Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,633
Naam kumekucha ni siku mpya tena [emoji23][emoji23]
>wasichana waliokuwa wakifagia ofisi za waalimu
>Wale wote waliokuwa maskauti
>Wale wavulana waliokuwa hawataki kukaa na wasichana dawati moja
>Waliokuwa viongozi wa TYCS, UKWATA, HUIMA n.k
>Waliokuwa wanapika kwenye nyumba za walimu
>Waliokuwa wagonga kengele (Time keeper)
>Waliokuwa wanawahi namba shule kila siku
>Waliokuwa wanaweka mashati yao blue
>Walionyoosha mashati mzingo mstastili kwa nyuma[emoji1787][emoji1787]
>Waliokuwa wapandisha Bendera
>Waliokuwa wapiga bendi za shule
>Waliokuwa kaka mkuu na Dada mkuu[emoji12]
>Waliokuwa wanashika namba moja kila mtihani[emoji14]
>Waliokuwa Monitor na monitress
>Wale wasichana Waliokuwa maarufu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na walimu
>Waliokuwa na kiherehere, wa kwanza kwenda kusema ofisini wanafunzi wenzao[emoji35]
>Bila kumsahau yule dada nlikaa nyuma yake kwenye mstari akafunga breki ghafla akasema nimembashia[emoji1][emoji1], nikala fimbo kama za RC Mbeya
> Wale walipinga Bong'oa mnasubiriana wakati wa kukaa hasa shule hazina madawati [emoji851][emoji851]
>Wale walipinga "mputo" [emoji1787][emoji1787] ole wako usahau ukashika kitu.
>Wale ma back benchers, wazee wa kupiga kelele
>Wale tulicheza "Mpuno" [emoji384][emoji383] wakanipiga hela ya shule
>Wale tulipinga "hakiombeki"
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nawasalimu sana!!
Tuma salamu zako kwa wale ulisoma nao Primary
>wasichana waliokuwa wakifagia ofisi za waalimu
>Wale wote waliokuwa maskauti
>Wale wavulana waliokuwa hawataki kukaa na wasichana dawati moja
>Waliokuwa viongozi wa TYCS, UKWATA, HUIMA n.k
>Waliokuwa wanapika kwenye nyumba za walimu
>Waliokuwa wagonga kengele (Time keeper)
>Waliokuwa wanawahi namba shule kila siku
>Waliokuwa wanaweka mashati yao blue
>Walionyoosha mashati mzingo mstastili kwa nyuma[emoji1787][emoji1787]
>Waliokuwa wapandisha Bendera
>Waliokuwa wapiga bendi za shule
>Waliokuwa kaka mkuu na Dada mkuu[emoji12]
>Waliokuwa wanashika namba moja kila mtihani[emoji14]
>Waliokuwa Monitor na monitress
>Wale wasichana Waliokuwa maarufu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na walimu
>Waliokuwa na kiherehere, wa kwanza kwenda kusema ofisini wanafunzi wenzao[emoji35]
>Bila kumsahau yule dada nlikaa nyuma yake kwenye mstari akafunga breki ghafla akasema nimembashia[emoji1][emoji1], nikala fimbo kama za RC Mbeya
> Wale walipinga Bong'oa mnasubiriana wakati wa kukaa hasa shule hazina madawati [emoji851][emoji851]
>Wale walipinga "mputo" [emoji1787][emoji1787] ole wako usahau ukashika kitu.
>Wale ma back benchers, wazee wa kupiga kelele
>Wale tulicheza "Mpuno" [emoji384][emoji383] wakanipiga hela ya shule
>Wale tulipinga "hakiombeki"
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nawasalimu sana!!
Tuma salamu zako kwa wale ulisoma nao Primary