Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gamba ndio nini?
ni somo kwa vyombo vyetu kujifunza kwa wenzao wa kenya,hapa nchini vyombo vingi vimejaa unafki mwingi kwa serikali ya ccm,ukiangalia kipindi cha dk45,cha itv kila siku ni watu wa ccm mawaziri wale wale mpaka tunajiuliza ikikipindi ni cha watu wa ccm,au wamelipia wao,kama awajalipia je akuna watu wengine katika jamii wanaofanya mambo mazuri wawa alike waje kwenye kipindi cha dk45 cha itv,tuliona kwenye kampeni za 2010,tv stesheni hazikuwa fear kwa vyama vya upinzani,tofauti na ccm,tunamshukuru aliekua mkurugenzi mtendaji wa tbc bwn,tido mwando kwa kutuletea mjadala live kutoka majimbonii,,,nandio ilikua kaburi lake kuondolewa,tbc,nadhani hathari za kuondolewa tido tbc,zinaonekana tbc sasa imekua [tbccm]mikutano ya ccm wanakesha tena live,sasa kimekua ni chombo cha makala za ccm na kupiga propaganda chafu kwa upinzani hasa chadema hata habari za chadema ni mwiko kusomwa au kuonyeshwa kwenye habari zao,mwisho vyombo vyote vya habari vijue wananchi wanauwezo wa kukiweka chama watakacho amua kukiweka,sasa basi vile vyombo ambavyo vilikua adui wa chama ichoambacho kitawekwa madarakani katika uchaguzi ujao 2015 watafute shimo la kuingilia,itakua bonge la sinema, maana wale ambao waliwafanya vibaraka watakua wameondolewa[tbc][itv][star tv]chanel 10]na nyingine akili vichwani mwenu dalili zipo wazi kwamba ccm bye bye,
where is your best friend geza to wish kenya a good election?
Safina's Paul Muite and ARK's Mwalimu Abduba Dida went on air unrehearsed after a day spent in court seeking orders to include them in the debate. Muite's personal assistant, Mr David Wanjohi, says the two barely made it in time.
"(Muite) arrived a minute before the debate got underway," he says. "Dida had to drive on the wrong side of Lang'ata Road to get there. We even did not know the rules of engagement. Their contributions were unrehearsed." source: Standard Digital News - Kenya : Presidential teams rethink debate strategies
K24 inampendelea zaidi kumwonesha Uhuru kuliko Raila.
K24 ni mali ya Uhuru Kenyata na Citizen ni mali ya Raila Odinga. So wana haki ya kutumia vyombo vyao mkuu.
K24 ni mali ya Uhuru Kenyata na Citizen ni mali ya Raila Odinga. So wana haki ya kutumia vyombo vyao mkuu.
Naona watu bado waoga na zoezi hili muhimu lakini matumaini yetu mambo mwaka huu wa 2013 yatakuwa ya amani na utulivu baada ya kura.
Hii ya Midahalo siyo kitu ambacho ni cha ajabu kutokufanyika Tanzania. Waingereza na demokrasia yao ya miaka mingi inayochagizwa na tekinologia hawakuwahi kuwa na midahalo katika chaguzi zao. Midahalo ilikuja tu kushinikizwa na media za Rupert Mordoch last general election 2010 ambaye alikuwa anampigia chapuo David cameron. Kwa sababu Cameron alikuwa hajulikani sana katika jamii, waliona hiyo ilikuwa ni njia ya kumuuza kwa urahisi. Ndiyo maana wakashinikiza Labour party kufanya mdahalo.tuseme hatuna la kujifunza kutoka kwao?
tukianza na midahalo, unadhani TBC waatathubutu kuwaita mgombea wa CCM asimame na mgombea wa Chadema na CUF?
WATAWEZA KUWAULIZA MASWALI MAGUMU? UPEO WANAO?
Tanzania ni jiwe la pembeni liliokataliwa na watanzania wachache. Jaribuni kuongea na Wakenya waliotembea na kufungua mboni za macho yao ili mpate mtazamo wa Tanzania katika macho na fikra zao.
