EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Wakenya watapiga kura katika uchaguzi mkuu hapo 4 Machi,2013 kwa mara ya kwanza tangu kupitishwa kwa katiba mpya mwaka 2010.
Uchaguzi utajumuisha wagombea 1,882 kwa nafasi za kuchaguliwa, ambazo kama sijakosea ni nafasi moja ya urais, wabunge 290, maseneta 47, magavana wa majimbo 47, wawakilishi wanawake wa majimbo 47 na kata za uraia 1,450.
Nikiwa kama Mtanzania, ningependa kuchukua nafasi hii kuwatakia Wakenya wote kila la heri kwenye uchaguzi huu. Hii ni nafasi ya kila Mkenya kutumia haki yake ya kupiga kura. Ni matumani yangu kuwa Wakenya watafanya uchaguzi mwema, wa haki na amani.
All the best and save yourself. Vote.
Uchaguzi utajumuisha wagombea 1,882 kwa nafasi za kuchaguliwa, ambazo kama sijakosea ni nafasi moja ya urais, wabunge 290, maseneta 47, magavana wa majimbo 47, wawakilishi wanawake wa majimbo 47 na kata za uraia 1,450.
Nikiwa kama Mtanzania, ningependa kuchukua nafasi hii kuwatakia Wakenya wote kila la heri kwenye uchaguzi huu. Hii ni nafasi ya kila Mkenya kutumia haki yake ya kupiga kura. Ni matumani yangu kuwa Wakenya watafanya uchaguzi mwema, wa haki na amani.
All the best and save yourself. Vote.
Last edited by a moderator: