wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,432
- Thread starter
-
- #41
Sabato ni kwajili ya watu wote wanaoamini Mwnyezi Mungu aliumba dunia kwa siku sita, ya saba alipumzika na yeye akaturuhusu nasi tupumzike siku ya saba.Sawa. Sasa mwinjilisti Musa alipotoka kule mlimani na zile Amri 10 mbona hakuwapa makabila mengine yaliyokuwepo mengi tu kuwaambia washike sabato. Aliwaambia Waisrael tu.
Sabato ni kwa wayahudi tu
Kama na wewe unataks kushika sabato basi ka nayo wewe, kuwahubiria wenzako unapoteza Muda.
Ndio maana Mtume Paulo alikuwa anahubiri injili na Timoteo ambae ana govi hajatahiriwa kama maagizo ya package ya maagano ikiwemo Amri 10.
Alimtahiri kuwafurahisha tu wayahudi.
Kidogp kidogo utaelewa mkuu.
Kwa enzi hizo Waumini walikuwa waisrael, sehemu nyingi ikiwemo Afrika tulikuwa tuna imani tofauti kabisa.
Hata ukristo umeingia Tanzania baada ya miaka 1900