Nawasikitikia sana wazazi wenye vipato vya kati mnaojitesa kuwasomesha watoto wenu (Gen Z) kwenye shule za mamilioni

Nawasikitikia sana wazazi wenye vipato vya kati mnaojitesa kuwasomesha watoto wenu (Gen Z) kwenye shule za mamilioni

Mleta mada tafuta pesa
Mtoto anastahili kupata kila kitu kizuri na classic kuanzia elimu Bora ya hadhi ya juu akisona na watoto WA hadhi ya juu awaze mawazo ya juu na kukataa umaskini mawazo ya chini na maisha ya chini hata akitaka kuoa au kuolewa anawinda WA juu Tu sio malofa

Pili usimpangie Mzazi mwingine matumizi ya pesa zake hangaika na zako za mwingine mwachie mwenyewe hayakuhusu lofa mkubwa wewe pambana na ulofa wako


Tatu kila Mzazi ahangaike na mwanawe wacha kuhangaika na watoto WA watu wengine bwege wewe

Una pepo la umaskini wewe mleta mada nenda Kwa Mwamposya akalitoe

Ulivyoabdika NI wazi kichwa chako kuna mambo yanakuchabganya umepigika kimaisha .Wahi Mirembe hospital ya vocha .Una dalili zote za kurukwa akili.Mtu akikusoma between the lines anajua wazi huko salama kichwani
Sawa
 
Usitake kulazimisha mawazo Yako yawe kama ya watu wengine,ingekuwa hivyo kusingekuwa na maendeleo au kungekuwa na maendeleo makubwa sana,maana tungekuwa tunawaza kitu kile kile.


By the way hao wazazi wa hao watoto Huwa wanakuomba ada? Acha kujipa umuhimu ambao haupo kwamba wewe ni mwamuzi wa shule zipi za kusomeshea watoto wetu.
Sawa ngosha
 
Hali si nzuri kote kote. Hali ni mbaya

Mkuu naona umetumia zaid hisia kuliko uhalisia. Mleta mada amejaribu sana ku balance agenda yake kwa kuweka case study yake na za jiran zake.
Haimaanishi hii ni kwa kila mtu ila atleast amejaribu kuwatazamisha watu ukwel na kuwapa tahadhari.

Ni kwel kila mzazi atumie pesa zake avile anavyojisikia, well and good, ila yeye msisitizo wake ni kwa wale wazaz ambao wanajibana kisa kusomesha, hii ndio point. Kusomesha haipaswi kuwa suala la kujibana na kubangaiza, no way, somesha mtoto kwa uwezo wako,

Anazungumza na wazaz ambak unakuta mpaka anaingia mikopo kisa tu kusomesha.

Mzaz biashara zimekuyumbia ila ku maintain status unaingia lundo la mikopo kisa tu prestige. Hii sio sawa..

Mwisho wa siku, katika akil ya kawaida kabisa, kuna jambo huwa linatia mawazo, imagine mimi nimetumia millions of money kusomesha mtoto, na mwingine kasomesha shule za bure, na end of time wote mnakutana UDSM au Muhimbili, hii trial balance haijakaa sawa hata kidog. Tena wote wanakutana wakiwa na division 1.

Ndio maana mwisho wa siku ni muhimu kumjua mwanao kwanza kabla ya kuchoma gharama nyiing.
Kama mtoto ana uwezo, anaweza soma popote tu..

NB.
Probably huu ujumbe haukuhusu wewe, na aikupangii matunizi ya pesa zako
You are the true son of your father. Asante kwa kunisaidia kumuelewesha huyo jamaa.
 
Hali si nzuri kote kote. Hali ni mbaya

Mkuu naona umetumia zaid hisia kuliko uhalisia. Mleta mada amejaribu sana ku balance agenda yake kwa kuweka case study yake na za jiran zake.
Haimaanishi hii ni kwa kila mtu ila atleast amejaribu kuwatazamisha watu ukwel na kuwapa tahadhari.

