Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sijakusoma broumbwaaa mkubwa huyo, ile 35m ilitolewa ya nn?
umbwaaa na tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakusoma broumbwaaa mkubwa huyo, ile 35m ilitolewa ya nn?
umbwaaa na tena.
Ilitolewa ili akanunue Bange zingine akawatukane tena kule Xile 35m ilitolewa ya nn?
kama hvo sawa, ila kama ni kwa ajili ya kugharamia matibabu ya mtu kujiteka, hapana sikubal, urais ni taasisi atiiIlitolewa ili akanunue Bange zingine akawatukane tena kule X
Nimeguswa sana na level ya unafiki uliojificha kwenye andiko lako.Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.
Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.
Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kujiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
kamanda ni umbwaa, bosi wake katoa 35m yeye anasema mlengwa alijiteka?Sijakusoma bro
Sana tuUmemuelewa vizuri mleta mada?
Hapana zile 35 million sio za matibabu ni kwa ajili ya kwenda kuongezea Bange nyingine ili akawatukane tena vizuri kule Xkama hvo sawa, ila kama ni kwa ajili ya kugharamia matibabu ya mtu kujiteka, hapana sikubal, urais ni taasisi atii
Yaani ya tanga hajayasikia.Kama huna D mbila na C moja huwezi muelewa mtoa mada....... 😀 😀 😀
Ama kweli bongo nyoooso.Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.
Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.
Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kuajiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Jamaa kasema vizuri tu mkuu kuwa jamaa wanajipenyeza wanaingia lock up wakati polisi wameenda kula. Hata yule mwingine alijivesha pingu polisi alikuwa amezisahau kwenye kitiNaunga mkono hoja yani kwa ujanja ujanja wanajiteka hadi wanajipiga risasi na kujifunga pingu za polisi, na wengine kujiweka lock up za vituo vya polisi. Waache kujiteka.
Hizi nazo ni akilizako kweli? Ivi unapoteza energy nyingi kuandika pumba kama izi kweli? Bora hata huo muda ungetumia kupiga nyeto ….. ivi unajua kujiteka wew au unaongea tu , tukikuliza ushahidi wa kujiteka utaweka hapa?Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.
Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.
Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kujiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Ningetaka kukutukana lakini nikadhani aidha wewe ni msukule au askari polisi unayetumikia utumwa wa dola! Unalala kwenye yale mabanda ya kuku pale police line. Na ofisi yako ni pale OB ukinusa vinyesi na mikojo ya mahabusu muda wote! Ubongo wako umegeuka mavi na wenyewe!Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.
Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.
Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kujiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Umemuelewa vizuri mwandishi?Hizi nazo ni akilizako kweli? Ivi unapoteza energy nyingi kuandika pumba kama izi kweli? Bora hata huo muda ungetumia kupiga nyeto ….. ivi unajua kujiteka wew au unaongea tu , tukikuliza ushahidi wa kujiteka utaweka hapa?