analipia buku kwenda kuona mchepuko mpya wa mbosso ni nani.

Ni kwamba tu wasanii wetu hawajielewi, watu baki wanapiga hela sana kwa kutumia umaarufu wa haohao wasanii.

Nikupe mfano wa JAY Z, jamaa alipokua unsigned alikua anasambaza muziki wake yy mwenyewe, baadae akapata label ila alipoingia huko akaona hakuna wanachomfanyia ambacho hawezi yeye kujifanyia, na ndipo akatoka akaanzisha Roc-A-Fella and the res is history.

Wanamuziki kama kina harmonize, marioo, diamond etc... wakichukua hio approach kwa upande wa platforms watatoboa sana. Tena mtu kama mondi ndio atapiga hela hata kufikia level za kina didy na jigga
Huwezi kufanya biashara ya muziki bila big boys. Roc-a-Fella ilikuwa na deal na Def Jam. Hata sasa hivi Jay Z ana Roc Nation ambayo ni joint venture yake na Kampuni ya Live Nation.

Kuanzisha platform sio rahisi kama unavyodhani. Ingekuwa rahisi kila msanii angekuwa na ya kwake.
 
Niliwahi ona dizasta na stereo wanauza album kwa nyia ya email au WhatsApp unatumiwa baada ya kulipa ..

Sijui inawalipa au lah? Na dizasta sio maarufu hivyo ila anakiri kuwa anautegemea mziki.

So hikinkitu nahisi ni possible..
 
Mkuu hizo platforms z
Msanii kuwo kuliko inkacopies zake laki kadhorld tour, collaborations, deals kisha asubiri hizo streaming na hela ya mboga ya YT.

Bongo hapa kuna msanii atauza copies wake. Vdani ya
platform kama boomplay,youtube na audiomack ambazo wasanii wa bongo wanazitumia sana hazilipi vizuri na ndio maana hata calculation zake hazipo wazi. Ila platform za kimataifa kama spotify wanalipa vizuri na calculation zipo wazi mf. Spotify wanalipa dola 4000 kwa stream 1m. Sasa chukulia drake ana stream karibu 4b anapata karibu $ 20m hapo bado hajaenda apple,i tunes,tidal, n.k ambako nako kuna pesa na stream kibao. Hakuna msanii bongo anamiliki pesa kama hiyo kwa spotify tu,kabla hata hajafanya mambo mengine sio tajiri huyo?

sasa msanii wetu atafanya world tour kwa kuishia kuweka kazi youtube? Ataishia show za mikoani ambazo nazo zina pesa ndogo.
 
Unaongelea piracy lkn hujasoma comment zangu vzr chief.

Kuhusu piracy nimesema wakiamua kutengeneza platform itakayolinda kazi zao haishindikani, kuna technology kama NFT zinazotumia blockchains, na hilo nmesema kwenye moja ya comments zangu hapo juu. Anyway hio inakua too technical tunaweza tusielewane,

Lkn trust me, piracy ya US na ya BONGO ya bongo chamtoto, naongea hilo kutokana na experience. Ushajiuliza torrent wametengeneza wabongo au US? na ndio tech inayoliza hadi media production companies kubwa.

Piracy ya kibongo kuithibiti ni rahisi saaaaaaana kama kumsukuma mlevi. Kuna kitu kinaitwa DMCA, wasanii wa bongo hawaitumii na ndo maana wanalia lia, hio ni solution kwa piracy ya mtandaoni. Piracy ya vituo vya flash wasanii wanakua wajinga kutumika kisiasa, kwa nn wasikomalie serikali ipige stop hizo mambo? Kama waliweza stop matumizi ya mifuko ya plastik watashindwaje hilo.

Nmejibu hoja zako chief, nijibu kwa hoja au tuishie hapo
Unaongea kama umekatika kichwa hakuna nchi East Africa inaweza kudhibiti piracy. Hao cyber police wenyeww wanadownload nyimbo.


Endelea kujidanganya
 
Unaenda unarudi huelewiki yaan. Kuhus halftime show mwanzon umeongea vingine now unakuja na gia nyingine

Mambo umesema mwenyewe sshv unayakataa.

Anyway, uko na fixed mindset. Sasa kisa kitu kashindwa soulja boy ndio kila mtu ashindwe? Nikupe mfano mdg, umeisikia chatGPT, chatBot inayosumbua dunia kwa sasa? Google wamekaa miaka na miaka wanafanyia uchunguzi wa technology ya Artificial intelligence lkn wamekuja kuzidiwa na kampuni yenye waajiriwa nane tu, na inajiendesha kwa misaada. Google haohao wakatengeneza product kuipiku chatGPT lkn product ikafail kwenye uzinduzi wake. Sasa usije kudhan kitu kama kashindwa fln basi kila mtu atashindwa.

Toa hio fixed mindset ndo uendelee ku-argue na mimi.
Wewe jamaa ni taahira
 
provided that wasanii wamezitupa kazi zao wenyewe dj mwanga hana kosa.
lakini kama wakiwa na platform zao, akina dj mwanga watapotea either kwa sheria au wao wenyewe.
na platform zikiwa na security nzuri hata hao wanaouza mitaani watapata changamoto kuzi access.
Nani kakwambia hakuna sheria ya kudhibiti kazi za wasanii kutoibiwa
 
Nilipe tsh200 kusikiliza nyimbo za domo? Hata bure siwezi sikiliza nyimbo za kipuudhi
 
Back
Top Bottom