Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
We ndo msemaji waoKila adui wa Israel ana kipimo chake alichowekewa na Israel!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo msemaji waoKila adui wa Israel ana kipimo chake alichowekewa na Israel!
NitakukumbushaHawa wanataka wajikaze wapige Iran lakini wanajua kitakacho wapata itakuwa history. Je watasubutu leo au kesho kushambulia Iran ukiona hizi siku mbili wanaogopa kugusa Iran ujuwe ndio basi hawalipizi tena.
Mimi nimesikia fununu wameona wasipo lipa itakuwa aibu kwao. na wanajitahidi walipe lakini wanajua kipigo cha Iran kitakuwa sio cha kawaida safari hi
Haya sisi tunasubiri tuone ubabe wao.
Itakua vizuri, maana hiyo nchi yenye miji miwili itachakaa kwa makomboraNakumbukia ile speech ya PM Netanyah pale UN, siku ile ile alipohutubia, Na siku hiyo hiyo Nasra, akauwawa
Isije kuwa speech hii ikawa ndiyo yaleyalee..!
Kesho mnaamka mnapata habari za kiongozi mkubwa wa Iran yuko kwa allah akila zake bikira
Huyu ndo mnyazi..nunguSasa hivi siyo Allah na Mudi waoga kama nini. Wamewaingiza mkenge wamekula kona na kuzama chaka.
Sasa hivi ni mkombozi waislam na uislamu siyo mwengine bali ni kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Azidi kufanyiwa wepes na aendelee kupewa qauli thabeet.
Mcheki hapo chini kipenzi chetu cha dhati mkombozi wa waislam na uislamu Imaam Hussein Ibn Ali the grandson of the prophet, the son of Ali prophet's cousin, the son of Fatma the daughter of the prophet, the brother to Hassan and father of Imaam Ali A.S peace be upon him maamaee!
View attachment 3120249
Nyonzo bin mvule
Nyau de adriz
Hizo fununu unazipata ukiwa msikiti gani?Mimi nimesikia fununu
If you don't like the way Israel responds, don't attack it.Kwanini asishushe vyuma kama mwanaume Iran alivyofanya hadharani?
Mambo ya kuviziana ni uoga inatakiwa atangaze hadharani lini atashusha vyuma kutoka Israel hadi Iran?
View attachment 3120223
Israeli retaliation against Iran will be ‘lethal, precise and surprising’: Minister
Reuters
Published: 09 October ,2024: 09:40 PM GSTUpdated: 09 October ,2024: 09:43 PM GS
Israeli Defense Minister Yoav Gallant appeared on Wednesday to say that retaliation against Iran for its missile attack will be “lethal, precise and surprising,” in a video published on Israeli media on Wednesday.
After describing Iran’s Oct. 1 missile attack as a failure, Gallant said: “Whoever attacks us will be hurt and will pay a price. Our attack will be deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,” he said.
Uzuri wanawatu wao ndani ya mifumo Iran, ndio maana walimuua rais wao kwa ajali fake na kiongozi wa juu wa Hamas ndani ya Iran, bila kusahau Generali bingwa wa nyukilia QuaseemHawa wanataka wajikaze wapige Iran lakini wanajua kitakacho wapata itakuwa history. Je watasubutu leo au kesho kushambulia Iran ukiona hizi siku mbili wanaogopa kugusa Iran ujuwe ndio basi hawalipizi tena.
Mimi nimesikia fununu wameona wasipo lipa itakuwa aibu kwao. na wanajitahidi walipe lakini wanajua kipigo cha Iran kitakuwa sio cha kawaida safari hi
Haya sisi tunasubiri tuone ubabe wao.
Maneno ya kwenye khangaView attachment 3120223
Israeli retaliation against Iran will be ‘lethal, precise and surprising’: Minister
Reuters
Published: 09 October ,2024: 09:40 PM GSTUpdated: 09 October ,2024: 09:43 PM GS
Israeli Defense Minister Yoav Gallant appeared on Wednesday to say that retaliation against Iran for its missile attack will be “lethal, precise and surprising,” in a video published on Israeli media on Wednesday.
