Mkuu tunapita nje na "hedikopta".Hebu toa mkono njee kama unacheza Yope ya InnosB tukuone uokolewe!ππππHizi salamu nazituma nikiwa chumba cha jirani. Changu kimekua swimming pool
Jamaa jembe kinoma nazani saivi atakuwa mswati,[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]Salam zimfikie yule jamaa ambae alikua akinyolewa na mkasi anaokota zile nywele anazibandika sehem nyeti ili aonekane mkubwa ang'oe warembo wa madarasa ya juu.
Kijijini kwetu tuliambiwa na mwenyekiti tuite "hedikopta"!Tukileta ubishi atatupeleka kwa mtendaji wa kijiji ili tupate cha mtemakuni kwa kutotii mamlakaπππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] helikopta sio hedikopta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kijijini kwetu tuliambiwa na mwenyekiti tuite "hedikopta"!Tukileta ubishi atatupeleka kwa mtendaji wa kijiji ili tupate cha mtemakuni kwa kutotii mamlaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]