Ni kwel kila mzazi atumie pesa zake avile anavyojisikia, well and good, ila yeye msisitizo wake ni kwa wale wazaz ambao wanajibana kisa kusomesha, hii ndio point. Kusomesha haipaswi kuwa suala la kujibana na kubangaiza, no way, somesha mtoto kwa uwezo wako,

Anazungumza na wazaz ambak unakuta mpaka anaingia mikopo kisa tu kusomesha.

Mzaz biashara zimekuyumbia ila ku maintain status unaingia lundo la mikopo kisa tu prestige. Hii sio sawa..

Mwisho wa siku, katika akil ya kawaida kabisa, kuna jambo huwa linatia mawazo, imagine mimi nimetumia millions of money kusomesha mtoto, na mwingine kasomesha shule za bure, na end of time wote mnakutana UDSM au Muhimbili, hii trial balance haijakaa sawa hata kidog. Tena wote wanakutana wakiwa na division 1.

Ndio maana mwisho wa siku ni muhimu kumjua mwanao kwanza kabla ya kuchoma gharama nyiing.
Kama mtoto ana uwezo, anaweza soma popote tu..

NB.
Probably huu ujumbe haukuhusu wewe, na aikupangii matunizi ya pesa zako
You are the true son of your father. Asante kwa kunisaidia kumuelewesha huyo jamaa.
 
Mnapoteza pesa zenu tu bure kuwasomesha hawa watoto ambao mnawaita zoomers Generation (Gen Z)

Nimewachunguza hawa watu. Nimeenda hadi chuo kimoja cha kati kusoma kozi ya miezi mitatu ili niwasome hawa viumbe.

They have cut from a very different cloth.

Don't waste your money please.

Wapeleke Kayumba wasimamie vizuri hadi wafikie viwango vya mwisho vya elimu yao ila wafundishe kuhusu skills za maisha...

Kuna brother mmoja mtaani kwetu leo kataka kumuua mtoto wake wa kike(kamsomesha English Medium kuanzia la kwanza hadi la saba) Sekondary anasoma shule ya private hapa mjini ambayo jamaa analipa mamilioni.

Mtoto yupo form two. She was born in 2010..

Jamaa alimnunulia mtoto wake simu (smart phone)kwa ajili ya kuitumia kujisomea, kufuatia ombi la mtoto mwenyewe.

Usiku mtoto aliacha simu kwenye Chaja sebuleni, jamaa alichelewa kurudi nyumbani usiku siku hiyo alirudi saa 7, akakuta simu sebuleni akasema ngoja nitazame nione kama mtoto wangu kuna " vimtu " vinamsumbua.

Alichokutana nacho hakuamini. Meseji anazo chati mtoto na wanaume. Wanafunzi wenzake kwa watu wazima. Mzee kupitia chati ambazo mtoto anachati na wenzake akagundua kumbe mtoto wake kabikiriwa tangu yupo darasa la sita. Na ana ex boyfriend kama watatu hivi na kuna watu wengine ana wafahamu kabisa (vijana wa mtaani wanamuita shemeji)

Mtoto anachati na wanaume zaidi ya kumi kati ya hao zaidi watatu wameshamla kwa nyakati tofauti.. na siku hiyo alikuwa katoka kudinywa na jamaa . Mtoto anamsifia jamaa " mboo yake tamu" na jamaa sio mtoto mwenzake ni bodaboda.

Kuna meseji nyingine za WhatsApp mtoto anachati na jamaa mtoto anamwambia jamaa amtumie picha ya dushe. Jamaa anatuma picha ya dushe mtoto anamwambia hiyo ni ndogo kwake. Jamaa anasema yani nilipoona hiyo meseji nilichanganyikiwa kaka kwa sababu huyo jamaa anae ambiwa dushe yake ndogo Mimi kaizidi yangu mara mbili kwa hiyo mtoto anabeba mizigo mikubwa kuzidi mama yake.

Isingekuwa kwa juhudi zangu jamaa leo mngemsoma kwa Millard Ayo.

