Nawatazama hawa Wanawake waliofanikiwa kimaisha Clouds Tv, ila Shuhuda zao za Mafanikio hazinishawishi


Kwa ' Povu ' hili tu unaonekana na Wewe hata hayo ' mafanikio ' uliyonayo sasa yalitokana na ' Kutambaliziwa ' nao na ndiyo maana baada ya kuona tumewashtukieni / kuwagundua sasa umekasirika / umepaniki. Kweli nimeamini kuwa siku zote ukweli huwa unauma.
 

Basi utakuwa una tatizo mahali…unatoa hoja ukijibiwa unadai 'povu' na kujaribu kutafuta upenyo wa 'kunivictimise'? Sina sababu ya kupanic, ila nimechangia hoja kama ulivyoileta. Ni bahati mbaya sana asilimia 99 ya waliojibu hoja yako wamekubaliana na unayoyasema ndio maana unaniona niliyetofautiana na wewe (na bahati mbaya sana nikiwa mwanamke) kama nimepanic. Pole kwa hilo kwanza.

Sina sababu ya kujielezea 'mafanikio' yangu kwako..(in converted comma like you proposed), kwa sababu, umeshayatolea majibu yenye conclusion yako uipendayo.

Ushauri wangu unabaki pale pale, kama akina baba ambao mngependa kuona watoto wenu wa kike wanafanikiwa, mkawashauri kuwa hawawezi kufanikiwa bila ngono. Vinginevyo mafanikio watayasikia redioni tu……Of course, I expect you to practice what you preach….eti eeh...
 

Ila muwe mnasema ukweli bs km hamuwez bora mkae kmya sio kupita mbele ya kadamnasi kusema mmeanza na mtaji wa elf10 na sasa unacampun km uliwezeshwa kubali hata ww hapo kubali uliwezeshwa
 
Ila muwe mnasema ukweli bs km hamuwez bora mkae kmya sio kupita mbele ya kadamnasi kusema mmeanza na mtaji wa elf10 na sasa unacampun km uliwezeshwa kubali hata ww hapo kubali uliwezeshwa

Labda urudie kusoma posts zangu ujue msingi wa argument yangu ni ipi….Bahati mbaya sana, japo ningependa kuwa, mimi si mfanyabisahara na wala biashara siiwezi. Nakubali, kuwezeshwa na wazazi kielimu, ili niweze kupambana na maisha yangu. Yes, walijibana na walikuwa wakali lilipokuja suala la elimu. Ila mpaka nilipo, nashukuru Mungu sijawezeshwa kingono (manake hii ndio wengi humu mlichosimamia), na Alhamdulilah naendelea kupambana..na siwezi kujiweka kundi la 'kukwama' mpaka sasa.
 
Mazakayo...kila mwenye hela kuna kitu kibaya ..acheni hizo..wakinga walivyowakimbiza wachaga Kariakoo wachawi..kumbe wameuza miti ...watu wote mbio kupanda miti...acheni hizo
 
Mimi siku hizi hata nikiona tangazo la malikia wa nguvu kwenye TV limeanza nahama stesheni maana ni usanii mtupu,wengine tunawajua vizuri mishe zao za kupigia hela ni tofauti na kile wanachokieleza pale studio
 
Bongo kuna wanawake wachache sana waliofanikiwa bila kugawa papuchi. Hii inatokana na mfumo dume ambao bado upo, wao wenyewe kujirahisisha, malezi ya wazazi ( wengi wamelelewa kutojiamini). Ubaya ni watu wanao promotiwa kama wanamafinikio wengi sio wale waliotumia juhudi zao binafsi bali wale wanaopendwa na wanaowapa promo. OVER!!
 
Nakubaliana na wewe kwenye malezi. Wazazi wengi hawawalei watoto wa kike kama walivyo wa kiume mwishowe msichana hajiamini anaishia kujivunia kipuchi kama silaha yake ya mwisho ya kupatia mafanikio hususan akitaka promo pale KLAUZx. Mifano hai tunayo akiwemo Tanganyika Sweetheart, Zambarau Mkereketwa, wolta stailishi aka mangi fundi cherahani, Mrs. Irene dogo boya na baadhi ya Malkia wa Kuchonga majina na picha mnazo.
 
Ndiyo mkuu
 
Wataje hao waliofanikiwa bila "nguvu ya buku"
 
Facts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…