Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Hivi hata kama ni kweli mnachokiamini mtoa mada na asilimia kubwa ya wachangiaji waliopita, hamjui kuwa kili ni kipindi kinachoangaliwa na watu wa aina mbalimbali hususani masikini maana matajiri waliikwisha kuneemeka hawanaga muda wa kuangalia Tv!
Je,kama kipindi kilibuniwa ili kulitia hamasa kundi kubwa la wanawake waliokata tamaa ya kupambana na maisha kutokana na ukosefu wa mitaji? Huoni kama hizo shuhuda hata kama ni za uongo zinasaidia sana kuwatia moyo wanawake hivyo kuwahamasisha waendelee kupambana mpaka kieleweke kuliko kusubiri msaada wa mwanaume?
Jamani naomba tufikiri kwa mapana,tusijikite tu katika kuzihukumu hizo shuhuda bali tuangalie pia mchango wake katika kumuinua mwanamke kiuchumi
Je,kama kipindi kilibuniwa ili kulitia hamasa kundi kubwa la wanawake waliokata tamaa ya kupambana na maisha kutokana na ukosefu wa mitaji? Huoni kama hizo shuhuda hata kama ni za uongo zinasaidia sana kuwatia moyo wanawake hivyo kuwahamasisha waendelee kupambana mpaka kieleweke kuliko kusubiri msaada wa mwanaume?
Jamani naomba tufikiri kwa mapana,tusijikite tu katika kuzihukumu hizo shuhuda bali tuangalie pia mchango wake katika kumuinua mwanamke kiuchumi