Nimekaa nae nimempa somo kuhusu watoto wa kike wa kizazi hiki hadi ameelewa somo. Nimempa na mifano kabisa. Mfano wa kwanza ni binti yangu mwenyewe (kazaliwa 2007) niligundua ana boyfriend wakati yupo form two. Bahati nzuri alikuwa mwanafunzi mwenzake. Na nilimsomesha shule za mamilioni.

Niliukubali ukweli nika move on. Sasa hivi hata akiniambia " baba nataka kwenda Kariakoo kununua urembo" Namwambia nenda lakini uwe umerudi kabla ya saa moja usiku. Na hapo ni saa 2 asubuhi. Najua haendi Kariakoo wala nini. Anaenda kupelekewa moto. Akirudi atafanya kazi za nyumbani siku hiyo kama House girl vile.. Huu ni uhalisia ambao hatuwezi kuukwepa.

Jamaa kakubali kumsamehe mtoto wake ila anamuhamisha anampeleka shule ya kata na leo mtoto anapelekwa hospitali kupimwa kama ana magonjwa makubwa ya kuambukizwa...


Narudia tena wazazi wenye vipato vya kati ambao mna watoto waliozaliwa miaka ya elfu2, msijitese kutumia mamilioni kuwasomesha watoto wenu ENGLISH mediums. Mtaishia kujuta hapo baadae. Mfumo huo wa maisha (kumsomesha mtoto shule ili aje awe mtu fulani sasa hivi sio valid tena)

Hiyo pesa bora wekeza kwenye assets. Msomeshe shule za kawaida. Msimamie. Mfundishe skills za maisha. Utakuja kunishukuru baadae.

Usijitese. Usiache kufurahia kwa sababu eti unatupa hela kwenye akaunti ya Mr. MGETTA in the name of Mgetta English Medium Nursery and Primary School.

Hujazaliwa ili uteseke. Usisahau kuishi. Kuna watu mpaka eti wanauza nyumba ili wawalipie watoto wao English Mediums. Duuh

Shule za English Mediums hazina umuhimu wowote kwenye maisha ya mtoto wako. Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo ili waweze kupata sababu ya kuchukua mamilioni kutoka kwako.

- Mtanzania acha kuji-stress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Medium. Kilichomtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe
Jamaa anapoint naye asikilizwe
 
Ukiwa hauna hela vitu vya msingi unaona anasa tu yaani unakaa kujadili watoto wapate Elimu mbovu badala ya kusisitiza wapate Elimu bora kwenye shule bora..
Mbona mleta mada akusema hivyo ..kasome tena hakusema kuwa elimu bora au shule bora siyo muhimu ...mfano wewe unayo fsmilia na chakula cha mchana mnatumia sh10000 ila mtoto wako mmoja ni mgonjwa na anatakiwa kupata dawa za sh 10000 na hauna pesa nyingine je utafuta mlo wa mchana kwa siku hiyo ili kumtibia mtoto wako kwa hiyo sh 10000 au utaacha kumtibia na kununua mlo wa mchana? Bila shaka utaacha familia wakose mlo mmoja wa mchana na kufanikisha matibabu ya mtoto mgonjwa hii ndiyo logic ya huu uzi ...pesa unayotumia kwenye shule za kulipia ukichukua robo tu inatosha kumfanya mtoto wako kusoma kifalme kwenye shule za serikali na kufanya vizuri kimasomo kutokana na hiyo pesa....kumnunulia vitu vyote vyema vya masomo kama vitabu.. gambuti za mvua... koti la mvua hata na baiskeli ya kuendea shule instead of school bus.
 