Hizo TV unazozisema zinamilikiwa na hao hao wagombea Urais. Hivi katika akili ya kawaida, zinaweza kweli kuwa fair?.
Tatizo kwa sasa Watanzania tuko desperate kuifanya hii serikali ionekane kama haina lolote ( bogus) wakati huo huo tukivua utu wetu
Nadhani issue isiwe kukataa kujifunza hata vitu vizuri kutoka kwa wengine.Hii ya Midahalo siyo kitu ambacho ni cha ajabu kutokufanyika Tanzania. Waingereza na demokrasia yao ya miaka mingi inayochagizwa na tekinologia hawakuwahi kuwa na midahalo katika chaguzi zao. Midahalo ilikuja tu kushinikizwa na media za Rupert Mordoch last general election 2010 ambaye alikuwa anampigia chapuo David cameron. Kwa sababu Cameron alikuwa hajulikani sana katika jamii, waliona hiyo ilikuwa ni njia ya kumuuza kwa urahisi. Ndiyo maana wakashinikiza Labour party kufanya mdahalo.
Watanzania tuko kama 'dodoki', kila kitu kinachofanywa na nchi nyingine tukiona tu, tunataka nasi kukifanya. Hatufahamu hata tunasimama wapi.
jaribu kuwasikiliza wnavochambua siasa ndio uanze kukoment hapa
wachambuzi wao wana weledi mkubwa kisiasa
wanaelewa ni nini wanachopaswa kuwaeleza watazamaji bila ubaguzi
sio kama wachambuzi wa tvzetu za bongo wanaoshabikia zaidi uchama kama tv ya taifa tbc na zingine
ya kujifunza yapo mengi sana ukiwasikiliza kwa makini
kwa wakati mmoja utawana wanazungumzia kampeni zote na kuwaonyesha live pamoja.
Ndivo walivokuwa wanafanya cnn, abc wakati wa kampeni uchaguzi marekani
Kwani kukopa ni dhambi?. Kwa taarifa yako, hata USA ina madeni kibao na bado inakopa pesa kutoka CHINA. Open your eyes.Wakati wote TZ husema ndio jiwe la pembeni, bali kuna changamoto nyingi ambazo mumeshindwa kumaliza kama ufisadi.
Jiwe na pembeni ikiwa mumeweza jitosheleza bila kutegemea misaada kuanza miradi ya maendeleo. Munategemea mataifa ya kigeni huwezi kuwa jiwe la pembeni
Hii ya Midahalo siyo kitu ambacho ni cha ajabu kutokufanyika Tanzania. Waingereza na demokrasia yao ya miaka mingi inayochagizwa na tekinologia hawakuwahi kuwa na midahalo katika chaguzi zao. Midahalo ilikuja tu kushinikizwa na media za Rupert Mordoch last general election 2010 ambaye alikuwa anampigia chapuo David cameron. Kwa sababu Cameron alikuwa hajulikani sana katika jamii, waliona hiyo ilikuwa ni njia ya kumuuza kwa urahisi. Ndiyo maana wakashinikiza Labour party kufanya mdahalo.
Watanzania tuko kama 'dodoki', kila kitu kinachofanywa na nchi nyingine tukiona tu, tunataka nasi kukifanya. Hatufahamu hata tunasimama wapi.
K24 inampendelea zaidi kumwonesha Uhuru kuliko Raila.
Gamba ndio nini?
Tanzania ni jiwe la pembeni liliokataliwa na watanzania wachache. Jaribuni kuongea na Wakenya waliotembea na kufungua mboni za macho yao ili mpate mtazamo wa Tanzania katika macho na fikra zao.
Hizo TV unazozisema zinamilikiwa na hao hao wagombea Urais. Hivi katika akili ya kawaida, zinaweza kweli kuwa fair?.
Tatizo kwa sasa Watanzania tuko desperate kuifanya hii serikali ionekane kama haina lolote ( bogus) wakati huo huo tukivua utu wetu