After describing Iran’s Oct. 1 missile attack as a failure, Gallant said: “Whoever attacks us will be hurt and will pay a price. Our attack will be deadly, precise and above all surprising, they will not understand what happened and how it happened, they will see the results,” he said.
Hapa sio FB
Tunataka Lebanoni iwe mikononi mwetu Kisha ili Iran asiwwze kutumia mahandaki ya LEBANONI kujificha na kufanya uhalifu IsraelHawa wanataka wajikaze wapige Iran lakini wanajua kitakacho wapata itakuwa history. Je watasubutu leo au kesho kushambulia Iran ukiona hizi siku mbili wanaogopa kugusa Iran ujuwe ndio basi hawalipizi tena.
Mimi nimesikia fununu wameona wasipo lipa itakuwa aibu kwao. na wanajitahidi walipe lakini wanajua kipigo cha Iran kitakuwa sio cha kawaida safari hi
Haya sisi tunasubiri tuone ubabe wao.
Nimekupata vema mwl kashasha. Tuwasikilize kina cha-cha magingaHawa wanataka wajikaze wapige Iran lakini wanajua kitakacho wapata itakuwa history. Je watasubutu leo au kesho kushambulia Iran ukiona hizi siku mbili wanaogopa kugusa Iran ujuwe ndio basi hawalipizi tena.
Mimi nimesikia fununu wameona wasipo lipa itakuwa aibu kwao. na wanajitahidi walipe lakini wanajua kipigo cha Iran kitakuwa sio cha kawaida safari hi
Haya sisi tunasubiri tuone ubabe wao.
We endelea kutulia ila ujue MSIBA mkubwa upo karibu sana😂😂 Wanataka kufanya ugaidi ndani ya Iran?
Kwanini asishushe vyuma kama mwanaume Iran alivyofanya hadharani?
Mambo ya kuviziana ni uoga inatakiwa atangaze hadharani lini atashusha vyuma kutoka Israel hadi Iran?
Mikwara mbuzi haisaidii zama hizi kinachotakiwa ni vitendo kama anavyofanya mbabe Iran.
Mtu kama iran siyo kwa kwenda kichwa kichwa awamu hii.. Israel amepania kupiga kitu kizito iran kiasa kwamba itamchukua miaka 50 kuja kujipanga kulipiza kisasi.. Israel lazma aende na hesabu zinazo elewekaHuyu Gallant keshaanza kunipa wasiwasi maana kuongea kwingi sio kawaida ya watoa roho kabisa.
Precisely ni kuifuta Iran kwenye uso wa dunia. Is it possible?Hapa Kuna Hofu Kuu..Tehran...
Si wananchi..si Viongozi na si wanajeshi
Naogopa hilo neno precisely!
Kitakachofuata!Ukiona hivyo, ujue mitego ya muisrael ya kulipa kisasi Iran ilishategwa miaka mingi sana, walikua wanasuburi Iran ajichanganye. Tusubiri, ni sual la uamuzi tu ila kitakachowakuta naamin hakuna kombora litarushwa kutoka Israel, moto utawawakia ndani kwa ndani
Kuna uhusiano wowote kati ya kuwa muislam na kukosa akili?Mikwara mbuzi kumtishia ngedere,, mbona gaza ndani ya masaa 24 tu walijibu,, iweje kule iran mpaka leo wanambwela,, sungusungu tu wanamtoa kamasi kule gaza na Lebanon iwe jeshi kamili la iran,, kipindi cha nyuma Kuna watu walikuwa wanasema iran akithubu kurusha jiwe tu Israel basi ndo itakuwa mwisho wake, sasa mwanaume karusha makombora Dunia nzima imeona na hakuna ngedere yoyote alieleta fyoko.
Israel bila marekani ni sawa tu na uso wa babu genge la ukabaji kule kimara bonyokwa.
Inategemea na kukosa akili kunatafsirika vipi.....ila ukifata principle za uislamu kwa inavyotakiwa huwezi kuwa mkosefu wa akiliKuna uhusiano wowote kati ya kuwa muislam na kukosa akili?
Kuna kitu kinaitwa "Google image search" unaweza kutumiaHapa sio FB