Mbona mleta mada akusema hivyo ..kasome tena hakusema kuwa elimu bora au shule bora siyo muhimu ...mfano wewe unayo fsmilia na chakula cha mchana mnatumia sh10000 ila mtoto wako mmoja ni mgonjwa na anatakiwa kupata dawa za sh 10000 na hauna pesa nyingine je utafuta mlo wa mchana kwa siku hiyo ili kumtibia mtoto wako kwa hiyo sh 10000 au utaacha kumtibia na kununua mlo wa mchana? Bila shaka utaacha familia wakose mlo mmoja wa mchana na kufanikisha matibabu ya mtoto mgonjwa hii ndiyo logic ya huu uzi ...pesa unayotumia kwenye shule za kulipia ukichukua robo tu inatosha kumfanya mtoto wako kusoma kifalme kwenye shule za serikali na kufanya vizuri kimasomo kutokana na hiyo pesa....kumnunulia vitu vyote vyema vya masomo kama vitavu gambuti za mvua koti la mvua hata na baiskeli ya kuendea shule instead of school bus.
Nakazia
 
mimi naona kumsomesha mtoto shule za mamilioni hakuna maana kabisa kwasabab kwanza zile shule zinadumaza thinking capacity ya wastoto wetu kwa sababu zile shule wanatafuniwa kila kitu jamani mtoto anafika chuokikuu anajua kingereza tu lakini hana akili kabisa darasani uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana jamani
 
Mnapoteza pesa zenu tu bure kuwasomesha hawa watoto ambao mnawaita zoomers Generation (Gen Z)

Nimewachunguza hawa watu. Nimeenda hadi chuo kimoja cha kati kusoma kozi ya miezi mitatu ili niwasome hawa viumbe.

They have cut from a very different cloth.

Don't waste your money please.

Wapeleke Kayumba wasimamie vizuri hadi wafikie viwango vya mwisho vya elimu yao ila wafundishe kuhusu skills za maisha...

Kuna brother mmoja mtaani kwetu leo kataka kumuua mtoto wake wa kike(kamsomesha English Medium kuanzia la kwanza hadi la saba) Sekondary anasoma shule ya private hapa mjini ambayo jamaa analipa mamilioni.

Mtoto yupo form two. She was born in 2010..

Jamaa alimnunulia mtoto wake simu (smart phone)kwa ajili ya kuitumia kujisomea, kufuatia ombi la mtoto mwenyewe.

Usiku mtoto aliacha simu kwenye Chaja sebuleni, jamaa alichelewa kurudi nyumbani usiku siku hiyo alirudi saa 7, akakuta simu sebuleni akasema ngoja nitazame nione kama mtoto wangu kuna " vimtu " vinamsumbua.

Alichokutana nacho hakuamini. Meseji anazo chati mtoto na wanaume. Wanafunzi wenzake kwa watu wazima. Mzee kupitia chati ambazo mtoto anachati na wenzake akagundua kumbe mtoto wake kabikiriwa tangu yupo darasa la sita. Na ana ex boyfriend kama watatu hivi na kuna watu wengine ana wafahamu kabisa (vijana wa mtaani wanamuita shemeji)

Mtoto anachati na wanaume zaidi ya kumi kati ya hao zaidi watatu wameshamla kwa nyakati tofauti.. na siku hiyo alikuwa katoka kudinywa na jamaa . Mtoto anamsifia jamaa " mboo yake tamu" na jamaa sio mtoto mwenzake ni bodaboda.

Kuna meseji nyingine za WhatsApp mtoto anachati na jamaa mtoto anamwambia jamaa amtumie picha ya dushe. Jamaa anatuma picha ya dushe mtoto anamwambia hiyo ni ndogo kwake. Jamaa anasema yani nilipoona hiyo meseji nilichanganyikiwa kaka kwa sababu huyo jamaa anae ambiwa dushe yake ndogo Mimi kaizidi yangu mara mbili kwa hiyo mtoto anabeba mizigo mikubwa kuzidi mama yake.

Isingekuwa kwa juhudi zangu jamaa leo mngemsoma kwa Millard Ayo.

Nimekaa nae nimempa somo kuhusu watoto wa kike wa kizazi hiki hadi ameelewa somo. Nimempa na mifano kabisa. Mfano wa kwanza ni binti yangu mwenyewe (kazaliwa 2007) niligundua ana boyfriend wakati yupo form two. Bahati nzuri alikuwa mwanafunzi mwenzake. Na nilimsomesha shule za mamilioni.

