Leonard Waziri
Member
- Aug 15, 2013
- 55
- 23
Miongoni mwa mechi muhimu kwa kundi A kwa mtani wetu ni hii ya leo dhidi ya Al-merekh.
Maana baada ya mechi hii ambayo kiuhalisia ndio ya kuvunia point na kutangaza rasmi kufuzu Hatua ya robo fainali.
Ni muhimu kufanya vizuri kwenye mechi hii kwa maana baada ya mechi hii zinazofuata ni mechi ngumu na zitakazokuwa na mvutano mkubwa wa kugawana point.
Mbaya zaidi fitina zimeanza kwa kuwazuia mashabiki wa mtani kuingia ndani ya Mkapa stadium.
Tukutane SAA 10:00 kwa Mkapa
WENYE AZAM ZETU
Maana baada ya mechi hii ambayo kiuhalisia ndio ya kuvunia point na kutangaza rasmi kufuzu Hatua ya robo fainali.
Ni muhimu kufanya vizuri kwenye mechi hii kwa maana baada ya mechi hii zinazofuata ni mechi ngumu na zitakazokuwa na mvutano mkubwa wa kugawana point.
Mbaya zaidi fitina zimeanza kwa kuwazuia mashabiki wa mtani kuingia ndani ya Mkapa stadium.
Tukutane SAA 10:00 kwa Mkapa
WENYE AZAM ZETU