KAJOKELAA
Senior Member
- Oct 17, 2019
- 123
- 107
Masomhe bila shaka namfahamu
Msololo is
Fita Lutonja
Masomhe Elias
Benard Mpakasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msololo is
Fita Lutonja
Masomhe Elias
Benard Mpakasi
Vitoto vya siku izi kazi yao ni kugegedana tu.Enzi zile ukifukuzw shule yaan hahha..sijui siku hiz vitoto vikoje hakuna ht amsha amsha!
Alikuwa dent wa lyunga secHahahah!kuna dent alipigwa na polisi had kudead..nadhan alikua wa Sangu ikatoka had magazetin..nyie mlikua hamfai kbs aisee!
Kweli nimekumbukaAlikuwa dent wa lyunga sec
Pia anaweza kuwapata ila wakawa hawanampango naye tena...yaani wako busy na maisha yao kiasi kwamba huo urafiki wao wa zamani si mali kitu tena!dah kila la kheri bana.
tatizo wakati mwingine maisha hayako fare kabisa,unawezakuta hali walizonazo kwa sasa hata uwezo wa kumiliki simu ya torch ni mtihani.maana kama ingekuwa tofauti ungewakuta angarau facebook.
Aitafute midume ya nini?Du wote wanawake [emoji1]
kwa Rahul Kaduguda pm Mwina Kaduguda kiongozi wa SimbaNami nawatafuta hawa wafuatao...
Dina Saada Ngoshani
Aichi Kilewo
Wendi Lugenge
Chausiku Kadunda
Raheli Kaduguda
Sisi ndio tulikuwa tunavuta bangi kabuli la bobuSangu lilikuwa chama la wajanja. Masister du na brothermen wa mjini. Pia wahuni hawakukosena.
Hawa baadhi...Wahuni ndo walizidi mno
Mi namtafuta Jacqueline Richard , back in 1990s ilikuwa nikimuota na nikiwahadithia jamaa zangu, halafu asikie ilikuwa tabu sana. Last time meeting her was early 2000s alikuwa journalist by then, nilikuwa namwelewa sana na kitabu chetu cha Hisabati za Kikwetu. Nakumbuka siku moja tukiwa "last year" aliniazima daftari la Sayansi Kilimo kesho yake akaja kalijaradia na kaandika majina yangu mimi Pangu Pakavu , hata sasa ninalo hilo daftari.
Hii ni kweli.Pia anaweza kuwapata ila wakawa hawanampango naye tena...yaani wako busy na maisha yao kiasi kwamba huo urafiki wao wa zamani si mali kitu tena!
Anyway tunamtakia kila la heri katika kuwasaka hao rafiki zake wa zamani.
Ebana tuombe radhi hatukuwahi choma shule yetu vurugu zote zilizokuwa zinafanyika zilikuwa nje ya TambazaTambaza boy waliiharibu Minaki sana kwani baada ya kuchoma moto shule yao qengi walipelekwa pale, wale watoto walikuwa hawafai kabisa
Bulima ya Nassa Magu?Jamani mwalimu igalogalo wa BULIMA SEC.SCHOOL ,enzi hizo second master