Niliukubali ukweli nika move on. Sasa hivi hata akiniambia " baba nataka kwenda Kariakoo kununua urembo" Namwambia nenda lakini uwe umerudi kabla ya saa moja usiku. Na hapo ni saa 2 asubuhi. Najua haendi Kariakoo wala nini. Anaenda kupelekewa moto. Akirudi atafanya kazi za nyumbani siku hiyo kama House girl vile.. Huu ni uhalisia ambao hatuwezi kuukwepa.

Jamaa kakubali kumsamehe mtoto wake ila anamuhamisha anampeleka shule ya kata na leo mtoto anapelekwa hospitali kupimwa kama ana magonjwa makubwa ya kuambukizwa...


Narudia tena wazazi wenye vipato vya kati ambao mna watoto waliozaliwa miaka ya elfu2, msijitese kutumia mamilioni kuwasomesha watoto wenu ENGLISH mediums. Mtaishia kujuta hapo baadae. Mfumo huo wa maisha (kumsomesha mtoto shule ili aje awe mtu fulani sasa hivi sio valid tena)

Hiyo pesa bora wekeza kwenye assets. Msomeshe shule za kawaida. Msimamie. Mfundishe skills za maisha. Utakuja kunishukuru baadae.

Usijitese. Usiache kufurahia kwa sababu eti unatupa hela kwenye akaunti ya Mr. MGETTA in the name of Mgetta English Medium Nursery and Primary School.

Hujazaliwa ili uteseke. Usisahau kuishi. Kuna watu mpaka eti wanauza nyumba ili wawalipie watoto wao English Mediums. Duuh

Shule za English Mediums hazina umuhimu wowote kwenye maisha ya mtoto wako. Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo ili waweze kupata sababu ya kuchukua mamilioni kutoka kwako.

- Mtanzania acha kuji-stress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Medium. Kilichomtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe
Uko sahihi sehemu kubwa. Ila tusikwepe kuwafundisha watoto wetu elimu ya ngono. Akienda kufundishwa shule pamoja na walimwengu elimu inakuwa kwa vitendo tofauti na mzazi. Watoto wanafundishwa reproduction/elimu ya mfumo wa uzazi wakiwa darasa la nne. Yale ambayo wazazi tunahisi hawajui bado wadogo wanayajua kabla hata hawajafikisha miaka kumi. Mkipita baba na mama wanawachora tu wanajua kuwa mnafanyana.

TV na vipindi vyake vinavuruga sana mambo. Elimu inayotolewa humo ni advanced mno. Utakwepa kumpeleka Medium schools lakini atajufunza sebuleni kwako na atapractice na mtoto wa jirani. Ukimpeleka shule za kata yupo mwalimu shababi atamharibu.

Timiza wajibu wako kama uwezo unaruhusu mpeleke shule nzuri kisha weka huo usimamizi unaosema. Wajibika kama mzazi na mengine mkabidhi mikononi mwa Mungu. Maharamia wanaoharibu watoto wako kila sehemu. Kuanzia kwenye nyumba zetu, mtaani, shule na hata makanisani. So kusema kupeleka Medium schools itakuwa ni kupoteza pesa hapana ndugu mzazi. Peleka akasome huko kama una uwezo. Communication skills kwa dunia ya sasa ni muhimu sana kuliko hata ajira yenyewe.

Form two kumpa simu mtoto wa miaka 14 ni kumuendekeza na kumletea matatizo ambayo mzazi atajilaumu mwenyewe. Unapompa simu unarahisha kutongozwa na kupatikana na haishangazi akiwa na wanaume kumi. Kutompa simu kungepunguza idadi ya wanaume na upatikanaji wake. Simu iliyopo nyumbani inatosha kuwasiliana naye. Huyo bwana anavuna alichopanda. Hakuna uhuru usio na mipaka. My daughter vipindi vya kwenye king'amuzi cha kisauzi vilitosha kumfundisha ushenzi while she is just 10 yrs of age. Nimeblock Channel zote kwa hasira.

