Nawasilimu kwa jina la Yoav Gallant. Ayatollah sijui yupo shimo gani sasa hivi

Nitakukumbusha
 
Nakumbukia ile speech ya PM Netanyah pale UN, siku ile ile alipohutubia, Na siku hiyo hiyo Nasra, akauwawa

Isije kuwa speech hii ikawa ndiyo yaleyalee..!

Kesho mnaamka mnapata habari za kiongozi mkubwa wa Iran yuko kwa allah akila zake bikira
Itakua vizuri, maana hiyo nchi yenye miji miwili itachakaa kwa makombora
 
Huyu ndo mnyazi..nungu
 
Kwanini asishushe vyuma kama mwanaume Iran alivyofanya hadharani?
Mambo ya kuviziana ni uoga inatakiwa atangaze hadharani lini atashusha vyuma kutoka Israel hadi Iran?
If you don't like the way Israel responds, don't attack it.

Hamas walichofanya October 7 walitangaza au walivizia na kuua watu majumbani mwao?

Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu.....
 



One down, one to go!
 
Vita bila propaganda hainogi-Nikita Khrushkev wa enemy at the gate.
 
Uzuri wanawatu wao ndani ya mifumo Iran, ndio maana walimuua rais wao kwa ajali fake na kiongozi wa juu wa Hamas ndani ya Iran, bila kusahau Generali bingwa wa nyukilia Quaseem
 
Maneno ya kwenye khanga
 
Tunataka Lebanoni iwe mikononi mwetu Kisha ili Iran asiwwze kutumia mahandaki ya LEBANONI kujificha na kufanya uhalifu Israel
 
Nimekupata vema mwl kashasha. Tuwasikilize kina cha-cha maginga
 
We endelea kutulia ila ujue MSIBA mkubwa upo karibu sana
 
Kitakachofuata!
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Kuna uhusiano wowote kati ya kuwa muislam na kukosa akili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…