Nawasihi Watanzania tuache kujiteka

Nawasihi Watanzania tuache kujiteka

Kama hujawahi kuingia kwenye mikono ya polisi wa kitanzania una haki ya kuandika huu uchafu.

Shida ilianzia pale kwenye TANU YOUTH LEAGUE.
 
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.

Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.

Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.

Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kujiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Nimeguswa sana na level ya unafiki uliojificha kwenye andiko lako.
 
Wananchi wana wajibu wa msingi na wa kwanza kabisa kujilinda. Polisi na vyombo vingine vya dola vinachukua nafasi ya pili, hivyo kuhitajika msaada wa wananchi.
Kwa hiyo, wananchi wasaidie polisi kupambana na watekaji kama wahalifu wengine.
Kwa teknolojia ya mawasiliano iliyopo, wananchi wanaweza kutoa msaada mkubwa kwa polisi.
 
Screenshot_20240716_095019.jpg


Nesi mkunga ujiandae na Wewe kupewa million 35 zako za kujipongeza kwa kuvuta Bange iliyochangamka ikakupelekea ujitose baharini nna hakika ukipona pale Agha Khan Daktari Chura lazima akupongeze na Million 35 ukapige Bange zingine
 
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.

Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.

Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.

Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kuajiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Ama kweli bongo nyoooso.
 
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.

Wambura aache ujinga. Hivi kweli kuna mtu au kundi la watu linaweza kutumia muda wake na resource zao kumkamata mtu Dar, wampeleke Arusha halafu kutoka Arusha waendeshe mpaka Sumbawanga ili kumuua mateka wao ....!! Utekaji Binafsi hauwezi kujiingiza kwenye gharama kubwa kama hizo bure .... lazima kuwe na faida.

Mtu au kikund cha watu wanapoamua kuua kuna onlu three motives; Money, Love or Revenge. Kwa yule bwana aliyetekwa na kwenda kupigiwa Risasi Katavi kulikuwa na motive gani.....!!?

Tuaasume anachokisema Wambura ni kweli ..... swali hapa, je jeshi la polisi liko wapi ...!!? Au linazidiwa maarifa na Watekaji? Kwa nini wameshindwa kusolve case yeyote ya utekaji....!!?
 
Naunga mkono hoja yani kwa ujanja ujanja wanajiteka hadi wanajipiga risasi na kujifunga pingu za polisi, na wengine kujiweka lock up za vituo vya polisi. Waache kujiteka.
Jamaa kasema vizuri tu mkuu kuwa jamaa wanajipenyeza wanaingia lock up wakati polisi wameenda kula. Hata yule mwingine alijivesha pingu polisi alikuwa amezisahau kwenye kiti
 
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.

Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.

Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.

Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kujiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Hizi nazo ni akilizako kweli? Ivi unapoteza energy nyingi kuandika pumba kama izi kweli? Bora hata huo muda ungetumia kupiga nyeto ….. ivi unajua kujiteka wew au unaongea tu , tukikuliza ushahidi wa kujiteka utaweka hapa?
 
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.

Baada ya yeye kutoa mifano na Mimi naomba nitoe mifano ya waliojiteka na kuwasihi Vijana wengine hili liwe fundisho kwao wakome kujiteka kama hawa nitakaowatolea mifano. WA Kwanza ni huyu shujaa wa Twitter X SATIVA aliyejiteka Kimara DSM, kisha Kwa utundu wake akajipeleka Polisi Oesterbay kwenye karakana akajipigapiga na vyuma vya magari kisha akaokota Pingu iliyosahauliwa na Askari wa traffic aliyekuwa amemfunga dereva wa daladala iliyopata ajali na kujifunga mikononi kisha akapanda basi la Air Msae Hadi Arusha Kwa demu wake ambako alikaa siku 2 na baadaye akapanda AN bus Hadi Katavi ambako alijipiga risasi ya taya Kwa bunduki aliyoachiwa na Marehemu Baba yake. Huyu bila wasamalia wema waliomuokota angekufa Kwa "ujinga" wake porini.

Wa pili ni Mombo kijana toka Handeni Tanga. Mgosi huyu naye kaleta usanii wa kisambaa. Kajiteka Tangu June 14 usiku kaenda kwenye mashamba ya Mapeas huko kajiburuza wewe kisha Kwa ujanja ujanja akajipenyeza Hadi lock up ya Polisi Handeni na kujichanganya na washtamiwa Ili ionekane alikamatwa na Polisi. Kumbe Polisi wa watu wala hawakuwa na shida naye japokuwa kuna kipindi zamaaani waliwahi kumtafuta Kwa makosa yake ya kuandika vitaarifa vya kishakunaku mitandaoni lakini walikuwa hawamtafuti kiviiile.

Sasa Kwa mifano hii miwili niungane na Jeshi tukufu la Polisi kukemea Tabia hii ya kujiteka iliyofanywa na Vijana hawa wawili Kwa lengo la kuchafua sifa nzuri ya Nchi yetu ya Amani na utulivu. Nawaunga mkono Polisi SATIVA na Mombo wafikishwe mahakamani Kwa kosa la kujiteka ili liwe fundisho Kwa Vijana wengine.
Ningetaka kukutukana lakini nikadhani aidha wewe ni msukule au askari polisi unayetumikia utumwa wa dola! Unalala kwenye yale mabanda ya kuku pale police line. Na ofisi yako ni pale OB ukinusa vinyesi na mikojo ya mahabusu muda wote! Ubongo wako umegeuka mavi na wenyewe!

Kama wambura kasema hivyo then ni wale wale wenye UNYANI "APEDOMIA"
Bado jamii tunaandaa risasi za kutosha kuwinda haya manyani wanaoteka watu wetu!
 
Hizi nazo ni akilizako kweli? Ivi unapoteza energy nyingi kuandika pumba kama izi kweli? Bora hata huo muda ungetumia kupiga nyeto ….. ivi unajua kujiteka wew au unaongea tu , tukikuliza ushahidi wa kujiteka utaweka hapa?
Umemuelewa vizuri mwandishi?
 
Back
Top Bottom