Baada ya hapo nikataka kupima uelewa wao wa mambo ya ngono kwa kuwapa Quiz kwa kuwa nina kwaida ya kuwafundisha. Maswali kama How can you avoid HIV transmission jibu mojawapo lilikuwa avoid sexual intercoarse na huyo ana miaka 8 nikajua nimekwisha.

Tuwafundishe watoto maswala ya ngono na athari zake kulingana na umri wao. Vinginevyo tutaanza kuwafundisha kwa kuchelewa tukitumia viboko wakati tayari ameshaonja utamu umemkaa kwenye ubongo. Huyo hawezi kukuelewa atakuona mzazi mmoja katili sana na anakuwa tayari kutoroka nyumbani asikuone tena.
 
pesa unayotumia kwenye shule za kulipia ukichukua robo tu inatosha kumfanya mtoto wako kusoma kifalme kwenye shule za serikali na kufanya vizuri kimasomo kutokana na hiyo pesa....kumnunulia vitu vyote vyema vya masomo kama vitabu.. gambuti za mvua... koti la mvua hata na baiskeli ya kuendea shule instead of school bus.
Achana na matajiri wewe tajiri hawezi waza kimaskini hivyo eti umnunulie mtoto baiskeli ya kwenda shule na kurudi Una mawazo ya kimaskini mno

Ona hawa matajiri WA Kenya shule zimefunga midterm wameenda kufuata watoto wao na helicopter binafsi hawa utawashauri huo ujinga wako WA eti watumie hata robo Tu ya pesa wanazolipa wawanulie watoto madaftari na baiskeli

Aisee kakeshe kanisani ukiomba Mungu akuondolee umaskini na mawazo ya kimaskini


View: https://youtu.be/KDJ0Ir28J8Q?si=UwOB6Is7xUbed28u
 
T
Achana na matajiri wewe tajiri hawezi waza kimaskini hivyo eti umnunulie mtoto baiskeli ya kwenda shule na kurudi Una mawazo ya kimaskini mno

Ona hawa matajiri WA Kenya shule zimefunga midterm wameenda kufuata watoto wao na helicopter binafsi hawa utawashauri huo ujinga wako WA eti watumie hata robo Tu ya pesa wanazolipa wawanulie watoto madaftari na baiskeli

Aisee kakeshe kanisani ukiomba Mungu akuondolee umaskini na mawazo ya kimaskini


View: https://youtu.be/KDJ0Ir28J8Q?si=UwOB6Is7xUbed28u

Tumia akili wewe fala mleta uzi amesema wazi kuwa familia za uwezo wa chini ndiyo ziwe makini kusomesha watoto kwenye shule za gharama kubwa ...foolish
 
Mnapoteza pesa zenu tu bure kuwasomesha hawa watoto ambao mnawaita zoomers Generation (Gen Z)

Nimewachunguza hawa watu. Nimeenda hadi chuo kimoja cha kati kusoma kozi ya miezi mitatu ili niwasome hawa viumbe.

They have cut from a very different cloth.

Don't waste your money please.

Wapeleke Kayumba wasimamie vizuri hadi wafikie viwango vya mwisho vya elimu yao ila wafundishe kuhusu skills za maisha...

Kuna brother mmoja mtaani kwetu leo kataka kumuua mtoto wake wa kike(kamsomesha English Medium kuanzia la kwanza hadi la saba) Sekondary anasoma shule ya private hapa mjini ambayo jamaa analipa mamilioni.

Mtoto yupo form two. She was born in 2010..

Jamaa alimnunulia mtoto wake simu (smart phone)kwa ajili ya kuitumia kujisomea, kufuatia ombi la mtoto mwenyewe.

