Nawauliza TAKUKURU: Barbara aliihonga nini hii Kamati ya Maadili?

Nawauliza TAKUKURU: Barbara aliihonga nini hii Kamati ya Maadili?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Marekebisho: Dhalilisha ndiyo neno sahihi.
FB_IMG_1658405918817.jpg
 
Barbara ndio mara ya kwanza kutenda kosa

Ila kijana Haki ni mtukutu sanaa alishawahi kufungiwa huyu hapo awali
 
Kila Mtu Atauchukua Mzigo Wake Mwenyewe
 
Nilitegemea kuona uchambuzi wa kihoja zaidi ila imekuwa tofauti na si bahati mbaya ni vile tff kaboronga hata wenye kutoa adhabu hizi ukiwauliza hawaelewi zaidi watakwambia tuliaambiwa na wakubwa tufanye hivi.
 
Ni kwa sababu msema hovyo Manara alimkoromea yule anayejiona ni Rais! Kumbe hajui yeye ni rais tu kama yule rais wa FM Academia.
 
Ni kwa sababu msema hovyo Manara alimkoromea yule anayejiona ni Rais! Kumbe hajui yeye ni rais tu kama yule rais wa FM Academia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata km twanga pepeta, Takadini kaliwa kichwaaa. Lia wee ukichoka, kunywa maji mengi ya uvugu vugu.
Afu pumzikaaaaa.
 
Back
Top Bottom