Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 249
- 299
Nimemkumbuka "Nganga" alifariki kabla ya paper form 4-'97Ngoja waje watoto wa down town kitambo.
Wale wazee wa Tambaza aka shemeji zake na Mzee wetu Mwinyi..
Watoto wa Aza Boy..
RIP Puza boy..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemkumbuka "Nganga" alifariki kabla ya paper form 4-'97Ngoja waje watoto wa down town kitambo.
Wale wazee wa Tambaza aka shemeji zake na Mzee wetu Mwinyi..
Watoto wa Aza Boy..
RIP Puza boy..
Mkuu huyu lucy lymo hembu dadavua kidogo, asijekua yule school mate wangu na rafiki sana enzi zile tuliyepotezana stend aliponisindikiza, siku nahamishwa shule kwa lazima ndio ikaishia pale...Atakaye nionea Lucy Lymo aseme[emoji16].
Inbox ipo wazi. Nimepoteana naye buseko Hill sec 2009
Huu ujasiri wa kuandika majina ya watu hapa mnautoa wapi wakati yenu mmehide.!?Mkuu huyu lucy lymo hembu dadavua kidogo, asijekua yule school mate wangu na rafiki sana enzi zile tuliyepotezana stend, ndio ikaishia pale...
Maji ya kunde mrefu....Hizo sifa nyingne nakuachia ww kama unamjua..
Tusije kua tunamtafua mtu mmoja humuu...
Yule mtoto wa kichaga yuleee....
O-level alisoma wapi?
Kuna hawa wawili walisoma kifungiro girls
linda poul(huyu alikua head girl that days) na lilian elykana, mwenye taarifa zao
Ndembela alisoma my sis😅😅!lutengano walikua wana vurugu jaman..wakijua mnasoma shule ya madon mtakoma🤣🤣!Mbeya tumesoma kwa hofu mno jaman!
Kuna mwimbo Sugu alimuimba.Bilashaka huyu dent tena kiongozi wa wanafunzi atakuwa Maiko Sikupya Iyunga sec. Daaaa! Alikufa mikononi mwa polisi.
Masomhe Elias Lufungulo au EmmanuelMasomhe bila shaka namfahamu
Hakumaliza pale..alihama 1992 akiwa form 2Nimepita ndembela pale,Your sis alimaliza mwaka gani?
Bilashaka huyu dent tena kiongozi wa wanafunzi atakuwa Maiko Sikupya Iyunga sec. Daaaa! Alikufa mikononi mwa polisi.
Muna abdillah nilisoma nae madrasa ksl binti Wa kisomali sijui sasa yuko wapi namkumbuka sana alikuwa ananiletea sambusa na kastam pale Madrasa kwa ustadh RAMA kasulu kigoma alikuwa rafiki yangu sana miaka ya 2000,alipenda kukaa karibu yangu tukipiga stori sana tukiwa madrasani.
Unawatafuta wake za watu ili iweje
Sijui atakuwa KIBIBI kwa sasa nawaza,kweli safari ya ndoa wanaianzaga mapema sana natamani niwaone watoto wetu.Hao wanaolewaga mapema sana atakua amejukuu
huyu ni marehemu tayar
Unaposema sangu nakumbuka mbali kidg aise
Me ni product ya bukuku..... anapenda kesema wapendwa muwe mnawai shule au mpendwa usiluke ukuta ..
Nilikuwa nachele shule kalibu siku zote na mkuta getini ananichapa viboko 2 naingia darasani
Nimechapwa na bukuku hadi nipo form 6 ila maisha haya yanabadilika
Kabisa, hiyo huwatokea wengi!Hii ni kweli.
Kiukweli baada ya miaka mingi kupita mnakuwa tofauti sana. Maisha ya kila mmoja unakuta yamebadilika sana.
Wkt mwngine mnakutana hamna tena kinachowaunganisha.
Mkuu kahamia hapa buza maeneo ya batoto night club usijar ntakulipia mmMimi kuna harmed jana kanikimbia maenei ya check point pugu kigogo. Sijui anaitwa enjo. Namtafuta kweli labda ahame hii Dar.