Usiku mtoto aliacha simu kwenye Chaja sebuleni, jamaa alichelewa kurudi nyumbani usiku siku hiyo alirudi saa 7, akakuta simu sebuleni akasema ngoja nitazame nione kama mtoto wangu kuna " vimtu " vinamsumbua.

Alichokutana nacho hakuamini. Meseji anazo chati mtoto na wanaume. Wanafunzi wenzake kwa watu wazima. Mzee kupitia chati ambazo mtoto anachati na wenzake akagundua kumbe mtoto wake kabikiriwa tangu yupo darasa la sita. Na ana ex boyfriend kama watatu hivi na kuna watu wengine ana wafahamu kabisa (vijana wa mtaani wanamuita shemeji)

Mtoto anachati na wanaume zaidi ya kumi kati ya hao zaidi watatu wameshamla kwa nyakati tofauti.. na siku hiyo alikuwa katoka kudinywa na jamaa . Mtoto anamsifia jamaa " mboo yake tamu" na jamaa sio mtoto mwenzake ni bodaboda.

Kuna meseji nyingine za WhatsApp mtoto anachati na jamaa mtoto anamwambia jamaa amtumie picha ya dushe. Jamaa anatuma picha ya dushe mtoto anamwambia hiyo ni ndogo kwake. Jamaa anasema yani nilipoona hiyo meseji nilichanganyikiwa kaka kwa sababu huyo jamaa anae ambiwa dushe yake ndogo Mimi kaizidi yangu mara mbili kwa hiyo mtoto anabeba mizigo mikubwa kuzidi mama yake.

Isingekuwa kwa juhudi zangu jamaa leo mngemsoma kwa Millard Ayo.

Nimekaa nae nimempa somo kuhusu watoto wa kike wa kizazi hiki hadi ameelewa somo. Nimempa na mifano kabisa. Mfano wa kwanza ni binti yangu mwenyewe (kazaliwa 2007) niligundua ana boyfriend wakati yupo form two. Bahati nzuri alikuwa mwanafunzi mwenzake. Na nilimsomesha shule za mamilioni.

Niliukubali ukweli nika move on. Sasa hivi hata akiniambia " baba nataka kwenda Kariakoo kununua urembo" Namwambia nenda lakini uwe umerudi kabla ya saa moja usiku. Na hapo ni saa 2 asubuhi. Najua haendi Kariakoo wala nini. Anaenda kupelekewa moto. Akirudi atafanya kazi za nyumbani siku hiyo kama House girl vile.. Huu ni uhalisia ambao hatuwezi kuukwepa.

Jamaa kakubali kumsamehe mtoto wake ila anamuhamisha anampeleka shule ya kata na leo mtoto anapelekwa hospitali kupimwa kama ana magonjwa makubwa ya kuambukizwa...


Narudia tena wazazi wenye vipato vya kati ambao mna watoto waliozaliwa miaka ya elfu2, msijitese kutumia mamilioni kuwasomesha watoto wenu ENGLISH mediums. Mtaishia kujuta hapo baadae. Mfumo huo wa maisha (kumsomesha mtoto shule ili aje awe mtu fulani sasa hivi sio valid tena)

Hiyo pesa bora wekeza kwenye assets. Msomeshe shule za kawaida. Msimamie. Mfundishe skills za maisha. Utakuja kunishukuru baadae.

Usijitese. Usiache kufurahia kwa sababu eti unatupa hela kwenye akaunti ya Mr. MGETTA in the name of Mgetta English Medium Nursery and Primary School.

Hujazaliwa ili uteseke. Usisahau kuishi. Kuna watu mpaka eti wanauza nyumba ili wawalipie watoto wao English Mediums. Duuh

Shule za English Mediums hazina umuhimu wowote kwenye maisha ya mtoto wako. Umuhimu umetengenezwa na Wamiliki wa shule hizo ili waweze kupata sababu ya kuchukua mamilioni kutoka kwako.

- Mtanzania acha kuji-stress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Medium. Kilichomtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe
[emoji7][emoji7]
 
Back
Top Bottom