PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Michezo ni furaha, michezo ni umoja. Naomba nichukue forsa hii kuwatakia Mashabiki, Wapenzi, wachezaji, viongozi, wanachama wa Simba kila lenye heri katika kuazimisha siku yao.
Mafanikio mtakayoyapata ni mafanikio katika familia ya soka, bila shaka kuna ambayo mlijifunza kutoka Yanga, mkajirekebisha kuelekea kwenye siku yenu ili ku improve, pia Yanga nao bila shaka kuna vitu watajifunza kutoka kwenu.
Kuigana na kufanya vizuri zaidi ndiyo ujanja na utimamu. Kuigana si dhambi ndiyo maana mnachukuliana wachezaji. Isingekuwa ushindani na kuigana, leo hii soka la Tanzania lisingefika hapa.
Katika kuwatakieni mafanikio mema ile kiroho safi, kwa niaba ya Wana Yanga wa Jamii Forums naomba mpokee Video hii ikatawale status zenu huko Whatsapp na kwingineko Mitandaoni.
Yanga na Simba ni Watani wa Jadi, siyo Maadui wa Jadi.
Mafanikio mtakayoyapata ni mafanikio katika familia ya soka, bila shaka kuna ambayo mlijifunza kutoka Yanga, mkajirekebisha kuelekea kwenye siku yenu ili ku improve, pia Yanga nao bila shaka kuna vitu watajifunza kutoka kwenu.
Kuigana na kufanya vizuri zaidi ndiyo ujanja na utimamu. Kuigana si dhambi ndiyo maana mnachukuliana wachezaji. Isingekuwa ushindani na kuigana, leo hii soka la Tanzania lisingefika hapa.
Katika kuwatakieni mafanikio mema ile kiroho safi, kwa niaba ya Wana Yanga wa Jamii Forums naomba mpokee Video hii ikatawale status zenu huko Whatsapp na kwingineko Mitandaoni.
Yanga na Simba ni Watani wa Jadi, siyo Maadui wa Jadi.