Nawasihi Watanzania tuache kujiteka

Nawasihi Watanzania tuache kujiteka

Ningetaka kukutukana lakini nikadhani aidha wewe ni msukule au askari polisi unayetumikia utumwa wa dola! Unalala kwenye yale mabanda ya kuku pale police line. Na ofisi yako ni pale OB ukinusa vinyesi na mikojo ya mahabusu muda wote! Ubongo wako umegeuka mavi na wenyewe!

Kama wambura kasema hivyo then ni wale wale wenye UNYANI "APEDOMIA"
Bado jamii tunaandaa risasi za kutosha kuwinda haya manyani wanaoteka watu wetu!
Save your breath brother, hujamuelewa,soma kwa utulivu utamuelewa vizuri.
 
Wengi tuliamini Jeshi la Polisi linahusika Kuteka na kutesa watu hasa Wenye kukosoa serikali katika Mambo mbalimbali. Lakini Jana IGP CAMILIUS WAMBURA akiwa Bariadi ameta.ka Wazi kabisa Polisi wake hawahusiki. Na ametoa mifano ya Mtoto wa Mbeya aliyetekwa Kwa maelekezo ya mama yake ili apate hela toka Kwa mzazi mwenzie na watoto wawili wa Mwanza mkubwa akiwa na miaka 12 waliojiteka na kupanga chumba ili wapige hela Kwa mama yao mzazi lakini Kwa weledi wa hali ya juu kabisa Polisi wa Bwana Wambura wakategua mtego ule na kuwakamata.
Kwa hiyo hao watoto, kutia huyo wa miaka 12, walisemwa wametekwa kwa kupinga serikali au sababu za kisiasa? Usichanganye mambo, na usiamini kirahisi namna hiyo kile kinachosemwa na Polisi
 
Wale maabusu (chuma ulete wa polisi) mlioenda kuwaficha kwenye vituo vya pembezoni kupisha ziara ya IGP, Wamerudishwa?.
 
Kama hujawahi kuingia kwenye mikono ya polisi wa kitanzania una haki ya kuandika huu uchafu.

Shida ilianzia pale kwenye TANU YOUTH LEAGUE.
Itakuchukua Muda kuelewa maandiko yangu Kwa akili nyepesi.
 
ukipitia michango humu unapata kuelewa aina za akili za watanzania na uvivu wa kusoma na kuelewa jambo kabla ya kulitolea maoni.
Nikiandika Kwa ajili ya akili kubwa kama ww.
 
Back
Top Bottom