CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Save your breath brother, hujamuelewa,soma kwa utulivu utamuelewa vizuri.Ningetaka kukutukana lakini nikadhani aidha wewe ni msukule au askari polisi unayetumikia utumwa wa dola! Unalala kwenye yale mabanda ya kuku pale police line. Na ofisi yako ni pale OB ukinusa vinyesi na mikojo ya mahabusu muda wote! Ubongo wako umegeuka mavi na wenyewe!
Kama wambura kasema hivyo then ni wale wale wenye UNYANI "APEDOMIA"
Bado jamii tunaandaa risasi za kutosha kuwinda haya manyani wanaoteka watu wetu!
reread it sarcasticallyLiamini wewe na mumeo, unamteka mtu siku 29 ndugu zake wanamtafuta then unasema tuliamini? kwani mkiliamini wewe na mumeo haitoshi?
ukipitia michango humu unapata kuelewa aina za akili za watanzania na uvivu wa kusoma na kuelewa jambo kabla ya kulitolea maoni.Save your breath brother, hujamuelewa,soma kwa utulivu utamuelewa vizuri.
Pale haitaji hata D mbili kuelewa hakuna logic ya mtu kujiteka , haya mo dewji ilikiwaje na polisi walisemaje? Roma je naye ilikuwajeSave your breath brother, hujamuelewa,soma kwa utulivu utamuelewa vizuri.
Sawareread it sarcastically
Kwa hiyo hao watoto, kutia huyo wa miaka 12, walisemwa wametekwa kwa kupinga serikali au sababu za kisiasa? Usichanganye mambo, na usiamini kirahisi namna hiyo kile kinachosemwa na PolisiWengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Najua anatania lakini si wote wanaoelewa utani!Save your breath brother, hujamuelewa,soma kwa utulivu utamuelewa vizuri.
Basi sawaKwa mujibu wa Wambura alijiteka.
Nilikuwa sijui tabia zake hapo awali,ila ninachokiona kwenye Post zake pale X baada ya kutoka Katavi, inasikitisha........ anyway acha niishie hapoAlitekwa na wahuni wenzie aliowatukana,kwanza anaendeleaje